Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha uchawi mchawi nambari one unapotafuta changamoto mpya ni wewe mwenyewe"Ila Yanga wachawi dadeki zenu hakuna aliyeondoka kwa amani akapata mafanikio, Nabi kule mapema kaondoshwa club bingwa huku Caze mechi 6 zote chali [emoji16][emoji16][emoji16] oyaaaaa punguzeni uchawi hawae nao wana familia zao hapo bado Fei""
Maoni ya mdau mtandaoni Baada ya kaze kubwaga manyanga ukocha wa namungo
Je unadhani hili Lina mantiki/ ukweli ndani yake???
Nakala aipate
Mshana Jr View attachment 2789409
Ujinga hauna mpaka.Wajinga huwa wanaamini kinachowapata ni kwa sababu ya ujinga wao.Hivyo usishangae hoja muflis kama hizi . Ndio uwezo wao wa kufikiri ulipoishia.Shame.Vp saidoo kaisha msimu jana MFUNGAJI BORA. Na mayere nae kaisha?
Uarabuni wapi huko? Tuwekee data zakeYikpe aliondoka Yanga lakini akaenda kuwa star Uarabuni
Umri. Ni sawa na Mkude alivyoondoka Simba, usitegemee ataitwa kama alivyoitwa enzi zakeNilivyoondoka yanga nilikaa miaka mitano bila kuitwa national team –amri kiemba–
"Ila Yanga wachawi dadeki zenu hakuna aliyeondoka kwa amani akapata mafanikio, Nabi kule mapema kaondoshwa club bingwa huku Caze mechi 6 zote chali [emoji16][emoji16][emoji16] oyaaaaa punguzeni uchawi hawae nao wana familia zao hapo bado Fei""
Maoni ya mdau mtandaoni Baada ya kaze kubwaga manyanga ukocha wa namungo
Je unadhani hili Lina mantiki/ ukweli ndani yake???
Nakala aipate
Mshana Jr View attachment 2789409