Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
hao wote wawili wanajuana ni waarabu wapemba ngoma ikipigwa na mwanadalisalama lazima mwanamagogoni aicheze tu.
 
Una hoja ila kumbuka huu msemo....
"....Your voice is too.small to be heard..."
 
Mh Rais mimi ni raia wa taifa hili nilizaliwa hapa na nitakufa katika ardhi yangu pendwa Tanzania.

Kiukweli nasema either wanijua au haunijui, mimi nina kilio cha siku nyingi sana kumuhusu huyu Makonda na nilishawahi kuandika thread kukuambia uwe makini na kijana Makonda maana matendo yake yameficha anguko kubwa la serikali yako.

Unaweza kuniuliza kwanini nasema haya ila nakuomba ujue kama wewe ndio kiongozi wetu basi yakupasa kutupenda sote na usikubali ngoma ya mtu mmoja.

Mh Rais ninazo sababu mia moja kumpinga Makonda na kukutahadharisha naye ama ukubali ama usikubali.

Wewe ni Rais wa Jamuhuri ya Tanzania na Makonda ni Mkuu wa Mkoa. Taarifa ya mkoa inapita kwenye vyombo kadhaa ili kukufikia, lakini hapo hapo Makonda sio mtu wa karibu na wewe katika swala la reporting line.

Kusimamia maneno au maelezo ya kijana mmoja bila kufuata taratibu za kiti chako ni kuleta madhara makubwa kwa chama na taifa. Kwa sababu Makonda sio Waziri ni Mkuu wa Mkoa, je inakuwaje yeye anasimama sehemu ya waziri? Je majina aliyoyatoa yalipita kwa nani mpaka akataja watu?

Mh Rais hapa unacheza hata na usalama wako na sikushauri uendelee na hii hali. Mh Rais hili ni taifa huru na watu wake wapo huru, tunataka kujua majina alipata wapi na kwanini idara za usalama zilizokuzunguka zisiseme kama sheria inavyosema?

Mh Rais hili sio taifa la kila mtu akiwa na taarifa hata bila kuthibitishwa anaita vyombo vya habari na kuanza kutaja watu. Hili ni taifa lililo na sheria na katiba na wote tunaongozwa na sheria. Sio mambo ya kuzushiana.

Mh Makonda amevunja sheria na kama hulioni kwakweli wengi wetu tutaanza kuona wewe sio Rais wa wote ila una makundi tena makundi yasiyotenda haki. Makonda ni lazima afuate sheria na pia ni lazima umuondoe kwenye kiti kuondoa machozi ya wengi au usubiri kuuona ukweli wakati muda ukiwa umepita.

Nimeandika haya kwa uchungu sana maana naona sasa tunatoka kwenye mstari.

TISS mshaurini Rais, Maafisa wa ngazi za juu mshaurini Rais.
hats wewe? naona yemekukuta. je? utakubaliana na kauli mh.lisu kuwa tunaye "rais wa ajabu ajabu"?
 
thread nyingine bwana, wivu tu unawauma, acha kijana apate dhawabu kwa kusurubu mijambazi ya madawa, wewe mleta mada unapendezwa na nini ukiona mtu anakula dawa na anakuibia kwa kuwa sioakili yake??? ...bavu kabisaa
 
Mh Rais mimi ni raia wa taifa hili nilizaliwa hapa na nitakufa katika ardhi yangu pendwa Tanzania.

Kiukweli nasema either wanijua au haunijui, mimi nina kilio cha siku nyingi sana kumuhusu huyu Makonda na nilishawahi kuandika thread kukuambia uwe makini na kijana Makonda maana matendo yake yameficha anguko kubwa la serikali yako.

Unaweza kuniuliza kwanini nasema haya ila nakuomba ujue kama wewe ndio kiongozi wetu basi yakupasa kutupenda sote na usikubali ngoma ya mtu mmoja.

Mh Rais ninazo sababu mia moja kumpinga Makonda na kukutahadharisha naye ama ukubali ama usikubali.

Wewe ni Rais wa Jamuhuri ya Tanzania na Makonda ni Mkuu wa Mkoa. Taarifa ya mkoa inapita kwenye vyombo kadhaa ili kukufikia, lakini hapo hapo Makonda sio mtu wa karibu na wewe katika swala la reporting line.

Kusimamia maneno au maelezo ya kijana mmoja bila kufuata taratibu za kiti chako ni kuleta madhara makubwa kwa chama na taifa. Kwa sababu Makonda sio Waziri ni Mkuu wa Mkoa, je inakuwaje yeye anasimama sehemu ya waziri? Je majina aliyoyatoa yalipita kwa nani mpaka akataja watu?

Mh Rais hapa unacheza hata na usalama wako na sikushauri uendelee na hii hali. Mh Rais hili ni taifa huru na watu wake wapo huru, tunataka kujua majina alipata wapi na kwanini idara za usalama zilizokuzunguka zisiseme kama sheria inavyosema?

Mh Rais hili sio taifa la kila mtu akiwa na taarifa hata bila kuthibitishwa anaita vyombo vya habari na kuanza kutaja watu. Hili ni taifa lililo na sheria na katiba na wote tunaongozwa na sheria. Sio mambo ya kuzushiana.

Mh Makonda amevunja sheria na kama hulioni kwakweli wengi wetu tutaanza kuona wewe sio Rais wa wote ila una makundi tena makundi yasiyotenda haki. Makonda ni lazima afuate sheria na pia ni lazima umuondoe kwenye kiti kuondoa machozi ya wengi au usubiri kuuona ukweli wakati muda ukiwa umepita.

Nimeandika haya kwa uchungu sana maana naona sasa tunatoka kwenye mstari.

TISS mshaurini Rais, Maafisa wa ngazi za juu mshaurini Rais.
Hakuna sheria makonda aliyevunja na umeshindwa kuitaja...kama kutangazwa akina Lowassa walitangazwa, wazee wa TRA walitangazwa, wanaohisiwa kuiba kuku wanatangazwa... besides Makonda anatumia kamati ya ulinzi na usalama ambayo ni taasisi ya kisheria..... watanzania tuweni na facts za kisheria kuliko kutegemea emotions zetu ama kuhalalisha hates zetu.
 
thread nyingine bwana, wivu tu unawauma, acha kijana apate dhawabu kwa kusurubu mijambazi ya madawa, wewe mleta mada unapendezwa na nini ukiona mtu anakula dawa na anakuibia kwa kuwa sioakili yake??? ...bavu kabisaa
very true
 
Mh Rais mimi ni raia wa taifa hili nilizaliwa hapa na nitakufa katika ardhi yangu pendwa Tanzania.

Kiukweli nasema either wanijua au haunijui, mimi nina kilio cha siku nyingi sana kumuhusu huyu Makonda na nilishawahi kuandika thread kukuambia uwe makini na kijana Makonda maana matendo yake yameficha anguko kubwa la serikali yako.

Unaweza kuniuliza kwanini nasema haya ila nakuomba ujue kama wewe ndio kiongozi wetu basi yakupasa kutupenda sote na usikubali ngoma ya mtu mmoja.

Mh Rais ninazo sababu mia moja kumpinga Makonda na kukutahadharisha naye ama ukubali ama usikubali.

Wewe ni Rais wa Jamuhuri ya Tanzania na Makonda ni Mkuu wa Mkoa. Taarifa ya mkoa inapita kwenye vyombo kadhaa ili kukufikia, lakini hapo hapo Makonda sio mtu wa karibu na wewe katika swala la reporting line.

Kusimamia maneno au maelezo ya kijana mmoja bila kufuata taratibu za kiti chako ni kuleta madhara makubwa kwa chama na taifa. Kwa sababu Makonda sio Waziri ni Mkuu wa Mkoa, je inakuwaje yeye anasimama sehemu ya waziri? Je majina aliyoyatoa yalipita kwa nani mpaka akataja watu?

Mh Rais hapa unacheza hata na usalama wako na sikushauri uendelee na hii hali. Mh Rais hili ni taifa huru na watu wake wapo huru, tunataka kujua majina alipata wapi na kwanini idara za usalama zilizokuzunguka zisiseme kama sheria inavyosema?

Mh Rais hili sio taifa la kila mtu akiwa na taarifa hata bila kuthibitishwa anaita vyombo vya habari na kuanza kutaja watu. Hili ni taifa lililo na sheria na katiba na wote tunaongozwa na sheria. Sio mambo ya kuzushiana.

Mh Makonda amevunja sheria na kama hulioni kwakweli wengi wetu tutaanza kuona wewe sio Rais wa wote ila una makundi tena makundi yasiyotenda haki. Makonda ni lazima afuate sheria na pia ni lazima umuondoe kwenye kiti kuondoa machozi ya wengi au usubiri kuuona ukweli wakati muda ukiwa umepita.

Nimeandika haya kwa uchungu sana maana naona sasa tunatoka kwenye mstari.

TISS mshaurini Rais, Maafisa wa ngazi za juu mshaurini Rais.

Una uhakika kwamba moja hatumwi na mwingine?
 
thread nyingine bwana, wivu tu unawauma, acha kijana apate dhawabu kwa kusurubu mijambazi ya madawa, wewe mleta mada unapendezwa na nini ukiona mtu anakula dawa na anakuibia kwa kuwa sioakili yake??? ...bavu kabisaa
Jambazi wema, jambazi petit duh we balaa
 
LISALA YA WAZI KWA RAIS MAGUFULI

Magufuli Joseph Pombe, ukae ulivyo usibadilike! Na watu wasikuzoee. Ukali wako ndo umekupa kiti cha uraisi. Wale waliojifanya wema hawakufika mbali! Watu wakujue hivyo! hivyo! Usiwabembeleze. Kama ni cheo tayari unacho, haina maana yoyote watu kukusifia wakati Taifa linaangamia. Usiangalie wingi, angalia maendeleo,. Hata gari kama lina abiria watatu basi ondoa gari kituoni wengine utawakutana mbele. Hivyohivyo!

Uwe kama Putin wa Russia au Trump, ukarimu wa Kikwete ndo umetuingiza kwenye ulofa huu. Watu legelege hata MUNGU hawataki, Mungu anataka Viongozi mashujaa.
 
"Uwe kama Putin au Trump" hehehehe
Kelele nyingi hata Russia wala US hujafika, Trump kafanya nini sasa la maana? Yule naye ni mtu wa kumsifia? Hizi story mnazopiga vijiweni bila facts ziwe zinaishia huko.
 
- Watu wapo mtaani wana vyeti OG.

- Watu wapo maofisini wana vyeti FEKI.

- Watu wapo maofisini hawafanyi kazi.

- WATU WAPO MTAANI WANATAKA KAZI.

#########SHIDA!!!!!!!!!!!
 
- Watu wapo mtaani wana vyeti OG.

- Watu wapo maofisini wana vyeti FEKI.

- Watu wapo maofisini hawafanyi kazi.

- WATU WAPO MTAANI WANATAKA KAZI.

#########SHIDA!!!!!!!!!!!
Pia ongeza na ...
Watu wapo mtaani wanafanya kazi

Watu wapo CCM ni wabaya wako

Watu wapo upinzani ni wazuri wako, wanakutakia mema.

"Kikulacho ki nguoni mwako"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom