Maoni ya mashabiki wa Yanga yanaumiza mno, kama Taifa tuna safari ndefu sana

Maoni ya mashabiki wa Yanga yanaumiza mno, kama Taifa tuna safari ndefu sana

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
Habari wakuu wana Jamii Forums.

Nimelazimika kuingilia kati kidogo minadala inayoendelea Tangu jana Usiku Baada ya yanga Kupoteza Mchezo 2-0 Dhidi ya MC Alger ya Algeria

Nimekuwa nikifuatilia maoni sehemu mbali mbali hususa ni Kwenye mitandao ya kijamii kama Jf na instagram.

MAONI YANAYOTOLELEWA NA MASHABIKI, WANACHAMA NA WAPENZI WA YANGA AFRICA UNAWEZA UKALI. HII NDIO INANIFANYA NIONE TAIFA LANGU LIMEOZA KABISA LIMEJAZA MBUMBUMBU KABISA.

"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020.

"MWINGINE AKASEMA YANGA WENYE AKILI NI WAWILI TU MZEE KIKWETE NA MZEE SUNDAY MANARA"
- HAJI MANARA"

BAADHI YA MICHANGO YA MASHABIKI WQ YANGA BAADA YA KUPOTEZA MCHEZO NA MC ALGERS.

1. Huyo sio kocha kabisa hafai kabisa kuifundisha Yanga hana uwezo kabisa.

2. Engineer afukuzwe anamfukuzaje Gamondi kama Mke wake.

3. Mobeto ameshusha sana kiwango cha Azizi Ki.

4. Kocha Anampangaje Abuya anamuacha Mkude nje aliyecheza vizuri Mechi na Mamelody.

5. Kibabage anazungu anazunhuka kama Mtoto wa Under 17 uwanjani hakuna anacho kifanya.

6. Mzee magoma Anasababisha majeraha kwa Wachezaji wetu.

7. Uwanja wa azam haufai kabisa kuchezewa mpira.

8. GSM yule ni simba Damu tuliisha waambia hamtaki kisikia.

9. Mwamnyeto hafai kucheza yanga.

10. Kocha wa viongo wa Yanga anasabisha wachesaji wanapata majeraha.

WANASAHAU MAMBO YA MUHIMU .

BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2. UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2. Ujinga na upumbavu.
3. Magonjwa na Maradhi.

4. Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi

AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Habari wakuu wana Jamii Forum.

Nimelazimika kuingilia kati kidogo minadala inayoendelea Tangu jana Usiku Baada ya yanga Kupoteza Mchezo 2-0 Dhidi ya MC Alger ya Algeria

Nimekuwa nikifuatilia maoni sehemu mbali mbali hususa ni Kwenye mitandao ya kijamii kama Jf na instagram.

MAONI YANAYOTOLELEWA NA MASHABIKI, WANACHAMA NA WAPENZI WA YANGA AFRICA UNAWEZA UKALI. HII NDIO INANIFANYA NIONE TAIFA LANGU LIMEOZA KABISA LIMEJAZA MBUMBUMBU KABISA.

"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020.

"MWINGINE AKASEMA YANGA WENYE AKILI NI WAWILI TU MZEE KIKWETE NA MZEE SUNDAY MANARA"
- HAJI MANARA"

BAADHI YA MICHANGO YA MASHABIKI WQ YANGA BAADA YA KUPOTEZA MCHEZO NA MC ALGERS.

1. Huyo sio kocha kabisa hafai kabisa kuifundisha Yanga hana uwezo kabisa.

2. Engineer afukuzwe anamfukuzaje Gamondi kama Mke wake.

3. Mobeto ameshusha sana kiwango Cha Azizi ki.

4. Kocha Anampangaje Abuya anamuacha Mkude nje aliyecheza vizuri Mechi na Mamelody.

5. Kibabage anazungu anazunhuka kama Mtoto wa Under 17 uwanjani hakuna anacho kifanya.

6. Mzee magoma Anasababisha majeraha kwa Wachezaji wetu.

7. Uwanja wa azam haufai kabisa kuchezewa mpira.

8. Gsm yule ni simba Damu tuliisha waambia hamtaki kisikia.

9. Mwamnyeto hafai kucheza yanga.

10.Kocha wa viongo wa Yanga anasabisha wachesaji wanapata majeraha.


WANASAHAU MAMBO YA MUHIMU .


BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
TOA USHAURI
 
Habari wakuu wana Jamii Forum.

Nimelazimika kuingilia kati kidogo minadala inayoendelea Tangu jana Usiku Baada ya yanga Kupoteza Mchezo 2-0 Dhidi ya MC Alger ya Algeria

Nimekuwa nikifuatilia maoni sehemu mbali mbali hususa ni Kwenye mitandao ya kijamii kama Jf na instagram.

MAONI YANAYOTOLELEWA NA MASHABIKI, WANACHAMA NA WAPENZI WA YANGA AFRICA UNAWEZA UKALI. HII NDIO INANIFANYA NIONE TAIFA LANGU LIMEOZA KABISA LIMEJAZA MBUMBUMBU KABISA.

"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020.

"MWINGINE AKASEMA YANGA WENYE AKILI NI WAWILI TU MZEE KIKWETE NA MZEE SUNDAY MANARA"
- HAJI MANARA"

BAADHI YA MICHANGO YA MASHABIKI WQ YANGA BAADA YA KUPOTEZA MCHEZO NA MC ALGERS.

1. Huyo sio kocha kabisa hafai kabisa kuifundisha Yanga hana uwezo kabisa.

2. Engineer afukuzwe anamfukuzaje Gamondi kama Mke wake.

3. Mobeto ameshusha sana kiwango Cha Azizi ki.

4. Kocha Anampangaje Abuya anamuacha Mkude nje aliyecheza vizuri Mechi na Mamelody.

5. Kibabage anazungu anazunhuka kama Mtoto wa Under 17 uwanjani hakuna anacho kifanya.

6. Mzee magoma Anasababisha majeraha kwa Wachezaji wetu.

7. Uwanja wa azam haufai kabisa kuchezewa mpira.

8. Gsm yule ni simba Damu tuliisha waambia hamtaki kisikia.

9. Mwamnyeto hafai kucheza yanga.

10.Kocha wa viongo wa Yanga anasabisha wachesaji wanapata majeraha.


WANASAHAU MAMBO YA MUHIMU .


BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Lakini unakumbuka kuwa Yanga inafungwaje?
 

Attachments

  • Screenshot_20241116-181034_1.jpg
    Screenshot_20241116-181034_1.jpg
    193.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20241203-221155_1.jpg
    Screenshot_20241203-221155_1.jpg
    270.1 KB · Views: 4
TOA USHAURI

Nilitaka nitoe lakini nikaona Uzi utakuwa Mrefu sana.

1. Mpira wetu unahitaji u serious wa hali ya juu kutoka selikalini

2. Mpira unahitaji uwekezaji Mkubwa sana

3. Mpira un Ningeshauri waajili wataalamu wa michezo

Ningeshauri wasajili wachezaji wazuri na sio kuchukua simba na azam. Chama ,, mkude, okra Dube nk.
 
Habari wakuu wana Jamii Forums.

Nimelazimika kuingilia kati kidogo minadala inayoendelea Tangu jana Usiku Baada ya yanga Kupoteza Mchezo 2-0 Dhidi ya MC Alger ya Algeria

Nimekuwa nikifuatilia maoni sehemu mbali mbali hususa ni Kwenye mitandao ya kijamii kama Jf na instagram.

MAONI YANAYOTOLELEWA NA MASHABIKI, WANACHAMA NA WAPENZI WA YANGA AFRICA UNAWEZA UKALI. HII NDIO INANIFANYA NIONE TAIFA LANGU LIMEOZA KABISA LIMEJAZA MBUMBUMBU KABISA.

"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020.

"MWINGINE AKASEMA YANGA WENYE AKILI NI WAWILI TU MZEE KIKWETE NA MZEE SUNDAY MANARA"
- HAJI MANARA"

BAADHI YA MICHANGO YA MASHABIKI WQ YANGA BAADA YA KUPOTEZA MCHEZO NA MC ALGERS.

