Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,182
- 2,015
Na akikataa kushauriwa?Siyo sahihi kumkaripia Rais wa nchi ila ni sahihi kumkosoa, kumshauri, kumrekebisha na kumpinga kwa hoja zenye manufaa kwa taifa
Rais ni mwajiriwa wa wananchi,aliomba kazi so kama ana haribu why asikaripiwe???Siyo sahihi kumkaripia Rais wa nchi ila ni sahihi kumkosoa, kumshauri, kumrekebisha na kumpinga kwa hoja zenye manufaa kwa taifa
ha ha ha haWakushauriwa ni huyu AnGel wa Magogoni au ?
Mkosoe ukutane na hao mikono salama,
Kama aliwekwa pale alipo kwa kura za wananchi na anatumia budget inayo tokana na kodi za wanachi basi ni halali kukosolewa pale anapo kosea lakin kama alijiweka mwenyewe na anatumia budget yake mwenyewe na pesa yake ya mfukoni kwakweli si busara na nidhambi kubwa sanan kumkosoa.Urais ni taasisi, inayoongozwa na rais. wananchi humchagua rais ili aongoze taifa.
Kwa msingi huo rais anatokana na ridhaa ya wananchi wa nchi husika. na ndo maboss wa rais.
Hivyo ukuu wake, unatokana na wananchi wenyewe kumpatia ridhaa hiyo. ila inaleta ukakasi pale boss wa rais ambaye ni mwananchi anapotakiwa asihoji lolote.
Yaani umwajiri mtu, unamlipa mshahara halafu ukaona hafanyi vyema kazi yake ukawa hauruhusiwi kumhoji chochote.
Je ni sahihi kwa wananchi kumhoji, kumkosoa, kumrekebisha hata kumkaripia rais waliyemchagua na wanamlipa mshahara?
Na akikataa kushauriwa?
aiseeJPM anawapeleka watanganyika pale dunia ilipo na inavyotaka lakini watanganyika wamekuwa wabishi aidha kwa kuto kujua siasa za dunia zimebadilka au kwa kuto kuamini kama huko wanakopelekwa ndio njia sahihi tunapistaili kwenda dunia ya sasa ni saisa ya utengano tumetoka kwenye ujamaa ,tukaenda kwenye ubepari sasa tupo kwenye utengeno kila nchi inajifungia milango ameanza US kesho utasikia Ulaya then dunia nzima hakuna tena anko joe wa kutoa misaada tena ni kufanya kazi na kujitegemea ndicho kitatuokoa na ndo kitu watanganyika amtaki
Rudi shule kwanza ukajifunze kusoma na kuandika, naona unapalamia tu kuandika af ujuiItakuwa bado unajifunza kuanzisha threads, hongera umeweza japo hukujua unaandika nini! Tafakari tena ulichaandika!
Jf ni shule tosha, tatizo labda hujashiriki vya kutosha ktk mijadala!Rudi shule kwanza ukajifunze kusoma na kuandika, naona unapalamia tu kuandika af ujui
Ninja ebu tuliza pu*Jf ni shule tosha, tatizo labda hujashiriki vya kutosha ktk mijadala!
Karibu, ni imani yangu utazoea tu!