Maoni ya Katiba Mpya: Kama madaraka yanatokana na wananchi, kwanini Rais Samia aseme kuwa mapendekezo ya Kikosi Kazi siyo amri kwa Serikali?

Maoni ya Katiba Mpya: Kama madaraka yanatokana na wananchi, kwanini Rais Samia aseme kuwa mapendekezo ya Kikosi Kazi siyo amri kwa Serikali?

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Maoni ya kikosi kazi, kilichokuwa kikiongozwa na Profesa Mkandala, kimewasilisha rasmi maoni yake kwa Rais Samia, iliyoyakusanya kutoka kwenye makundi mbalimbali ya wananchi.

Hata hivyo nimeshangazwa Sana na kauli iliyotolewa na Rais Samia baada ya kuyapokea maoni hayo, kuwa maoni hayo ya kikosi kazi, siyo amri kwa Serikali.

Hiyo ina maana kuwa Serikali inaweza ikayatekeleza maoni hayo au isiyatekeleze!

Ifahamike kuwa maoni ya kuibadilisha Katiba yetu ni ya muda mrefu Sana, toka kwa wananchi walio wengi hapa nchini, kuwa Katiba tuliyo nayo ni ya mfumo wa chama kimoja, kwa hiyo haitufai kwa Sasa, wakati nchi ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa hiyo wananchi hao, wanataka iandikwe upya Katiba hiyo.

Kama tunaambiwa kuwa madaraka yanatokana na wananchi na wananchi hao hao ndiyo wanaosema kuwa mfumo wetu wa kisiasa na kiuchumi ni LAZIMA ubadilike na Ili ubadilike ni LAZIMA tubadili Katiba yetu, inakuwaje Rais wetu, atamke maneno ya jeuri kiasi hicho, eti maoni ya kikosi Kazi, siyo amri kwa Serikali?

Tunajua kuwa serikali hii ya CCM hawapendi kabisa kuibadilisha Katiba hii, kwa kuwa wao ndiyo wanufaika kwa kiasi kikubwa na Katiba hii ya Sasa tuliyonayo.

Hata hivyo ninachowaomba watawala wetu wa CCM, wajali maslahi mapana ya nchi, kama wananchi walio wengi, ndiyo wanaosema kuwa Katiba tuliyo nayo hivi Sasa, haitufai kwa sasa, kwa kuwa imepitwa na wakati, iweje yeye Rais atamke kuwa Serikali yake hailazimiki kuyafuata maoni hayo ya wananchi?

Niwasihi watawala wetu, ni vyema mkasikiliza maoni ya wananchi, kwa kuwa wananchi hao ndiyo waliowaweka madarakani na hampaswi kusema kuwa mna hiyari ya kuwasikiliza wananchi hao au laa!

Maneno yaliyotolewa na Rais Samia ya kusema kuwa Serikali yake inaweza kuyafanyia marekebisho maoni yaliyotolewa na wananchi au isiyatekeleze, ni maneno ya hatari Sana, ambayo yanaweza yakasababisha machafuko hapa nchini, hata kufikia umwagikaji wa damu hapa nchini.

Niwasihi Sana watawala wetu, wasingoje hadi nchi yetu ifikie umwagikaji damu, kama ambavyo imetokea kwa baadhi ya mataifa mengine, bali muyatekeleze kwa kuwa ndiyo maoni ya wananchi na muepuke kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko makubwa.

Mungu ibariki Tanzania
 
Maoni ya kikosi kazi, kilichokuwa kikiongozwa na Profesa Mkandala, kimewasilidha rasmi maoni yake kwa Rais Samia, iliyoyakusanya kutoka kwenye makundi mbalimbali ya wananchi.

Hata hivyo nimeshangazwa Sana na kauli iliyotolewa na Rais Samia baada ya kuyapokea maoni hayo, kuwa maoni hayo ya kikosi kazi, siyo amri kwa Serikali.

Hiyo ina maana kuwa Serikali inaweza ikayatekeleza maoni hayo au isiyatekeleze!

Ifahamike kuwa maoni ya kuibadilisha Katiba yetu ni ya muda mrefu Sana, toka kwa wananchi walio wengi hapa nchini, kuwa Katiba tuliyo nayo ni ya mfumo wa chama kimoja, kwa hiyo haitufai kwa Sasa, wakati nchi ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa hiyo wananchi hao, wanataka iandikwe upya Katiba hiyo.

