Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Pole mkuu naona chamoto mnakipata na TUCTA wapo likizo ya muda mrefuHaswaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu naona chamoto mnakipata na TUCTA wapo likizo ya muda mrefuHaswaaa!
Ni vitu gani vinamuangusha Magufuli katika uongozi wake ambavyo kama akiviweka sawa basi anaweza kuwa the best president in East and Central Africa??? Naona kuna malalamiko kadha wa kadha kutoka kwa wananchi wengine wanakubaliana na movement zake wengine wanaona kama anafanya vitu ambavyo si sawa.
kwa maoni yako Endapo ungepewa nafasi ya kumshauri Rais Magufuli ni kitu gani ungependa akifanyie reformation?
Ni vitu gani vinamuangusha Magufuli katika uongozi wake ambavyo kama akiviweka sawa basi anaweza kuwa the best president in East and Central Africa??? Naona kuna malalamiko kadha wa kadha kutoka kwa wananchi wengine wanakubaliana na movement zake wengine wanaona kama anafanya vitu ambavyo si sawa.
kwa maoni yako Endapo ungepewa nafasi ya kumshauri Rais Magufuli ni kitu gani ungependa akifanyie reformation?
Mkuu, unaamini hili uliloandika? JKN anafiti kiasi kikubwa kwenye maelezo yako haya. Hakuna mjadala kabisa kuhusu nia ya Mwalimu kwa taifa lake. Kwa hilo, binafsi, alijidhiki kabisa. Alijipa the minimum kumwezesha kufanya kazi na kuwawezesha wananchi wake kwa kadiri rasilimali za taifa zilivyoruhusu. Alianguka kwa kung'ang'ania mikakati mibovu na kutoruhusu mawazo mbadala..... Otherwise anaonekana kuwa na nia njema ya kutupeleka mbele lakin sustainability ya mbinu zake ni short lived akitoka madarakani,hardly mwezi mmoja.
Moja, aache UongoNi vitu gani vinamuangusha Magufuli katika uongozi wake ambavyo kama akiviweka sawa basi anaweza kuwa the best president in East and Central Africa??? Naona kuna malalamiko kadha wa kadha kutoka kwa wananchi wengine wanakubaliana na movement zake wengine wanaona kama anafanya vitu ambavyo si sawa.
kwa maoni yako Endapo ungepewa nafasi ya kumshauri Rais Magufuli ni kitu gani ungependa akifanyie reformation?
Ni vitu gani vinamuangusha Magufuli katika uongozi wake ambavyo kama akiviweka sawa basi anaweza kuwa the best president in East and Central Africa??? Naona kuna malalamiko kadha wa kadha kutoka kwa wananchi wengine wanakubaliana na movement zake wengine wanaona kama anafanya vitu ambavyo si sawa.
kwa maoni yako Endapo ungepewa nafasi ya kumshauri Rais Magufuli ni kitu gani ungependa akifanyie reformation?
Hilo nalo nenoEleweni kuna Watawala na Viongozi
Hapo sasa Tanganyika tupo wapi kwa sasa iwapo Wabunge wana teuliwa na mtu mmoja kwa sasa
Swala la mazingira.Hahaha sio uongozi, sema utawala wake.
Uongozi sio kazi rahisi.
Halafu huko east na central Africa afanye nini wakati ni mtawala wa Tanzania pekee?!
What?
Hafai kuwa Rais nafasi yake ni uwaziri tuHilo nalo neno
Tuhuma hizi kwa rais wa nchi sio nzuri. Kwa vile zimerudiwa mara nyingi hapa jukwaani, ingefaa mamlaka zinazohusika, eg university aliyosoma au maprof waliomsimamia, zijitokeze na kutoa ukweli wa jambo hili. Uongo usipokanushwa, wengi wataamini ni ukweli. Pia nafikiri ni haki ya wananchi ambao ndio waajiri wake kujua taarifa zake zote. Wakati wa kampe huko America, Obama alilazimika kutafuta nakala ya cheti chake cha kuzaliwa kuthibitisha uraia wake.Mbili, arudie andiko lake la PhD, hatutaki vyeti fake sisi