Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Wananchi tunaona na tunaridhishwa na utendaji wako uliotukuka. Ni muda sasa tumekuwa tukilalamika katika maswala mbalimbali, lakini sasa tuna imani yale yote yaliyokuwa sio utayarekebisha.

Ikumbukwe kidole kimoja hakivunji chawa.
Tunashauri, uunde kitengo cha kupokea maoni na malalamiko ya wananchi ili nia yako njema itekelezeke. Sisi ndio wahanga na ndio tunaokutana na uozo mwingi ndani ya serikali yako, tupo tayari kukupa ushirikiano kwa 100% bila kificho, ila kwa sasa hatumuamini mtu kwa sababu hatukupewa hiyo nafasi kwa uwazi, tulitoa ushirikiano sehemu mbalimbali lakini mwisho wake wengine walipoteza uhai.

Nakuhakikishia muheshimiwa rais, kitengo hiki kitatumbua majipu, vipele hadi chunusi

Asante sana
 
Hakika umenena,itakuwa suluhu nzuri kupata taarifa nyeti,mtu akitajwa mara 3 lazma akahojiwe
 
Kweli kabisa inabidi Rais aweke channels za kueleweka kupokea malalamiko ya wananchi mbalimbali!
Pale Ikulu nyumbani kwa Rais leo hii pamekuwa ni sehemu ya mateso kwa baadhi ya wananchi wanaojichanganya na kupita jirani na ukuta. Askari wamekuwa wakiwakamata na kuwapa mateso makali sana maeneo ya upande wa baharini.
Jana nimeshuhudia kijana wa bodaboda amedakwa kwa kupita jirani na fence ya Ikulu mida ya jioni, hata sijui nini kitakuwa kimempata kijana wa watu.
 
Kama mimi ni mwananchi ninayeipenda nchi yangu lazima niwe na shauku ya kutaka kuingia ndani ilkulu, kama hilo haliwezekani basi hata kuugusa ukuta tu ninapopita maeneo yale. Askari waweze kutambua hili.
 
Naona unakwendaaa halafu unarudi kwangu.Unaonesha una mahaba au nawe ni muathirika.Imeshagundulika,umepata hati halali,kibali cha ujenzi halali lakini jengo lipo juu ya bomba,tukuache?kisa ulikua hujui au umepewa na mamlaka?

Iwe umepewa na mamlaka,au umepita porini,utavunjiwa halafu kadai pesa yako yako kwa waliokuruhusu ujenge juu ya bomba la mafuta
 
Sijui hata nikwambie nini, ila pole sana.

Tangu uzaliwe bomba la TAZAMA limekusaidia nini wewe kama Mtanzania? Bola hata hiyo lodge unaweza ukaenda kujihifadhi ukipata safari inahohitaji ulale Morogoro. By the way, inatoa ajira na kuchangia pato la Mtanzania. Kinachokusumbua ni roho ya kwanini Mtanzania mwenzako kajenga hoteli ya kifahari wakati wewe bado unaishi kwenye nyumba za kupanga wakati umri unaenda....
 
You must be joking, if not, you are missing something very important especially upstairs
Tangu uzaliwe bomba la TAZAMA limekusaidia nini wewe kama Mtanzania? Bola hata hiyo lodge unaweza ukaenda kujihifadhi ukipata safari inahohitaji ulale Morogoro. By the way, inatoa ajira na kuchangia pato la Mtanzania. Kinachokusumbua ni roho ya kwanini Mtanzania mwenzako kajenga hoteli ya kifahari wakati wewe bado unaishi kwenye nyumba za kupanga na udaktari wako wakati umri unaenda.... Angalia madaktari wenzako wanaendesha Range. Go back to school and learn from dokta Mwaka...
 
point yako nzuri lakini haina mashiko huyo angekuwa cdm ubunge ungemuhusu labda urudi ccm halafu rais amfikirie hata hivyo huyo aliye mshauri ajiunge na Act amempotezea ramani binafsi namshauri atoroke aje cdm
 
Kama kuna utawala uliongoza kibabe ni kipindi cha awamu ya kwanza kufuta mfumo wa vyama vingi kuanzisha siasa ya ujamaa, kufuta soko huria
kuhamisha wananchi kwa nguvu bila idhini yao, kutaifisha shule kwa nguvu kukataza bidhaa za nje kama tv, simu, nk

Wengi wamesahau!

Nilichojifunza kutoka kwa huyu mtaalamu wa chemistry ( sijajua kuhusu masomo mengine kama kingereza nk) naiona awamu hii ikiipiku x 2 awamu ya kwanza juu ya record on human right and free practise of democracy.
 
kama kuna utawala uliongoza kibabe ni kipindi cha awamu ya kwanza
. kufuta mfumo wa vyama vingi
.kuanzisha siasa ya ujamaa
kufuta soko huria
.kuhamisha wananchi kwa nguvu bila idhini yao
.kutaifisha shule kwa nguvu
.kukataza bidhaa za nje km tv, cm, nk

wengi wamesahau!!!

nilichojifunza kutoka. kwa huyu mtaalamu wa chemistry ( sijajua kuhusu masomo mengine kama kingereza nk) naiona awamu hii ikiipiku x 2 awamu ya kwanza juu ya record on human right and free practise of democracy
Nyerere atangazwe MTAKATIFU haraka
 
Na Bado awe dikteta tu mambo ya kuiongoza nchi kwa vimemo chereko Na vifijo zimeshapita,miaka 10 iwe Ni kunyooshwa Na kukuza uchumi.
Nalog off
 
Kama kuna utawala uliongoza kibabe ni kipindi cha awamu ya kwanza kufuta mfumo wa vyama vingi kuanzisha siasa ya ujamaa, kufuta soko huria
kuhamisha wananchi kwa nguvu bila idhini yao, kutaifisha shule kwa nguvu kukataza bidhaa za nje kama tv, simu, nk

Wengi wamesahau!

Nilichojifunza kutoka kwa huyu mtaalamu wa chemistry ( sijajua kuhusu masomo mengine kama kingereza nk) naiona awamu hii ikiipiku x 2 awamu ya kwanza juu ya record on human right and free practise of democracy.

Mpaka uhame nchi
 
Haya majipu kila mmoja atatumbuliwa kwa namna yake!
 
Kama kweli atampiku nyerere bac big up prof magu........maana ndo tunataka mtu kama huyo.....dunia hakuna demokrasiq hizo ni tafasiri tu za wazungu.....hata sisi tunaweza kuwa na magufuli democracy....ambayo ndo hii ys sasa
 
Kama kuna utawala uliongoza kibabe ni kipindi cha awamu ya kwanza kufuta mfumo wa vyama vingi kuanzisha siasa ya ujamaa, kufuta soko huria
kuhamisha wananchi kwa nguvu bila idhini yao, kutaifisha shule kwa nguvu kukataza bidhaa za nje kama tv, simu, nk

Wengi wamesahau!

Nilichojifunza kutoka kwa huyu mtaalamu wa chemistry ( sijajua kuhusu masomo mengine kama kingereza nk) naiona awamu hii ikiipiku x 2 awamu ya kwanza juu ya record on human right and free practise of democracy.

Muathirika wa upanga wa JP naona majeraha bado hajayapona..subiri bado JP anakuja kutia chumvi humo..
 
Ni bora twende hivi hivi kidikteta ili watoto wetu wawe na maisha bora. Udikteta huo umeokoa 1.3t
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom