Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu utakuwa umerogwa!
ushauri wangu kwako,wahi kwa Mganga fasta,kabla hujaokota makopo,na kukata viuno ovyo pale Kariakoo.
Hahaaaa huna unalojua kama hiyo picha uliyoiweka. i think i am wasting my time go to hell
Kwaiyo jamaa alipinga dessertation yake aliyoandika mwenyewe.Mwakyembe kabla hajawa kiongozi wa ccm alikubaliana na anachounga mkono kukipinga leo, serkali tatu alizopendekeza wakati wa research yake ya udhamili leo hataki.