Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Ni kweli Rais anafanya vizuri katika uwajibikaji wake lakini katika hotuba zake namshauri apunguze ukali wa maneno na kuwatukana waliomchagua.

Leo katoa kauli yenye utata kwa kisukuma baada ya kujibu "Mkatolwe" kwa kisukuma maana yake mkaolewe je ni sahihi kumwambia mwanaume mwenzako akaolewe? Tena mbele za watu?

Swali alikuwa ameshajibu vizuri ila akaongeza vikorombwezo yaani anaona ni sawa kuwaunganisha wanaume na wanawake kwamba wakaolewe?

Mimi sina tatizo na Rais Magufuli ila ajiulize kwanini wakati yule jamaa anauliza swali watu walikuwa wakimshangilia na yeye baada ya kujibu watu wakaa kimya? Kuna tatizo tena kubwa!
Mnapenda kubembelezwa, jamaa hanaga hizo. Muulize Rukanyima.
 
Kwa niaba ya Wasukuma naomba msamaha.

Wasukuma ni watu tunaojivunia kuishi vizuri na watu, kauli njema, ukarimu, kuishi kwa kuchukuliana, kuizuia hasira, kufurahi na watu na kuheshimu maadili ya jamii.

Magufuli Si mara moja wala mbili. Amedharau maadili ya Kisukuma. Nawaomba msimchukulie kama mfano wa tabia za Wasukuma.

Tuna watu wengi wa Kisukuma waliotumikia taifa kwa utiifu na unyenyekevu.

Kina Paul Bomani, Chifu David Makwaia, Jaji Francis Nyalali, kutaja wachache tu.

Hawakuwahi kuwavunjia heshima Watanzania hivi.

O ntemi wise ate na masala gete!
Wasukuma tofauti na kula ugali mkubwa ni watu wazuri sana![emoji28][emoji28][emoji28]
tapatalk_jpeg_1564760656518.jpeg
 
Serikali inatafuta fedha kwa ajili ya huduma muhimu haiwezi kutafuta fedha kwa ajili ya kukulisha wewe na mke wako.
JPM -Leo Tabora
Hivi chakula sio kitu muhimu wadau?
Manake katika mambo muhimu Nyerere aliyokuwa anayataja mara nyingi ni:
Chakula,Malazi na mavazi.Naona Jiwe kipengele cha chakula amekiondoa!
 
Ni kweli Rais anafanya vizuri katika uwajibikaji wake lakini katika hotuba zake namshauri apunguze ukali wa maneno na kuwatukana waliomchagua.

Leo katoa kauli yenye utata kwa kisukuma baada ya kujibu "Mkatolwe" kwa kisukuma maana yake mkaolewe je ni sahihi kumwambia mwanaume mwenzako akaolewe? Tena mbele za watu?

Swali alikuwa ameshajibu vizuri ila akaongeza vikorombwezo yaani anaona ni sawa kuwaunganisha wanaume na wanawake kwamba wakaolewe?

Mimi sina tatizo na Rais Magufuli ila ajiulize kwanini wakati yule jamaa anauliza swali watu walikuwa wakimshangilia na yeye baada ya kujibu watu wakaa kimya? Kuna tatizo tena kubwa!
Ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka.
 
Kwa niaba ya Wasukuma naomba msamaha.

Wasukuma ni watu tunaojivunia kuishi vizuri na watu, kauli njema, ukarimu, kuishi kwa kuchukuliana, kuizuia hasira, kufurahi na watu na kuheshimu maadili ya jamii.

Magufuli Si mara moja wala mbili. Amedharau maadili ya Kisukuma. Nawaomba msimchukulie kama mfano wa tabia za Wasukuma.

Tuna watu wengi wa Kisukuma waliotumikia taifa kwa utiifu na unyenyekevu.

Kina Paul Bomani, Chifu David Makwaia, Jaji Francis Nyalali, kutaja wachache tu.

Hawakuwahi kuwavunjia heshima Watanzania hivi.

O ntemi wise ate na masala gete!
Hata mimi ninavyowajua Wasukuma ni watu wanyenyekevu na wasio na majivuno.
 
Bado nakumbuka ile ya ''kama huna Sh. mia mbili piga mbizi'' ( jamaa zangu wa Kigamboni)! Sizonje hayuko vizuri kwenye lugha ya mazungumzo!
 
Kwanza nampongeza mheshimiwa Rais kwa kazi nzuri anayoifanya kwa manufaa mapana ya Taifa.
Amekuwa na uthubutu kila mtu anaona na nina muunga mkono kwa juhudi zote.
Rai yangu kwa mhesimiwa ni lugha ya matusi kwa watendaji kazi wake pale wanapo kosea.mfalme Sulemani alipoulizwa na Mungu apewe nini, aliomba apewe hekima. ajue namna ya kutoka na kuingia kwa watu.kwa maneno mengine ajue lipi la hadharani na lipi la sirini.
Tusi kama pumbavu sana kwa msomi level ya uhandisi. Ni sawa na kumvua nguo hadharani. Ivi hakuna maneno ya busara ya kusema wahandisi wakaelewa kuwa umechukia!? Watoto tunawafundisha kuwa matusi ni tabia mbaya. Je wanapoona Rais unatukana hadharani wajifunze nini!? Bosi katukanwa hadharani, "pumbavu sana"atapatawapi ujasiri wa kuwasimamia walio chini yake!? Mheshimiwa kumtukana mtu hadharani, kwanza unatukana jamhuri, pili unadhalilisha utu wa mtu husika.
Geuza ni wewe unatukanwa hasharani, utajisikiaje.!? Sio kutukanwa tuu, hata kukosolewa hupendi!ndio maana una minya wapinzani!! Nawaomba watanzania kwa imani yetu tumwombee Rais awe na hekima na busara.
 
Kiukweli nchi ilihitaji raisi kam Mh John Pombe, nimuombe raisi asikize maoni ya wapinzani kwani nao wanamaono ambayo yanaweza kuwa na mchango chanya kwa nchi yetu. Sema wapinzani wawe wastarabu kwani raisi ni zaidi ya mwenye nyumba!!! Viva President tuongoze
 
Kiukweli ukitoa protokali za urais za mh Magufuli yeye binafsi ni mwana Sana Tena msela kabisa ila sijui atajinasua vipi na kifungo Cha Ben sanane na Azory Gwanda ila jpm ni mwana Sana Tena msela Sana Mungu amlinde!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom