Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
First things first.

Ajira ni human right na hata katiba ya Tanzania inasema kika mtu ananhaki ya kuwa na ajira ambayo ananuwezo nayo.

(1) Everyone has the right to work, to free choice of employment, to just and favourable conditions of work and to protection against unemployment.

— Universal Declaration of Human Rights, United Nations General Assembly

December 10, 1948.


Tujikite hapo kwanza.

Right to work doesnt mean right to enter any office and start working:
 
Kinachoendelea hivi sasa inabidi kiwe funzo kwa Rais J.P Magufuli!

JK alipoleta msamiati wa "kujimwambafai" tu, mitandao ikaripuka kwa vigelegele! Magazeto karibu yote yakaifanya habari hiyo kuwa ukurasa wa mbele!

Si tu kwa mstari wa mbele, lakini karibu yote yaliashiria kana kwamba huyo aliyeambiwa aache kujimwambafai ni JPM!

Hata wana-CCM wenyewe, kama vile Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ali Hapi, nae akaamini kabisa anayeambiwa aache kujimwambafai ni Rais Magufuli!

Kwanini hadi wana-CCM na wenyewe waamini JK kamsema Magufuli wakati yeye alisema Viongozi waache kujimwambafai?!

Lau kama kauli ile ingetamkwa na Mkapa wakati JK yupo rais, sidhani kama wananchi wangemshuku JK kwamba ndie anajimwambafai!!

Sasa kwanini JPM ionekenane ndie anajimwambafai?! Kumbe hata wana-CCM wenyewe wanafahamu kwamba Magufuli anajimwambafai!

Limekuja hili sasa!

Hivi sasa zinapoonea habari juu ya afya JPM, bila kujali kama ni za kweli au za uongo, kwa mata nyingine, mitandaoni kumeibuka shangwe, huku wengine wakisema wazi "...atangulie safari ya milele!"

Hata wakati JK alipoenda kutumbuliwa tezi dume, sidhani kama waliokuwa wanamuombea arudi akiwa kwenye sanduku walikuwa ni wengi namna hii!

Sasa ikiwa hadi wananchi anaowaongoza miongoni mwao kuna wanaouuombea afe, basi hilo ni tosha kumfanya ajitafakari unless!!

Generally speaking, kwa Tanzania inaonekana jamii iliyopo Mtandaoni ndio jamii yenye uelewa zaidi, hususani walio Jamiiforums na Twitter!

Kwa maana nyingine, miongoni mwa wale wanaoonekana kuwa na uelewa zaidi, watafanya sherehe wakisikia rais wao ame-rest in peace!!

Na ukweli ni kwamba, ni mpumbavu na punguani tu ndie anaweza kudiriki kusema hawa wanaomuombea JPM mabaya ni mafisadi! Hao mapunguani tayari tumeanza kuwasikia wakiongea hizi kauli za kipunguani!
Ni kawaida tu ya kiongozi kuchukiwa haswa akiwa anachukua hatua zinazowaumiza watu na ndio uongozi.
Angalia chuki kwa Trump haswa mitandaoni ila ikipigwa kura leo Trump bado atachaguliwa kwa ukubwa.
Angalia joto la brexit mitandaoni lakini kwenye ground raia wako na Boris japo media utasema hakuna anaetaka hata kumsikia.
 
Kila zama na kitabu chake...

Tanzania ilimuhitaji Magufuli kwa wakati huu, na ndio wakati uliokubalika...

Hivi mbona ni kama tumesahau namna kila mmoja wetu alivyokuwa akimuomba Mungu wake tupate Rais anayekaza kidogo kuliko JK na waliopita?

Kuna wengine hadi tukadiriki kusema tunahitaji Rais dikteta (kwa maana ya mbabe), atayepatikana kwa njia za kidemokrasia, aje atunyooshe na aache alama itayobakia kuwa muongozo kwa marais wataokuja...

Sasa yule mtu tuliyekuwa tukitamani aje awe tofauti na waliotangulia ndio huyu kaja, hebu tuwe wastahimilivu wakati tukiendelea kuishi ndani ya kile tulichokitaka...
 
