Maoni ya katiba

george njeni

New Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
1
Reaction score
0
Ndugu watanzania wakatitulionao ni wakati mzurisana wakufanyamarekebisho ya katiba ya nchi yetu, lakini vilele unawezekana ukawa wakati mbaya sana kama hatutautumia vyema ipasavyo, Maoni yakatiba yanawahusu watanzaniawote lakini swali lakujiuliza niwatanzania wangapi wanaoijua katiba ya JAMUHURI YA MUNGANO wa TANZANIA? maana yake tutachangia nini kama katiba hatujui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…