Maoni ya Mwanasheria kuhusu kufungiwa kwa Diamond Platnumz na Rayvanny

Maoni ya Mwanasheria kuhusu kufungiwa kwa Diamond Platnumz na Rayvanny

Mkuu pole Sana wakili. Nafikiri hapa umeropoka na umeamua kuonyesha ni kwa jinsi gani umevamia hii taaluma.

Kazi ya wakili ni nyingi na moja wapo ipo katika kesi ya mohamed katindi v Republic inayosema kuwa "an advocate is an officer of the court, his main function is to make a research, analysis, reading journals, books, in order to help the court to reach into the justice"

Sasa niulize kwa Hilo, je wakili msomi, umefanya research na analysis kuhusu ishu nzima ya wimbo wa diamond? Au tu kwa sababu ya media na wewe unafikia maamuzi hayo?

Pia kuna kitu kinaitwa "corrupt of public moral" je ni kweli diamond kafanya hivyo?

Nafikiri kuwa basata wako sahihi na pia wameamua sio kuufungia wimbo Bali waweze kuufanyia editing ili kuondoa maneno ambayo yanaonekan ni matusi na wakiridhika, unaruhusiwa kupigwa kwani maneno yaliyotumika ni matusi.

Je wakili msomi, kutukana kwa njia ya wimbo ni kosa au sio kosa? Sasa kuambiwa watoe maneno ya matusi basata wanawez laumiwa? Au wamshtaki kwa kutoa lugha za matusi kwa njia ya nyimbo unafikir diamond atabaki Bila kufungwa?

Lay man wataelewaje kuhusu ishu kama hizi za kisheria?

Nadhani wakili inaonekana huna experience katika kazi yako hvyo comments zako uwe kidogo unafanya research na si kwa mhemko
nachelea kusema we mwenyewe ni mtupu kwenye sheria...!
 
The punishment which has been imposed upon WCB is too big (huge or severe) than both the offence which they did and its magnitude.

Way forward?....

My legal opinions (observation) are as follows:-

(i) Their Guardian (Mr.Bashite) will SALVAGE the situation and ensure that WASAFI FESTIVAL remains 'intact' and continues as scheduled.

(ii) If the idea which has been suggested in para.'i' above won't bear(yield) positive fruits, then,WCB should go and knock doors of the High Court of Tanzania seeking a Judicial Review.

The only tangible ground which WCB can use in their application is the violation of one of the cardinal principle of natural justice which states that NO PERSON SHALL BE CONDEMNED OR PUNISHED WITHOUT BEING GIVEN AN OPPORTUNITY TO PRESENT HIS/HER DEFENCE.

WCB has been punished by BASATA without being given a chance to be heard(they have been punished unheard) this is a grave mistake because it contravene the principle of "Audi alteram partem". It is a sole ground which can be used by the court to vitiate BASATA's decision.

Pius Sambai, Esq.
(The Global Negotiator)
18/12/2018
Kiswahili plz plz... Haujawahi hata kufika Zambia ww...
 
Back
Top Bottom