Kama tunaambiwa kuwa madaraka yanatokana na wananchi na wananchi hao hao ndiyo wanaosema kuwa mfumo wetu wa kisiasa na kiuchumi ni LAZIMA ubadilike na Ili ubadilike ni LAZIMA tubadili Katiba yetu, inakuwaje Rais wetu, atamke maneno ya jeuri kiasi hicho, eti maoni ya kikosi Kazi, siyo amri kwa Serikali?

Tunajua kuwa serikali hii ya CCM hawapendi kabisa kuibadilisha Katiba hii, kwa kuwa wao ndiyo wanufaika kwa kiasi kikubwa na Katiba hii ya Sasa tuliyonayo.

Hata hivyo ninachowaomba watawala wetu wa CCM, wajali maslahi mapana ya nchi, kama wananchi walio wengi, ndiyo wanaosema kuwa Katiba tuliyo nayo hivi Sasa, haitufai kwa sasa, kwa kuwa imepitwa na wakati, iweje yeye Rais atamke kuwa Serikali yake hailazimiki kuyafuata maoni hayo ya wananchi?

Niwasihi watawala wetu, ni vyema mkasikiliza maoni ya wananchi, kwa kuwa wananchi hao ndiyo waliowaweka madarakani na hampaswi kusema kuwa mna hiyari ya kuwasikiliza wananchi hao au laa!

Maneno yaliyotolewa na Rais Samia ya kusema kuwa Serikali yake inaweza kuyafanyia marekebisho hayo yaliyotolewa na wananchi au isiyatekeleze, ni maneno ya hatari Sana, ambayo yanaweza yakasababisha machafuko hapa nchini, hata kufikia umwagikaji wa damu hapa nchini.

Niwasihi Sana watawala wetu, wasingoje hadi nchi yetu ifikie umwagikaji damu, kama ambavyo imetokea kwa baadhi ya mataifa mengine, bali muyatekeleze kwa kuwa ndiyo maoni ya wananchi na muepuke kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko makubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Ulevi wa madaraka ni ugonjwa mbaya sana…
 
Maoni ya kikosi kazi, kilichokuwa kikiongozwa na Profesa Mkandala, kimewasilidha rasmi maoni yake kwa Rais Samia, iliyoyakusanya kutoka kwenye makundi mbalimbali ya wananchi.

Hata hivyo nimeshangazwa Sana na kauli iliyotolewa na Rais Samia baada ya kuyapokea maoni hayo, kuwa maoni hayo ya kikosi kazi, siyo amri kwa Serikali.

Hiyo ina maana kuwa Serikali inaweza ikayatekeleza maoni hayo au isiyatekeleze!

Ifahamike kuwa maoni ya kuibadilisha Katiba yetu ni ya muda mrefu Sana, toka kwa wananchi walio wengi hapa nchini, kuwa Katiba tuliyo nayo ni ya mfumo wa chama kimoja, kwa hiyo haitufai kwa Sasa, wakati nchi ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa hiyo wananchi hao, wanataka iandikwe upya Katiba hiyo.

Kama tunaambiwa kuwa madaraka yanatokana na wananchi na wananchi hao hao ndiyo wanaosema kuwa mfumo wetu wa kisiasa na kiuchumi ni LAZIMA ubadilike na Ili ubadilike ni LAZIMA tubadili Katiba yetu, inakuwaje Rais wetu, atamke maneno ya jeuri kiasi hicho, eti maoni ya kikosi Kazi, siyo amri kwa Serikali?

Tunajua kuwa serikali hii ya CCM hawapendi kabisa kuibadilisha Katiba hii, kwa kuwa wao ndiyo wanufaika kwa kiasi kikubwa na Katiba hii ya Sasa tuliyonayo.

Hata hivyo ninachowaomba watawala wetu wa CCM, wajali maslahi mapana ya nchi, kama wananchi walio wengi, ndiyo wanaosema kuwa Katiba tuliyo nayo hivi Sasa, haitufai kwa sasa, kwa kuwa imepitwa na wakati, iweje yeye Rais atamke kuwa Serikali yake hailazimiki kuyafuata maoni hayo ya wananchi?

Niwasihi watawala wetu, ni vyema mkasikiliza maoni ya wananchi, kwa kuwa wananchi hao ndiyo waliowaweka madarakani na hampaswi kusema kuwa mna hiyari ya kuwasikiliza wananchi hao au laa!

Maneno yaliyotolewa na Rais Samia ya kusema kuwa Serikali yake inaweza kuyafanyia marekebisho hayo yaliyotolewa na wananchi au isiyatekeleze, ni maneno ya hatari Sana, ambayo yanaweza yakasababisha machafuko hapa nchini, hata kufikia umwagikaji wa damu hapa nchini.