1. Huyo sio kocha kabisa hafai kabisa kuifundisha Yanga hana uwezo kabisa.

2. Engineer afukuzwe anamfukuzaje Gamondi kama Mke wake.

3. Mobeto ameshusha sana kiwango Cha Azizi ki.

4. Kocha Anampangaje Abuya anamuacha Mkude nje aliyecheza vizuri Mechi na Mamelody.

5. Kibabage anazungu anazunhuka kama Mtoto wa Under 17 uwanjani hakuna anacho kifanya.

6. Mzee magoma Anasababisha majeraha kwa Wachezaji wetu.

7. Uwanja wa azam haufai kabisa kuchezewa mpira.

8. Gsm yule ni simba Damu tuliisha waambia hamtaki kisikia.

9. Mwamnyeto hafai kucheza yanga.

10.Kocha wa viongo wa Yanga anasabisha wachesaji wanapata majeraha.


WANASAHAU MAMBO YA MUHIMU .


BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Kwa ulivyomaliza na wewe umeunganishwa na mashabiki wa Yanga wote Akili zenu Same same.
 
Kwa ulivyomaliza na wewe umeunganishwa na mashabiki wa Yanga wote Akili zenu Same same.
Hata mwalimu angekuwa na akili au uwezo namna gani sijawahi kusikia wanafunzi wote darasani wakapata alama sawa za ufaulu yaani 'same same'.
 
Wanajikuna naniliu na kujinusa...watulie tu..mpira ni ushindani.
Daah,ila Yanga wamekula Bata daah🙌
 
Alisikika home boy konde "Yanga kuvanowe waiyo jama waiyo dobidobi".waiyo na soccer are like david & goliath
 
Habari wakuu wana Jamii Forums.

Nimelazimika kuingilia kati kidogo minadala inayoendelea Tangu jana Usiku Baada ya yanga Kupoteza Mchezo 2-0 Dhidi ya MC Alger ya Algeria

Nimekuwa nikifuatilia maoni sehemu mbali mbali hususa ni Kwenye mitandao ya kijamii kama Jf na instagram.

MAONI YANAYOTOLELEWA NA MASHABIKI, WANACHAMA NA WAPENZI WA YANGA AFRICA UNAWEZA UKALI. HII NDIO INANIFANYA NIONE TAIFA LANGU LIMEOZA KABISA LIMEJAZA MBUMBUMBU KABISA.

"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020.

"MWINGINE AKASEMA YANGA WENYE AKILI NI WAWILI TU MZEE KIKWETE NA MZEE SUNDAY MANARA"
- HAJI MANARA"

BAADHI YA MICHANGO YA MASHABIKI WQ YANGA BAADA YA KUPOTEZA MCHEZO NA MC ALGERS.

1. Huyo sio kocha kabisa hafai kabisa kuifundisha Yanga hana uwezo kabisa.

2. Engineer afukuzwe anamfukuzaje Gamondi kama Mke wake.

3. Mobeto ameshusha sana kiwango Cha Azizi ki.

4. Kocha Anampangaje Abuya anamuacha Mkude nje aliyecheza vizuri Mechi na Mamelody.

5. Kibabage anazungu anazunhuka kama Mtoto wa Under 17 uwanjani hakuna anacho kifanya.

6. Mzee magoma Anasababisha majeraha kwa Wachezaji wetu.

7. Uwanja wa azam haufai kabisa kuchezewa mpira.

8. Gsm yule ni simba Damu tuliisha waambia hamtaki kisikia.

9. Mwamnyeto hafai kucheza yanga.

10.Kocha wa viongo wa Yanga anasabisha wachesaji wanapata majeraha.


WANASAHAU MAMBO YA MUHIMU .


BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Watanzania wana utamaduni wa kulaumu mtu au kitu pale wanapopitia matatizoni. Hawajiangalii wao kwenye kioo
 
Kama yupo alie muelewa huyo Ducha naomba inifafanulie.

Nimejitahidi kurudia mala kurudia sijaambua kitu, zaidi ya mipasho tu.
 
Hapo kwenye mambo yanayoligharimu Taifa nimekupata vizuri, shida viongozi wa hizi timu wanafanya kile mashabiki watafurahi,mfano mdogo ni wa Dube ilikuwa kuwafurahisha washabiki ili wasahau ya Fei Toto na sio kwamba mfumo wa kocha utamhitaji,hata Baleke ni Yale yale
 
Back
Top Bottom