Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Write your reply...Nchi wslipokea ikiwa nzuri leo zogo hadi kwenye daladala ninani hasa anateka watu na kupiga risasi?
 
Kwenye ushauri wako paragraph ya kwanza. Hapo sikubaliani na wewe,kuwa amwite Lissu Ikulu! HAPANA.
Roho zetu ni vichaka vinene huwezi jua unayemshauri anaupokeaje ushauri wako.
Tumeona mwandishi wa habari kukatwakatwa kwenye ubalozi wa saudia huko uturuki. Technology umekuwa sana, anaweza akatoka huko akiwa mzima lakini asiwe salama. Watafute ukumbi hata kama wa harusi, waruhusu Lissu aende na ulinzi wake na kama kuna haja ya kutumia kipaza sauti basi aende na chake. Ama vingevyo watumie simu. Namshauri Lissu akirudi ajihadhari na press na waandishi wa habari. Vile vidude wanavyoweka mezani wasije pandikiza vyenye perfume.







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…