Niwasihi Sana watawala wetu, wasingoje hadi nchi yetu ifikie umwagikaji damu, kama ambavyo imetokea kwa baadhi ya mataifa mengine, bali muyatekeleze kwa kuwa ndiyo maoni ya wananchi na muepuke kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko makubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Anawazugha waTanzania
 
Ulevi wa madaraka ni ugonjwa mbaya sana…
Hivi ni mtanzania gani asiyekubaliana na kuwepo kwa Katiba mpya?

Hivi yeye Rais, haoni namna Katiba ya Sasa, ilivyompa madaraka ya ki-mungu mtu yeye?

Pia haoni kasoro ya Katiba hii, ilivyompa madaraka makubwa ya kuteua wakurugenzi wote, nchi nzima, ambao ndiyo wasimamizi wakuu wa uchaguzi kwenye maeneo yao?
 
Sahizi mpo very serious kutaka katiba mpya bila kukemea Yale yaliyotokea kwenye bunge la katiba mpya, ambapo wabunge wa upinzani walikuwa wakisusa vikao vya katiba na kuziba midomo na pluster,ili hali hela nyingi serikali iliwekeza,
Mimi naona
1. katiba mpya iwe baada ya 2025,
2. Isiandikwe nyngne tuipigie kura ileile rasm ambayo upinzani walikuwa wakisusia vikao vyake.
3. Kwasasa serikali iendelee kuwekeza hela kwenye maendeleo yetu wananchi Kama ambavyo tunashuhudia kazi nzuri zinazofanywa na serikali ya awamu ya 6.
 
Sahizi mpo very serious kutaka katiba mpya bila kukemea Yale yaliyotokea kwenye bunge la katiba mpya, ambapo wabunge wa upinzani walikuwa wakisusa vikao vya katiba na kuziba midomo na pluster,ili hali hela nyingi serikali iliwekeza,
Mimi naona
1. katiba mpya iwe baada ya 2025,
2. Isiandikwe nyngne tuipigie kura ileile rasm ambayo upinzani walikuwa wakisusia vikao vyake.
3. Kwasasa serikali iendelee kuwekeza hela kwenye maendeleo yetu wananchi Kama ambavyo tunashuhudia kazi nzuri zinazofanywa na serikali ya awamu ya 6.
Maendeleo gani zaidi ya kuwa na katiba bora kwa manufaa ya Taifa?.
Umetumwa?.
 
Sahizi mpo very serious kutaka katiba mpya bila kukemea Yale yaliyotokea kwenye bunge la katiba mpya, ambapo wabunge wa upinzani walikuwa wakisusa vikao vya katiba na kuziba midomo na pluster,ili hali hela nyingi serikali iliwekeza,
Mimi naona
1. katiba mpya iwe baada ya 2025,
2. Isiandikwe nyngne tuipigie kura ileile rasm ambayo upinzani walikuwa wakisusia vikao vyake.
3. Kwasasa serikali iendelee kuwekeza hela kwenye maendeleo yetu wananchi Kama ambavyo tunashuhudia kazi nzuri zinazofanywa na serikali ya awamu ya 6.
Wajnga wa kiwango hiki bado mpo? Umeandika uinga.
 
Huyu mama anazungusha zungusha wapinzani kwa kujifanya anataka 4Rs lkn hana nia hiyo. Ndiyo maana kila maagizo yana maagizo mapya na vituko juu
 
Huyu mama anazungusha zungusha wapinzani kwa kujifanya anataka 4Rs lkn hana nia hiyo. Ndiyo maana kila maagizo yana maagizo mapya na vituko juu
Sasa wapinzani wenyewe ndo Hawa toka tunazaliwa tunasikiaga Ni wenyeviti wa vyama mpaka tunazeeka bado wenyeviti tu, Sasa hcho ni chama au kikundi Cha kikoba
 
Kuna mahali niliandika kuhusu hii issue ya madarakaya urais wa nchi hii, yaani yeyote akipata nafasi kukaa pale juu hata akiwa CDM nk ugonjwa ni huu huu, there's nothing more that to kulinda nafasi hiyo hapo juu.

Na sidhani kama ni yeye bali wenye nguvu walio hapo chini yake.
 
Huyu mama anazungusha zungusha wapinzani kwa kujifanya anataka 4Rs lkn hana nia hiyo. Ndiyo maana kila maagizo yana maagizo mapya na vituko juu
Mh. Rais yupo sahihi, kila Jambo linahitaji busara na maandalizi kabla ya kuanza kulitekeleza.
 
