Maoni ya Zitto kuhusu hali ya shirika la Ndege la Tanzania(ATCL) kulingana na ripoti ya CAG

Maoni ya Zitto kuhusu hali ya shirika la Ndege la Tanzania(ATCL) kulingana na ripoti ya CAG

Hivi nyie vibaraka wa mabeberu mbona mnawashwa sana na maendekeo ya ATCL? Kama serikali sio kila jambo inalolifanya ni biashara yenye faida ya moja kwa moja! ATCL kwa upande mwingine imefufua utendaji kazi wa shughurj za serikali na umma kwa ujumla kwa kuwepo usafiri wa uhakika tena imeboresha usafiri kwa watalii na kuongeza vipato katika sekita za utalii na uwekezaji. Hayo yoote ukitafuta thamani yake kifedha ni mapato.
Acha ubwege wewe ndiyo kibaraka wa kukumbatia wizi ufisadi wa CCM kudhoofisha mashirika ya umma kwa kisingizio cha kufufua shirika, wewe ndiyo unawashwa kwa kutetea ujinga wa CCM, acha kutetea ujinga inuka sema ukweli ili CCM wazinduke wafanye mapinduzi sahihi
 
Hii njemba pasua kichwa! Mabeberu wameishaibrain wash na amebaki makapi! Ajui analoongea!
CCM mkienda kuomba omba misaada mnawaita wazungu ni wafadhili, lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga wenu mnakimbilia kuwaita mabeberu, acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
 
Mambo ya serikali aiachie serikali yenyewe. Kwani ye mbona ubunge wake umekuwa wa hasara tu toka magufuli aingie na bado ameukomalia. Ni kwa sababu anaamini utakuja kumlipa tena kama ulivyomlipa kipindi jk yupo madarakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga wako wewe, kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali, usimpangie cha kuikosoa Serikali acha wapinzani wafanye kazi yao.
 
ATCL wanaingiza buku wanakula buku kumi, wana kula vingi kuliko wanachokiingiza
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ni hasara kubwa sana Mkuu na yesu wa lugola bado anawamwagia ruzuku za mabilioni akidhani hali itabadilika. Alikurupuka kununua ndege sasa INAKULA KWA Watanzania.

ATCL wanaingiza buku wanakula buku kumi, wana kula vingi kuliko wanachokiingiza
 
Back
Top Bottom