Bin Mngereza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 610
- 269
Faizafoxy upo sahihi 100%
Mkuu Unasali kwa Gwajima au unakijiwe cha Gahawa hapo Kariakoo??Mwenge hauna tija kwa maendeleo ya taifa letu.
Mwwnge ni kichocheo cha ngono, ambayo matokeo yake ni mimba za utotoni na maambukizi ya magonjwa ya zinaa sehemu mwenge unapokesha.
Kwenye mikesha ya Mwenge ulevi wa bange na pombe haramu huhalalishwa.
Kwenye mikesha ya Mwenge matukio ya ubakaji na ulawiti ni kitu cha kawaida kabisaaaaa.
Mwenge Una gharama nyingi kuliko thamani ya miradi inayozinduliwa.
Miradi yenyewe ni aibu hata kuielezea, eti mbio za Mwenge zimezindua choo.
Gharama za mbio za Mwenge zielekezwe Kwenye hufuma nyingine za kijamii na miradi ya maendeleo.
Zindiko LA kina Forojo Ganze halina nafasi tena kwa taifa letu.
Mkuu Unasali kwa Gwajima au unakijiwe cha Gahawa hapo Kariakoo??
Mwenge hauna tija kwa maendeleo ya taifa letu.
Mwwnge ni kichocheo cha ngono, ambayo matokeo yake ni mimba za utotoni na maambukizi ya magonjwa ya zinaa sehemu mwenge unapokesha.
Kwenye mikesha ya Mwenge ulevi wa bange na pombe haramu huhalalishwa.
Kwenye mikesha ya Mwenge matukio ya ubakaji na ulawiti ni kitu cha kawaida kabisaaaaa.
Mwenge Una gharama nyingi kuliko thamani ya miradi inayozinduliwa.
Miradi yenyewe ni aibu hata kuielezea, eti mbio za Mwenge zimezindua choo.
Gharama za mbio za Mwenge zielekezwe Kwenye hufuma nyingine za kijamii na miradi ya maendeleo.
Zindiko LA kina Forojo Ganze halina nafasi tena kwa taifa letu.
Hiyo sasa ndoto..kuna bango l Magufuli ambalo halina mwenge?
Mwenge hauna tija kwa maendeleo ya taifa letu.
Mwwnge ni kichocheo cha ngono, ambayo matokeo yake ni mimba za utotoni na maambukizi ya magonjwa ya zinaa sehemu mwenge unapokesha.
Kwenye mikesha ya Mwenge ulevi wa bange na pombe haramu huhalalishwa.
Kwenye mikesha ya Mwenge matukio ya ubakaji na ulawiti ni kitu cha kawaida kabisaaaaa.
Mwenge Una gharama nyingi kuliko thamani ya miradi inayozinduliwa.
Miradi yenyewe ni aibu hata kuielezea, eti mbio za Mwenge zimezindua choo.
Gharama za mbio za Mwenge zielekezwe Kwenye hufuma nyingine za kijamii na miradi ya maendeleo.
Zindiko LA kina Forojo Ganze halina nafasi tena kwa taifa letu.
Hajasema afute Nembo amesema zifutwe mbio za Mwenge, hata Ngao ni Nembo yaMwenge ni moja ya nembo ya taifa,, sasa unataka afute nembo ya taifa wananchi watamuelewaje??
Mwenge ni maagano ya nchi tena unaongeza umaskini nchini. Sasa wakiuondoa ccm watabaki kweli salama? kamwe hawawezi kuuondoa
zindiko la kina forojo ganze halina nafasi tena kwa taifa letu.