Yeah,tena sana...
Kuna muda unajua kweli kuaminiwa ni kitu bora zaidi....kuna MTU mmoja ofosini hatuivani kabisa...lakini ikifikia hatua ya kuchagua nani wa kutunza kitu au fedha yeye ndiyo wa kwanza kunitaja..."apewe To yeye" ...na kwa sababu walimu wenzangu wanajua mi nae ni paka na panya afu kanitag bas wote wanaamini😂😂😂
Kuaminiwa ni zaidi ya kupendwa, mtu anaweza kukupenda tu Awe karibu na wewe kwasababu huenda unamfanya apate furaha au amani ya moyo na utulivu wa akili.
Ila likija swala la kukuamini ni swala lingine gumu kidogo.
Naamini utampenda ila huwezi muamini mtu kama Mr bean.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.