Maoni ya Mdau: Simba igawanywe mara mbili

wee nae unatuletea vocomenti vya wenzio waliochoka namaisha tuvisome humu?

unataka igawanywe kwani imekua andazi au?
qu. mmmmaaaaaaaaaaaaak
We ndiyo umechoka na maisha hadi unaishia kuporomosha matusi si ndiyo kuishiwa huko. Watu wanajadili michezo we unaleta matusi kuonyesha ulivyo masikini na kapuku wa fikra.
 
Iungane kama tanganyika na zanzibar, iitwe MaMoSimba ikimaanisha mangungu, mo, na simba
 
5imba walifanya usaliti wakati sisi tunapigania uhuru wakajitenga kwa hongo ya viatu vya waarabu sasa mzizi unawatafuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…