Maoni ya mdau: ukiondoka Yanga umekwisha!!

Maoni ya mdau: ukiondoka Yanga umekwisha!!

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
"Ila Yanga wachawi dadeki zenu hakuna aliyeondoka kwa amani akapata mafanikio, Nabi kule mapema kaondoshwa club bingwa huku Caze mechi 6 zote chali [emoji16][emoji16][emoji16] oyaaaaa punguzeni uchawi hawae nao wana familia zao hapo bado Fei""

Maoni ya mdau mtandaoni Baada ya kaze kubwaga manyanga ukocha wa namungo

Je unadhani hili Lina mantiki/ ukweli ndani yake???

Nakala aipate
Mshana Jr
1697986657337.jpg
 
"Ila Yanga wachawi dadeki zenu hakuna aliyeondoka kwa amani akapata mafanikio, Nabi kule mapema kaondoshwa club bingwa huku Caze mechi 6 zote chali [emoji16][emoji16][emoji16] oyaaaaa punguzeni uchawi hawae nao wana familia zao hapo bado Fei""

Maoni ya mdau mtandaoni Baada ya kaze kubwaga manyanga ukocha wa namungo

Je unadhani hili Lina mantiki/ ukweli ndani yake???

Nakala aipate
Mshana Jr View attachment 2789409
Ni coincidence tu
 
Ili kocha afanikiwe programu yake anahitaji ushirikiano na msaada wa uongozi wa timu na mfadhili
 
"Ila Yanga wachawi dadeki zenu hakuna aliyeondoka kwa amani akapata mafanikio, Nabi kule mapema kaondoshwa club bingwa huku Caze mechi 6 zote chali [emoji16][emoji16][emoji16] oyaaaaa punguzeni uchawi hawae nao wana familia zao hapo bado Fei""

Maoni ya mdau mtandaoni Baada ya kaze kubwaga manyanga ukocha wa namungo

Je unadhani hili Lina mantiki/ ukweli ndani yake???

Nakala aipate
Mshana Jr
Yikpe aliondoka Yanga lakini akaenda kuwa star Uarabuni
 
"Ila Yanga wachawi dadeki zenu hakuna aliyeondoka kwa amani akapata mafanikio, Nabi kule mapema kaondoshwa club bingwa huku Caze mechi 6 zote chali [emoji16][emoji16][emoji16] oyaaaaa punguzeni uchawi hawae nao wana familia zao hapo bado Fei""

Maoni ya mdau mtandaoni Baada ya kaze kubwaga manyanga ukocha wa namungo

Je unadhani hili Lina mantiki/ ukweli ndani yake???

Nakala aipate
Mshana Jr View attachment 2789409
Ukiona hivyo ameona mchwa wengi clabuni hivyo ajikatae mapema mwisho asiliwe yeye😁😁😁
 
"Ila Yanga wachawi dadeki zenu hakuna aliyeondoka kwa amani akapata mafanikio, Nabi kule mapema kaondoshwa club bingwa huku Caze mechi 6 zote chali [emoji16][emoji16][emoji16] oyaaaaa punguzeni uchawi hawae nao wana familia zao hapo bado Fei""

Maoni ya mdau mtandaoni Baada ya kaze kubwaga manyanga ukocha wa namungo

Je unadhani hili Lina mantiki/ ukweli ndani yake???

Nakala aipate
Mshana Jr View attachment 2789409
Yanga si timu ya maana jamani, tuwaambieje ili mtuelewe? Watu hawachezi mpaka waroge, wapi na wapi?
 
Back
Top Bottom