Ruqaiyah
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 1,118
- 1,483
Habarini za jioni wapendwa......poleni na mihangaiko...... Naombeni kujuzwa kwa wale wazoefu na madaktari.
Kwa mama mjamzito... Mtoto anapokua anacheza tumboni..... Huchezea maeneo yapi?? Nikimaanisha juu ya kitovu , chini ya kitovu au maeneo karibu na kitovu...
Muhusika mtoto wake anachezea chini ya kitovu .... Na mtoto alianza kujisogeza tumboni ikiwa ni wiki ya 14...kwa sasa ni wiki ya 21...
Je ni hali ya kawaida mtoto kuchezea chini ya kitovu maeneo yanayokaribia na nyonga??
Maoni yako ni msaada kwa muhusika........ Asanteni na jioni njema[emoji4]
Kwa mama mjamzito... Mtoto anapokua anacheza tumboni..... Huchezea maeneo yapi?? Nikimaanisha juu ya kitovu , chini ya kitovu au maeneo karibu na kitovu...
Muhusika mtoto wake anachezea chini ya kitovu .... Na mtoto alianza kujisogeza tumboni ikiwa ni wiki ya 14...kwa sasa ni wiki ya 21...
Je ni hali ya kawaida mtoto kuchezea chini ya kitovu maeneo yanayokaribia na nyonga??
Maoni yako ni msaada kwa muhusika........ Asanteni na jioni njema[emoji4]