Kama zile bidii alizolazimishwa Lissu kwa Risasi 16 ati?!

una ushahidi wa aliofanya ilo tukio ni huyo unaemfikiria? kama una ushahidi we can set you a media meeting for free uongeee? are you ready? but make sure unachoongea una ushahidi nao
 
Kila rais ana wasiompenda. Akifanya mambo kumridhisha kila mtu ndio atafeli. Aendelee hivi hivi.
Trump ana watu wanatakia mabaya, uhuru kenyata hivyo hivyo, kagame hivyo hivyo. N ukichunguza kiundani wanaomtakia mabaya ni wale waaotaka siti yake pamoja na wafuasi wao.
Ndugu yangu usemayo ni kweli lkn ni kwa JPM wanaomwombea mabaya ni wengi zaidi nadhani ni zaidi ya hao wote uliowataja!!
 
Kuongezea: so far mpaka apa tulipofikia its wide open sisi ni wa kujilaumu kwa kua ndo tumefikisha nchi ilipofika apa ilipo, serikali inatumia ela nyingi kupeleka watu kusoma nje ya nchi lakini mpaka leo upande wa maendeleo hatujaanza kuvuna matunda ya hizi investment za elimu: ukiachana na ilo kumekua na movement ya the usage of internet, since imekuja people still havent taken advantage of it fully: ajira zmejaa online, i have friend ndo kwanza anaingia chuo lakini ni freelancing , and he has no any ideas of asking of employment: he works online and all his earned money comes from online, its even a more good thing as your adding foreign money to your country but why do people still complain?
Umeongea jambo zuri sana.

Wahindi wanapiga hela sana kwenye internet.

Wanafanyia kazi makampuni ya Marekani bila ya wao kuwa Marekani.

Mimi najua hilo kwa sababu na manage wahindi kibao, wanaripoti kwangu. Mimi kamanda wao niko Marekani.

Naangalia wanavyofanya kazi, naona hapa hata Tanzania tunaweza kufanya kazi hii.

Tunahitaji vitu vitano tu.

1.Mfumo sheria wa kuruhusu wawekezaji kufanya kazi bila mizengwe na Watanzania kufaidika bila kunyonywa.

2.Mfumo wa simu wa nguvu ambao kuongea na Marekani/ duniaitakuwa si hatari.

3.Internet ya nguvu ku connect na servers za Marekani/ dunia

4.Watu wenye elimu ya kuweza kufanya kazi za kimataifa.

5. Kujua Kiingereza (na lugha nyingine za kimataifa) vizuri.

Huo uchumi wa GDP per capita ya $3,000 tungeupita, tungeongelea kuvuka $10,000.

Lakini, ukilaumu watu tu, unaweza kulaumu wahanga (blaming the victim).

Kwa sababu, ili watu waweze kufanya kazi online kama India, kwa wingi, ni lazima vitu vitano hivyo nilivyotaja viwepo.

Sasa unaweza kulaumu mtu hajui Kiingereza, lakini hata kutokujua Kiingereza ni matokeo ya mfumo wa elimu uliowekwa na serikali. Hayo mengine ya elimu, sheria, internet na simu ni zaidi.

Kwa hivyo, jamii nzima ina lawama.

Ila, hata kwenye Biblia (naongelea Biblia kama loterature and philosophy, si kidini) imeandikwa kwa mfano wa Yesu alivyowapa watu tofauti talanta tofauti, ikasemwa kwamba, aliyepewa zaidi, atadaiwa zaidi ("Noblesse Oblige" wanasema Wafaransa.

Ukipewa dhamana ya kuongiza watu, unadaiwa zaidi maendeleo.

Kwa sababu wewe ndiye umeoewa manyota ya kuongiza nchi. Kumdai mkulima wa Kinondo sawa na Magufuli ji kumuinea mkulima na kumdharau Magufuli.

Kwa hiyo jamii nzima ina lawama, ila, walio juu kwenye uongozi wana kawama zaidi.
 
una ushahidi wa aliofanya ilo tukio ni huyo unaemfikiria? kama una ushahidi we can set you a media meeting for free uongeee? are you ready? but make sure unachoongea una ushahidi nao
Sina, nadhani alijishambulia kwa kujipiga risasi kisha akatuma watu wazitoe cctv cameras halafu akawaambia polisi msifuatilie wala msichunguze
Na baadae akajinyang'anya Ubunge wake na kukikabidhi Chama tawala

NADHANI IMEKUPENDEZA NAHENE LOLO
 
Kila rais ana wasiompenda. Akifanya mambo kumridhisha kila mtu ndio atafeli. Aendelee hivi hivi.
Trump ana watu wanatakia mabaya, uhuru kenyata hivyo hivyo, kagame hivyo hivyo. N ukichunguza kiundani wanaomtakia mabaya ni wale waaotaka siti yake pamoja na wafuasi wao.

Huyu approval rating ni way below 40%

Hilo ni tatizo!

