Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

Naomba watu waache kuingia katika propaganda za CCM za kutumia 'wengi na wachache'' Huu ni uopotoshaji mkubwa. Shamsi Nahodha hana 2/3 katika kamati yake, anapata wapi wengi na wachache
 
Hawa maccm lazima waogope kuwa serikali tatu zinaweza kuvunja muungano, kwa sababu muungano ukivunjika technicaly na ccm imekwisha, formula ya ccm ni kuwa: TANU + ASP = CCM. kwa hiyo itabidi wale wa bara warudi kwenye TANU au waanzishe chama kingine na wale wa visiwani vile vile. Na sijui kwa nini waliita chama cha mapinduzi, ni mapinduzi gani yale ya Zanzibari au? wanao jua watueleze.
 
Ni hatari sana kuwa na media ya kitaifa yenye mrengo wa chama au itikadi ya kundi lolote lile.Kilichotokea leo bungeni ni kiashiria cha itikadi.Hatari sana.
 
Kigwa na porojo zake hajakatiwa Dr. Lisu na nondo zake kakatiwa hii tbccm majanga
 
Jamani, kubali usikubali, Mh. Tundu Lisu ni jembe. Walimvamia Dr. Sengodo Mvungi wakahakikisha wamemnyamazisha asisikike tena, wakaiba computer yake na kwa msingi huo wakadhani nondo zake kuhusu huu Muungano feki zimezikwa...kumbe! Kwa ujinga wao walisahau kwamba dunia ipo katika karne nyingine kabisa na si rahisi kuuzika ukweli na sasa wajitayarishe kuhadhirika zaidi. Mpaka sasa hizi ni kama rasha rasha tu, mvua zenyewe bado. Nawahurumia wasomi uchwara ambao kwa vipande vya fedha wamekubali kuwasaliti wananchi wa taifa hili, lakini waangalie, kiboko kinawasubiri...wataumbuka moja baada ya mwingine! Dr. Sengodo Mvungi, damu yako haitapotea bure!

Nawaombeni wote tusome kwa makini haya maoni kama yalivyotolewa na Mh. Tundu Lisu hata ikibidi kuyarudia hata mara mbili...tiba ya Muungano huu wa kero inapatikana ndani ya ripoti hii. Big up!
 
Kwa kweli Lisu ni kichwa sio mchezo. Tanganyika ni lazima
 
Wanabodi

Mimi ni mmoja wa wananchi waliokuwa wakisubiri maoni ya Tundu Lissu ktk Bunge la katiba siku ya jumamosi.

Mara baada ya Lissu kupewa fursa mawasiliano ya TBC yakawa NJE YA UWEZO WAO ikaharibu ladha ya nondo kali za mtundu huyu wa cdm

Nimemsikia Spika Sitta akisema atapewa amalizie jumatatu ila namuomba mwenyekiti ampe fursa ya kuanza upya ili content ziendane.

NAMUOMBA MHESHIMIWA SITTA ASISITIZE ILI TUFAIDI MAWAZO HAYO TOKA MWANZO.

MAGAMBA WAMEZOEA VYA KUNYONGA..
 
...

....Naunga mkono hoja ubeberu na ukabaila wa tibii haukubaliki
 
Aiseee DALLAI LAMA hawawezi kufanya kosa hilo hata nusu sekunde.. Zile nondo alizozishusha Lissu ni kufuru.. zimewaweka uchi..
 
Last edited by a moderator:
nimekua nikifatilia wenye viti wakamati walikua wakijiita wanawasilisha maon ya walio weng nakuona ripoti zao hzina tofuti na nkama wamemezeshwa mneno na hawana hoja za msingi... kama wataendlea na mambo hayo mwisho wa siku hakuna katiba na itaendlea ya zaman kama matakwa ya baba rizi lich ya kurdhia kuwapa mda wa nyiongeza... ambapo alisha sema mambo haya yasitokee katika uongozi wake.. na tyar billions zimetumika katka mchto huo... ambao sita aliomba usitiahwe kupisha bunge la budget so utaona jinsi ccm walivojipanga kukwamsha mchkato huu wa tanzania mpya.... jna leticia nyerere aliwaasa wache mawazo mgando na ni mgando kweli maana hawana vithbsho wala uhalsia zaid ya kupotsha uma tuu...
 
Mmmh..asee nimeelewa vitu vingi sana..ambavyo pamoja na kusoma kwangu historia ya nchi hii sijawahi kuyapata..kiukweli mimi kupitia hiv vyama pinzani..nimeweza kujua vitu vingi sana kwenye nchi hii..ambavyo kwa CCM sijawahi kusikia.yaan wao Ni.. "Ndioooooo" hapana asee lazima tuipiganie tanganyika yetu asee..ndio maana mi nilikuaga nawaambia wat nyerere alikuwa Dicteta wa chini chini..alikuwa ni mbabe haya sasa.mambo ndio hayo..sijui na hapo ni unafki ..mhhh
 
MAONI YA WAJUMBE WALIO WA WACHACHE KATIKA KAMATI NAMBA NNE KUHUSU SURA YA KWANZA NA SURA YA SITA YA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


[Kanuni ya 32(4) ya Kanuni za Bunge Maalum, 2014]
I am truly enjoying this. Kwa miaka mingi 'wapinzani' walitaka Hati ya Muungano iwe sheria mama hata juu ya Katiba. Sasa wanasema ni batili, na CCM Ndio watetezi wake sasa. Tume na Warioba inatambua Hati hiyo kama chimbuko la serikali tatu na msingi wa Katiba; Lissu: mara ni batili, mara ndiyo msingi wa kutaka Tanganyika sasa maana Hati iliipa uhai. Mara Hati haikusainiwa na yaliyomo hayajulikani, huku anataja mambo yake 11 ya Muungano, na mara Jumbe anathibitisha kuwa Nyerere alisafiri Z'bar na Wawili wale wakasaini huko. I agree it is brilliant, like glass; and just as brittle.
 
watakao soma ni wenye akili tu...matahira hawatasoma wataanza kutukana tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…