pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
haya maoni yako mkuu sidhani kama yatapokelewa. uliyemwandikkia ndie chanzo cha tatizo lenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidjhani kama uko vzr kichwani, anyway ndio upeo uliojaaliwa!Mi naona wewe si mwanademokrasia. Maana ya demokrasia ni hiyo unayoiona. Watu wanahama kutoka huku kwenda kule muda watakao. Au kwako mkuu demokrasia ni Lema kutoka TLP na kujiunga na CDM tu lakini kina Waitara wakifanya the same ishakuwa kuua vyama vya siasa? Mi naona wewe ujitafakari upya. Hayo mambo ya hama hama unayoyaona Hiyo ndiyo Demokrasia.
Tanzania ni nchi ya Demokrasia ya Vyama vingi, kwa mujibu wa katiba yetu. Rais anafanya yafuatayo kukiuka Katiba hii:Mi naona wewe si mwanademokrasia. Maana ya demokrasia ni hiyo unayoiona. Watu wanahama kutoka huku kwenda kule muda watakao. Au kwako mkuu demokrasia ni Lema kutoka TLP na kujiunga na CDM tu lakini kina Waitara wakifanya the same ishakuwa kuua vyama vya siasa? Mi naona wewe ujitafakari upya. Hayo mambo ya hama hama unayoyaona Hiyo ndiyo Demokrasia.
Je hiyo itasaidia? Maana ww mpinzani unaweza kupata ushindi lakini usitangazwe kwa kuwa mwenye haki ya kutangazwa ni aliyeshindwa. Utafanyaje? Kumbuka hapo ww inakuwa huna hata rungu mkononi lakini mwenzio analindwa na watu wenye SMG zisizo na idadi.Ndugu wanabodi:
Kwa yanayoendelea nchini hususani hili janga la hamahama ya wapinzani halina afya kwa taifa, kwani inalenga kulipeleka taifa kwenye mfumo wa chama kimoja. Mfumo ambao husisitiza kudumisha fikra za mwenyekiti wa chama.
Mfumo wa zidumu fikra za mwenyekiti wa chama ni mfumo uliopitwa na wakati na haufai kwa maendeleo endelevu
Hivyo kama watanzania tunapenda maendeleo endelevuendelevu yapaswa tuipinge nia hiyo ovu ya kuua upinzani ili tubaki na chama kimoja kinachoshika hatamu.
Lakini bado tunatumaini kubwa la kuimarisha upinzani kwani bado tunayo silàha kubwa, silaha hiyo ni Mh, Tundu Lissu.
Huyu ni mpinzani asilia,historia yake inajitosheleza.Kipaji chake cha kuongea,kujenga hoja na taaluma yake inayoshabihiana na hulka yake ya kutetea haki za wanyonge vinamfanya kuwa nguzo kubwa ya upinzani kwa sasa.
Hivyo akirudi kutoka kwenye matibabu harafu shughuli za kisiasa zikaruhusiwa kwa mujibu wa katiba, ndani ya muda mfupi upinzani utaimarika mara dufu.
Nawasilisha.
Aliye turoga sijui ni nani? Nimebahatika kutembelea Nchi nyingi hawana huu upuuzi wa kutoa risiti pungufu.kuna muda waeza ongea kitu kwa usahihi ila ukaonekana mnafki.
Ngoja waje
Mkuu lingekuwa duka moja wala sikuwa na haja ya kulileta hapa barazani ama ingekuwa peke yangu nisingekuwa na haja ya kulipeleka kwa Mh Rais, huu ni ugonjwa ambao ama umekuwa sugu. Au unaenea kwa kasi katika eneo zima la kariakoo..tena yamkini unaenezwa makusudi.Mkuu;
Naomba uweke hapa jina la duka ili malalamiko yako niyatume sehemu husika.
Mkuu ni vigumu sana kupeleka malalamiko ya aina hii kwa muhusika mkuu bila kujua hasa ni duka/maduka gani.Mkuu lingekuwa duka moja wala sikuwa na haja ya kulileta hapa barazani ama ingekuwa peke yangu nisingekuwa na haja ya kulipeleka kwa Mh Rais, huu ni ugonjwa ambao ama umekuwa sugu. Au unaenea kwa kasi katika eneo zima la kariakoo..tena yamkini unaenezwa makusudi.
Je hiyo itasaidia? Maana ww mpinzani unaweza kupata ushindi lakini usitangazwe kwa kuwa mwenye haki ya kutangazwa ni aliyeshindwa. Utafanyaje? Kumbuka hapo ww inakuwa huna hata rungu mkononi lakini mwenzio analindwa na watu wenye SMG zisizo na idadi.
Kwenye hizo nchi nyingine vipi kuhusu matumizi sahihi ya hayo makusanyo? Mara nyingi Mwananchi yeyote akitambua kuwa kodi yake anayolipa inatumika vizuri kumletea maendeleo huwa hawana shida.... Lakini pale anapoona wazi kabisa fedha zinafujwa na serikali yake atatumia kila mbinu kukwepa kulipa au kulipia kidogo.....Aliye turoga sijui ni nani? Nimebahatika kutembelea Nchi nyingi hawana huu upuuzi wa kutoa risiti pungufu.
Nimeenda kampala hawana huo ujinga sio Lilongwe, Lusaka, ama Harare.. kwanini wao waweze sisi iwe kituko?