Tena big time!
 
Umeongea jambo zuri sana.

Wahindi wanapiga hela sana kwenye internet.

Wanafanyia kazi makampuni ya Marekani bila ya wao kuwa Marekani.

Mimi najua hilo kwa sababu na manage wahindi kibao, wanaripoti kwangu. Mimi kamanda wao niko Marekani.

Naangalia wanavyofanya kazi, naona hapa hata Tanzania tunaweza kufanya kazi hii.

Tunahitaji vitu vitano tu. Mfumo sheria wa kuruhusu waekezaji kufanya kazi bila mizengwe. Mfumo wa simu wa nguvu ambao kuongea na Marekaninm itakuwa si hatari, internet ya nguvu ku connect na servers za Marekani, watu wenye elimu ya kuweza kufanya kazi za kimataifa na kujua Kiingereza vizuri.

Huo uchumi wa GDP per capita ya $3,000 tungeupita, tungeongelea kuvuka $10,000.

Lakini, ukilaumu watu tu, unaweza kulaumu wahanga (blaming the victim).

Kwa sababu, ili watu waweze kufanya kazi online kama India, kwa wingi, ni lazima vitu vitano hivyo nilivyotaja viwepo.

Sasa unaweza kulaumu mtu hajui Kiingereza, lakini hata kutokujua Kiingereza ni matokeo ya mfumo wa elimu uliowekwa na serikali. Hayo mengine ya elimu, sheria, internet na simu ni zaidi.

Kwa hivyo, jamii nzima ina lawama.

Ila, hata kwenye Biblia (naongelea Biblia kama loterature and philosophy, si kidini) imeandikwa kwa mfano wa Yesu alivyowapa watu tofauti talanta tofauti, ikasemwa kwamba, aliyepewa zaidi, atadaiwa zaidi ("Noblesse Oblige" wanasema Wafaransa.

Ukioewa dhamana ya kuongiza watu, unadaiwa zaidi maendeleo.

Kwa sababu wewe ndiye umeoewa manyota ya kuongiza nchi. Kumdai mkulima wa Kinondo sawa na Magufuli ji kumuinea mkulima na kumdharau Magufuli.

Kwa hiyo jamii nzima ina lawama, ila, walio juu kwenye uongozi wana kawama zaidi.

😀😀😀😀 kwanini kila kitu unatanguliza lawama kwa serikali na mfumo: mbna wenzetu wanaenda kinyume na mifumo, mbna watu ata mfumo wa shule wamekimbia, its really unfair kwamba ata kutafuta mwalimu wa english unataka uwekewe mfumo? Really:?
 
Sina, nadhani alijishambulia kwa kujipiga risasi kisha akatuma watu wazitoe cctv cameras halafu akawaambia polisi msifuatilie wala msichunguze
Na baadae akajinyang'anya Ubunge wake na kukikabidhi Chama tawala

NADHANI IMEKUPENDEZA NAHENE LOLO

basi vema: huna ushahidi tulizo mdomo huo: maaana hujui unachoongea
 
Umeongea jambo zuri sana.

Wahindi wanapiga hela sana kwenye internet.

Wanafanyia kazi makampuni ya Marekani bila ya wao kuwa Marekani.

Mimi najua hilo kwa sababu na manage wahindi kibao, wanaripoti kwangu. Mimi kamanda wao niko Marekani.

Naangalia wanavyofanya kazi, naona hapa hata Tanzania tunaweza kufanya kazi hii.

Tunahitaji vitu vitano tu.

1.Mfumo sheria wa kuruhusu wawekezaji kufanya kazi bila mizengwe na Watanzania kufaidika bila kunyonywa.

2.Mfumo wa simu wa nguvu ambao kuongea na Marekani/ duniaitakuwa si hatari.

3.Internet ya nguvu ku connect na servers za Marekani/ dunia

4.Watu wenye elimu ya kuweza kufanya kazi za kimataifa.

5. Kujua Kiingereza (na lugha nyingine za kimataifa) vizuri.

Huo uchumi wa GDP per capita ya $3,000 tungeupita, tungeongelea kuvuka $10,000.

Lakini, ukilaumu watu tu, unaweza kulaumu wahanga (blaming the victim).

Kwa sababu, ili watu waweze kufanya kazi online kama India, kwa wingi, ni lazima vitu vitano hivyo nilivyotaja viwepo.

