LetterTo MyFather
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 308
- 661
Lmaoo ππππ love the humour in em tweets!!!!! Shit dont get old wateva times i re-readπππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la wakenya wengi wanaishi kwenye slums na hawana mashamba,vuwanja wala chochote cha kupoteza ndio maana inakuwa vigumu kuwatishia watu wasiojulikanaUzuri hutaskia watu wasiojulikana wamesababisha Mkenya kutoweka kisa maoni.
Na wengine wangekuwa misukule kule GamboshiKenyans are a humorous people that appreciate humor. Ingekuwa kwa Magufuli saa hii kuna watu wangekuwa jela na wengine mortuary.
Ila kuuana kikabila it is legally ???!!Kenyans are a humorous people that appreciate humor. Ingekuwa kwa Magufuli saa hii kuna watu wangekuwa jela na wengine mortuary.
Ni halali km vile kukatana mapanga kw misingi ya vyama vya siasaIla kuuana kikabila it is legally ???!!
Usemacho we kwetu chatokea rarely ila Kenya ukabila na nepotism ni nature yenu buddah
Ktk gung fu tunaiita maabouHiyo KIBA DACHI inaonesha tu hajawahi jifunza martial art yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaaa!!Usemacho we kwetu chatokea rarely ila Kenya ukabila na nepotism ni nature yenu buddah
Sent using Jamii Forums mobile app
Jipe moyo mzee ila kwetu mchadema na mccm wanakula sahan moja kipindi cha uchaguz tu ndio kuna mihemko baaas ila ww mkikuyu ni vigumu kumuajiri mkisii na sidhan ht kula naye sahani moja waweza.ASA sijui WAP afadhaliBwahahaaaa!!
Kubaguana katika misingi ya ya vyama hayaepukiki tanzania..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sai hapa nilipo niko na mkamba, mkikikuyu na mjaluo na wa mijikenda na tunakula bata la size yake tu...au unamaanisha kenya ipiJipe moyo mzee ila kwetu mchadema na mccm wanakula sahan moja kipindi cha uchaguz tu ndio kuna mihemko baaas ila ww mkikuyu ni vigumu kumuajiri mkisii na sidhan ht kula naye sahani moja waweza.ASA sijui WAP afadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza wakaribisha hao home kwako at the first na ukaishi nao km blood related ones??serikalini kwenu walioajiriwa wengi ni kabila gan ama wengi walioshika nyadhifa za juu huko ktk serikali yenu ni kabila gan?naomba jibu tafadhali.Sai hapa nilipo niko na mkamba, mkikikuyu na mjaluo na wa mijikenda na tunakula bata la size yake tu...au unamaanisha kenya ipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Niishi nao kinamna gani na wakati kila mtu ana kwake...usi force vitu bana...Unaweza wakaribisha hao home kwako at the first na ukaishi nao km blood related ones??serikalini kwenu walioajiriwa wengi ni kabila gan ama wengi walioshika nyadhifa za juu huko ktk serikali yenu ni kabila gan?naomba jibu tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapindisha pindisha mambo.Niishi nao kinamna gani na wakati kila mtu ana kwake...usi force vitu bana...
Mkuu wa jeshi mgiriama
Mkuu wa polisi mkamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabu stance vipi umepiga wushu nini mkuu?