kamati
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 240
- 109
ningependa kukushauri mr. president, sitisha mara 1 ukimbzj mwenge coz unatumia pesa nyingi sana wakati hatuoni faida
Mbio za mwenge zinafadhiliwa na wachina akifuta wanastisha kuleta mkwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ningependa kukushauri mr. president, sitisha mara 1 ukimbzj mwenge coz unatumia pesa nyingi sana wakati hatuoni faida
ningependa kukushauri mr. president, sitisha mara 1 ukimbzj mwenge coz unatumia pesa nyingi sana wakati hatuoni faida
Mwenge Wa Uhuru ni katika alama za taifa letu (national symbols). Mbiyo za mwenge ni ukumbusho Wa Uhuru wetu.
Mbio hizi huambatana na ufunguzi Wa miradi mbalimbali. Ni kivutio cha utalii na ni nakshi ya utamaduni wetu. Watu hujumuika na kucheza ngoma zetu za asili.
Kumbuka kwamba mjadala Wa kufuta mojawapo ya alama za taifa ni Wa kitaifa. Siyo jambo LA rais peke yake.
ningependa kukushauri mr. president, sitisha mara 1 ukimbzj mwenge coz unatumia pesa nyingi sana wakati hatuoni faida
ningependa kukushauri mr. president, sitisha mara 1 ukimbzj mwenge coz unatumia pesa nyingi sana wakati hatuoni faida
ningependa kukushauri mr. president, sitisha mara 1 ukimbzj mwenge coz unatumia pesa nyingi sana wakati hatuoni faida
Akifuta na yeye amfuate lowasa na washenzi wenzie
Tufuate standard zinazoeleweka, unasign mkataba kuwa nitakaa mwaka kisha unalipa mwezi wa kwanza na wa mwisho na safety deposit.
Kisha kodi unailipia kila mwezi tena directly kwenye account maana cash wanakwepa kodi.