Sasa unaweza kulaumu mtu hajui Kiingereza, lakini hata kutokujua Kiingereza ni matokeo ya mfumo wa elimu uliowekwa na serikali. Hayo mengine ya elimu, sheria, internet na simu ni zaidi.

Kwa hivyo, jamii nzima ina lawama.

Ila, hata kwenye Biblia (naongelea Biblia kama loterature and philosophy, si kidini) imeandikwa kwa mfano wa Yesu alivyowapa watu tofauti talanta tofauti, ikasemwa kwamba, aliyepewa zaidi, atadaiwa zaidi ("Noblesse Oblige" wanasema Wafaransa.

Ukipewa dhamana ya kuongiza watu, unadaiwa zaidi maendeleo.

Kwa sababu wewe ndiye umeoewa manyota ya kuongiza nchi. Kumdai mkulima wa Kinondo sawa na Magufuli ji kumuinea mkulima na kumdharau Magufuli.

Kwa hiyo jamii nzima ina lawama, ila, walio juu kwenye uongozi wana kawama zaidi.


hizi issue za mifumo na sheria zinafanya tunakua maskini sana: watu hubreak laws: nnamini umaskini nnaouone india ingawa sjawahi kufika ni wa kweli: basi kama wana umaskini kiaski icho na wanaweza kua miongoni mwa nchi zinazokua kwa kasi duniani basi naamini ata sisi tunaliweza, hii mambo ya mfumo na mfumo ebu tuweke pemben naimani watu wanaweza kutana na kufanya kitu cha maaana kama teknolojia ilivoingia duniani: naaamini serikali haijaweka bajeti ili watu waanzishe google, wala simu tunazotumia: na hakuna mfumo wa kutabiri mambo kama haya, kama basi ni vijana waliojitoa , naamini ata sisi hatushindwi
 
Kwa hiyo imekupendeza sana natuliza mdomo ila vidole vitakuingia kupitia Keyboard yangu

😀 😀 😀 😀 uafrika nayo kazi kweli kweli: wengine wanachukua ata miaka 50 kufanya uchunguzi wa kesi, unakuta kesi umefanya ukiwa mdogo file linakujia ukiwa na miaka 50 ndo inaongelewa, we zimeruka apa na pale usharukia: uafrika kazi kweli kweli
 
Kinachoendelea hivi sasa inabidi kiwe funzo kwa Rais J.P Magufuli!

JK alipoleta msamiati wa "kujimwambafai" tu, mitandao ikaripuka kwa vigelegele! Magazeto karibu yote yakaifanya habari hiyo kuwa ukurasa wa mbele!

Si tu kwa mstari wa mbele, lakini karibu yote yaliashiria kana kwamba huyo aliyeambiwa aache kujimwambafai ni JPM!

Hata wana-CCM wenyewe, kama vile Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ali Hapi, nae akaamini kabisa anayeambiwa aache kujimwambafai ni Rais Magufuli!

Kwanini hadi wana-CCM na wenyewe waamini JK kamsema Magufuli wakati yeye alisema Viongozi waache kujimwambafai?!

Lau kama kauli ile ingetamkwa na Mkapa wakati JK yupo rais, sidhani kama wananchi wangemshuku JK kwamba ndie anajimwambafai!!

Sasa kwanini JPM ionekenane ndie anajimwambafai?! Kumbe hata wana-CCM wenyewe wanafahamu kwamba Magufuli anajimwambafai!

Limekuja hili sasa!

Hivi sasa zinapoonea habari juu ya afya JPM, bila kujali kama ni za kweli au za uongo, kwa mata nyingine, mitandaoni kumeibuka shangwe, huku wengine wakisema wazi "...atangulie safari ya milele!"

Hata wakati JK alipoenda kutumbuliwa tezi dume, sidhani kama waliokuwa wanamuombea arudi akiwa kwenye sanduku walikuwa ni wengi namna hii!

Sasa ikiwa hadi wananchi anaowaongoza miongoni mwao kuna wanaouuombea afe, basi hilo ni tosha kumfanya ajitafakari unless!!

Generally speaking, kwa Tanzania inaonekana jamii iliyopo Mtandaoni ndio jamii yenye uelewa zaidi, hususani walio Jamiiforums na Twitter!

Kwa maana nyingine, miongoni mwa wale wanaoonekana kuwa na uelewa zaidi, watafanya sherehe wakisikia rais wao ame-rest in peace!!

Na ukweli ni kwamba, ni mpumbavu na punguani tu ndie anaweza kudiriki kusema hawa wanaomuombea JPM mabaya ni mafisadi! Hao mapunguani tayari tumeanza kuwasikia wakiongea hizi kauli za kipunguani!

