Maoni ya mdau: ukiondoka Yanga umekwisha!!

Hakuna cha uchawi mchawi nambari one unapotafuta changamoto mpya ni wewe mwenyewe
 
Vp saidoo kaisha msimu jana MFUNGAJI BORA. Na mayere nae kaisha?
Ujinga hauna mpaka.Wajinga huwa wanaamini kinachowapata ni kwa sababu ya ujinga wao.Hivyo usishangae hoja muflis kama hizi . Ndio uwezo wao wa kufikiri ulipoishia.Shame.
 
Nilivyoondoka yanga nilikaa miaka mitano bila kuitwa national team –amri kiemba–
 

Simba kaiheshimisha Tanganyika mbele ya dunia: Wachambuzi uchwara karibuni mtoe nyongo zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…