covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]Wawekezaji wa mitaro??
Asituzingue huyu chalii tz hakuna mazingira rafiki kwa uwekezaji[emoji16][emoji16][emoji16]
Asituzingue huyu chalii tz hakuna mazingira rafiki kwa uwekezaji
Wapo wengi sana[emoji116] [emoji116] [emoji116]Jamaa anataka wafuasi wamfuate.
Huyo aliyesimama na Makamba Jr ana masikio kama matiti.Wapo wengi sana[emoji116] [emoji116] [emoji116] View attachment 935523View attachment 935524View attachment 935525
Hawa ni partners wa mleta uziHuyo aliyesimama na Makamba Jr ana masikio kama matiti.
Acha wafanya upuuzi ambao ulikuwa kwenye asili ya baba zao.Hawa ni partners wa mleta uzi
Mchele mpyaMti mlaiini😀😀😀
Mtoto shoo rangi ya jogoo
Kwa Nchi ambazo mimi nimeishi au kuzitembelea Tayari zina Industrial parks Ukifika tu siku 2 au 3 tayari una jengo na kila kitu kinachotakiwa kwa kuanzisha kiwanda pamoja na vibari vyote mpaka work permit na ma expert wako. Hapa TIC ,TRA Uhamiaji wizara ya aridhi,Tanesco,Dawasa, WANAONGEA KILA MTU NA LUGHA YAKE kama ilivyokuwa wakati wanajenga mnara wa BABELI!!! Unakuja kuwekeza unaambiwa ufidie Land ya wanakijiji !!!! akuna hii kitu kwa wenzetu!!!! hapa Tanzania ukishapata Workpermit inabidi uhamie uhamiaji ambako rushwa inaweza kukuchelewesha ata miezi sita!!!! Nilikuwa na wawekezaji wameamua wakawekeze South africa! Tanzania atuna wawekezaji tuna wasaniii ,wametoa Rushwa watapiga hela na kukwepa kodi na wataiba , sisi Tanzania tuna vibaka atuna investors!!! uliona wapi Wageni wanauza Sabuni Kitumbini?!!Ningekua mimi ni rais ningemwamuru kila mwakilishi wa tz (balozi) analeta wawekezaji wasiopungua 100 kuja kuwekeza kwa kujenga viwanda tz kila mwaka
Ningeweka hiyo kama qualification ya kuteuliwa kuwa balozi
Duniani kuna nchi 195 tuchukulie 80 duniani zina uchumi imara hapa nazungumzia uchumi mkubwa na wa kati
Viwanda 100 kila balozi avilete kwa nchi 80?
100×80=8000
Hapo ni viwanda 8000
Viwanda 8000 kila mwaka kwa miaka 5?
8000×5= 40000
Hapo jee hatutafikia uchumi wa kati? Hapo sijaweka viwanda vya wazawa, mapato ya kawaida ya tra, utalii nk
Jpm angefanya hivi toka kaingia 2015 leo tungekua mbali sana
Mnazani wawekezaji ni makalio kila mtu anayo
Mimi sina chama ujueVijana wa Lumumba mna maneno,
Sasa uwekezaji kwenye Dhahabu tu imekuwa Mtihani sasa mmeenda kwenye Korosho ,na mmewapa Jeshi hiyo Shughuli..
Katika Mazingira hayo nani atakuja kuwekeza hapa Pesa zake..
Nimejaribu kuwaza hilo mkuuWe akili zako pancha, waache kwenda kenya kwenye gavoo rafiki waje TZ wapate kashkash za ajabu ajabu haiingii akilini TZ wanakii-google tu wanakutana na majambo ya kunyimwa mkopo kupiga watu risasi bungeni kuteka watu waje wafate nini wakati kenya ni rafiki kwa uwekezaji