Duniani kote, hakuna mkweli na mtenda haki akapendwa. Angalau Injili na Quran vinasema hivyo.

Yesu hakusulubiwa kwa vile alitenda uovu, mifano ipo mingi. Kama Mungu ni ukweli basi wengi wetu hatumpendi Mungu kwa yakini, tunazipenda nafsi zetu ambazo zimejaa uovu, dhuluma na unafiki.

Anayeitaka haki ni lazima ajikane, sisi hatujajikana, bado hatujaweza kuuza tulicho nacho tumfuate.

Hata leo hii tunaulizwa, kati ya Baraba na Yesu nani asulubiwe, bila aibu tunasema Yesu.
Njia ya uzima haijanyoika, imejaa dhiki, mahangaiko na dhihaka. Raid Magufuli ni mtu wa haki, hana cha kujitafakari, atende kama alivyopanga kutenda, dunia haijawahi kubadilika, inapenda dhuluma kuliko haki.

Kila mmoja wetu anaifahamu nafsi take, kama ni ya dhulma au ya haki. Kwa lolote ulifikialo jiulize Mimi ni wa dhulma au wa haki halafu chukua hatua stahiki
 
Right to work doesnt mean right to enter any office and start working:
You are confusing my writing.

I never mentioned anything about right to enter any office and start working.

One can have right to work without having right to enter any iffice and start working.

I mentioned a soecific case of right to work for the mentally disabled. In a capacity that they are mentally capable for.

Surely you do not exoect me to advocate for the mentally disabled to embark on a planetary exploration of the entire solar system, including the newly discovered 20 new moons orbiting Saturn now, do you?

I am a libertarian, I would like, as an employer, to retain my right to refuse anybody work, with neither explanation nor legal consequences.

Your objectiinnis based on a false assumption.

Please understand my case, before raising illogical objections.

Kila mtu mwenye majimority age ana haki ya kupiga kura.

Lakini haki hiyo haimaanishi anaweza kwenda kwenye kituo chochote cha kupiga kura, hata kisicho kwenye eneo alipojiandikisha, na kupiga kura.

Do not confuse my advocacy for the former, with promotion of the latter.
 
You are confusing my writing.

I never mentioned anything about right to enter any office and start working.

One can have right to work without having right to enter any iffice and start working.

I mentioned a soecific case of right to work for the mentally disabled. In a capacity that they are mentally capable for.

Surely you do not exoect me to advocate for the mentally disabled to embark on a planetary exploration of the entire solar system, including the newly discovered 20 new moons orbiting Saturn now, do you?

I am a libertarian, I would like, as an employer, to retain my right to refuse anybody work, with neither explanation nor legal consequences.

Your objectiinnis based on a false assumption.

Please understand my case, before raising illogical objections.

i think wewe ndo hukuelewa my point before: nilisema, huezi enda kufungua kesi kwa sababu mtu kakataa kukuajiri, kukiwa na needs na nkiona unafaaa you will be good to go: nn hujaelewa apo? na pia kunaweza kua na nafasi na u have all the qualifications na nsikuajiri:
 
i think wewe ndo hukuelewa my point before: nilisema, huezi enda kufungua kesi kwa sababu mtu kakataa kukuajiri, kukiwa na needs na nkiona unafaaa you will be good to go: nn hujaelewa apo? na pia kunaweza kua na nafasi na u have all the qualifications na nsikuajiri:
Kwani niliandika kwamba watu wafungue kesi kwa sababu mtu kakataa kuwaajiri?

Wapi niliandika hilo?

Na zaidi. Mtu anaweza kufungua kesi kwa sababu kakataliwa kuajiriwa kinyume cha haki.

Kwa mfano. Mtu katimiza vigezo vyote, kapita usaiki vizuri, kazi ya serikali inasema ninkazima mtu apite usaili.

Halafu akatuowa, akaajiriwa mtu ambaye hata usaili hajafanya

Hapo mtu ana haki yabkufungua kesi kwa shauri la kuachwa kuajiriwa.
 
😀 😀 😀 😀 uafrika nayo kazi kweli kweli: wengine wanachukua ata miaka 50 kufanya uchunguzi wa kesi, unakuta kesi umefanya ukiwa mdogo file linakujia ukiwa na miaka 50 ndo inaongelewa, we zimeruka apa na pale usharukia: uafrika kazi kweli kweli
Mazingira yanaonyesha kuwa Lissu alishambuliwa kwa amri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom