Maoni yangu binafsi: Afya ya Akili tuanzie kwa huyu Mbasha

Maoni yangu binafsi: Afya ya Akili tuanzie kwa huyu Mbasha

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Actually ni tatizo kubwa, mtu ana miaka 40+ lakini hakui, anagombania Uteeneger na wanae.

Kibaya zaidi anajifunika kwenye Mwamvuli wa ulokole, ukiangalia Mienendo yake na Ulokole anaojipambanua nao ni vitu viwili tofauti. Matendo yana ishara na Ukakasi wa kuwepo Ushetani wa kutisha.

Kurasa zake za mitandaoni ni Makwazo na kichefuchefu kitupu kwa watu wa Mungu wanaojielewa, Mungu aendelee kutusamehe.

Huko kwenye Gospel ndiyo Mkanganyiko Mtupu, anachokiimba hakieleweki ni ilimradi tu kufunika mauzauza yake na kivuli cha ulokole.

Tumuogope Mungu jamani, Pole sana Flora Mbasha ulibeba Mzigo mzito wa Misumari ya Moto, ulimsetiri kwa Mengi sana kama kipindi unaishi nae hali ilikuwa mbaya hivi.

Tumuogope Mungu jamani.
 
Huyu jamaa n mpuuz sana kuna siku nmemkuta kinondon kakaa hotel flan na jamaa mmoja kimwonekano n kama mchungaj na inaonyesha anapesa sana ktu kilchonshangaza altoa kitambaa na kuanza kufuta viatu vya huju cjui n mchungaj uku kapga magot uku anamwita baba chakula kikaletwa pale wakaongezeka wanawake kama sita ila jamaa liko benet tu na uyo faza n kujichekesha chekesha tu sina wivu ila nlipatwa na hasira nkasema ule mtama aliopgwa na mchomvu alstail hata amvunje kiuno
 
uyu jamaa n mpuuz sana kuna siku nmemkuta kinondon kakaa hotel flan na jamaa mmoja kimwonekano n kama mchungaj na inaonyesha anapesa sana ktu kilchonshangaza altoa kitambaa na kuanza kufuta viatu vya huju cjui n mchungaj uku kapga magot uku anamwita baba chakula kikaletwa pale wakaongezeka wanawake kama sita ila jamaa liko benet tu na uyo faza n kujichekesha chekesha tu sina wivu ila nlipatwa na hasira nkasema ule mtama aliopgwa na mchomvu alstail hata amvunje kiuno
Na wewe ungemtia mikofi ukabeba lawama kama jina laki.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa n mpuuz sana kuna siku nmemkuta kinondon kakaa hotel flan na jamaa mmoja kimwonekano n kama mchungaj na inaonyesha anapesa sana ktu kilchonshangaza altoa kitambaa na kuanza kufuta viatu vya huju cjui n mchungaj uku kapga magot uku anamwita baba chakula kikaletwa pale wakaongezeka wanawake kama sita ila jamaa liko benet tu na uyo faza n kujichekesha chekesha tu sina wivu ila nlipatwa na hasira nkasema ule mtama aliopgwa na mchomvu alstail hata amvunje kiuno
umaarufu ni kozi ya kijeshi,hawa watu wanapitia mengi sana nyinyi.

sisi ukiishakuwa maarufu tunataka utupe hela,tukuone na gari kali,simu kali,nguo kali,viwanja vikali vya bata,demu/mke mkali.

sasa ili utupe tunachotarajia unalala umechoka sana😂😂😂
 
Actually ni tatizo kubwa, mtu ana miaka 40+ lakini hakui, anagombania Uteeneger na wanae.

Kibaya zaidi anajifunika kwenye Mwamvuli wa ulokole, ukiangalia Mienendo yake na Ulokole anaojipambanua nao ni vitu viwili tofauti. Matendo yana ishara na Ukakasi wa kuwepo Ushetani wa kutisha.

Kurasa zake za mitandaoni ni Makwazo na kichefuchefu kitupu kwa watu wa Mungu wanaojielewa, Mungu aendelee kutusamehe.

Huko kwenye Gospel ndiyo Mkanganyiko Mtupu, anachokiimba hakieleweki ni ilimradi tu kufunika mauzauza yake na kivuli cha ulokole.

Tumuogope Mungu jamani, Pole sana Flora Mbasha ulibeba Mzigo mzito wa Misumari ya Moto, ulimsetiri kwa Mengi sana kama kipindi unaishi nae hali ilikuwa mbaya hivi.

Tumuogope Mungu jamani.
Afya ya akili mi ningeanza na wewe kwa kumuanzishia chizi thread!!
 
Mbasha alikuwa Muislamu na ukristo/ulokole kaingia ukubwani kumfuata Flora, msameheni tuu.
 
Back
Top Bottom