Kuna mahali niliandika kuhusu hii issue ya madarakaya urais wa nchi hii, yaani yeyote akipata nafasi kukaa pale juu hata akiwa CDM nk ugonjwa ni huu huu, there's nothing more that to kulinda nafasi hiyo hapo juu.

Na sidhani kama ni yeye bali wenye nguvu walio hapo chini yake.
TODAYS
Hata hivyo, ni lazima kuyafikiria maslahi mapana ya Taifa

Tunawezaje kuwa na mfumo wa vyama vingi, ilihali Katiba iliyopo Sasa ni ya mfumo wa chama kimoja?🥺

Katiba iliyopo Sasa hivi inampa madaraka makubwa mno Rais aliyepo madarakani.

Rais ndiye anayeteua Mwenyekiti na makamishna wote wa uchaguzi wa Tume ya uchaguzi

Rais aliyepo madarakani ndiye anayeteua wakurugenzi wote wa nchi nzima, ambao ndiyo wasimamizi wa uchaguzi, kwen6 maeneo yao.

Hata Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kutamka wakati mmoja kuwa, kwa Katiba tuliyo nayo, Rais tutakuwa tumempa uwezo wa kuwa Dikteta!🥺
 
Maoni ya kikosi kazi, kilichokuwa kikiongozwa na Profesa Mkandala, kimewasilisha rasmi maoni yake kwa Rais Samia, iliyoyakusanya kutoka kwenye makundi mbalimbali ya wananchi.

Hata hivyo nimeshangazwa Sana na kauli iliyotolewa na Rais Samia baada ya kuyapokea maoni hayo, kuwa maoni hayo ya kikosi kazi, siyo amri kwa Serikali.

Hiyo ina maana kuwa Serikali inaweza ikayatekeleza maoni hayo au isiyatekeleze!

Ifahamike kuwa maoni ya kuibadilisha Katiba yetu ni ya muda mrefu Sana, toka kwa wananchi walio wengi hapa nchini, kuwa Katiba tuliyo nayo ni ya mfumo wa chama kimoja, kwa hiyo haitufai kwa Sasa, wakati nchi ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa hiyo wananchi hao, wanataka iandikwe upya Katiba hiyo.

Kama tunaambiwa kuwa madaraka yanatokana na wananchi na wananchi hao hao ndiyo wanaosema kuwa mfumo wetu wa kisiasa na kiuchumi ni LAZIMA ubadilike na Ili ubadilike ni LAZIMA tubadili Katiba yetu, inakuwaje Rais wetu, atamke maneno ya jeuri kiasi hicho, eti maoni ya kikosi Kazi, siyo amri kwa Serikali?

Tunajua kuwa serikali hii ya CCM hawapendi kabisa kuibadilisha Katiba hii, kwa kuwa wao ndiyo wanufaika kwa kiasi kikubwa na Katiba hii ya Sasa tuliyonayo.

Hata hivyo ninachowaomba watawala wetu wa CCM, wajali maslahi mapana ya nchi, kama wananchi walio wengi, ndiyo wanaosema kuwa Katiba tuliyo nayo hivi Sasa, haitufai kwa sasa, kwa kuwa imepitwa na wakati, iweje yeye Rais atamke kuwa Serikali yake hailazimiki kuyafuata maoni hayo ya wananchi?

Niwasihi watawala wetu, ni vyema mkasikiliza maoni ya wananchi, kwa kuwa wananchi hao ndiyo waliowaweka madarakani na hampaswi kusema kuwa mna hiyari ya kuwasikiliza wananchi hao au laa!

Maneno yaliyotolewa na Rais Samia ya kusema kuwa Serikali yake inaweza kuyafanyia marekebisho maoni yaliyotolewa na wananchi au isiyatekeleze, ni maneno ya hatari Sana, ambayo yanaweza yakasababisha machafuko hapa nchini, hata kufikia umwagikaji wa damu hapa nchini.

Niwasihi Sana watawala wetu, wasingoje hadi nchi yetu ifikie umwagikaji damu, kama ambavyo imetokea kwa baadhi ya mataifa mengine, bali muyatekeleze kwa kuwa ndiyo maoni ya wananchi na muepuke kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko makubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Mada Bora kabisa kwa Wenye akili. Siku hizi naona ugonjwa wa viongozi wa serikali kutoheshimu madaraka ya Wananchi umeenea Hadi ngazi za Kata.
 
Back
Top Bottom