Maoni yangu binafsi: Afya ya Akili tuanzie kwa huyu Mbasha

Maoni yangu binafsi: Afya ya Akili tuanzie kwa huyu Mbasha

bila kuwekwa tuhuma za mbasha mods futa huu uzi hauna maana.
 
Yani dalili za ukichaa aoneshe mwingine halafu wapimwe watu wote?Ni kama uumwe tumbo weye pekee halafu tupewe matibabu wote?Hapana.M-deal na mtu wenu aisee!
 
Huyu jamaa n mpuuz sana kuna siku nmemkuta kinondon kakaa hotel flan na jamaa mmoja kimwonekano n kama mchungaj na inaonyesha anapesa sana ktu kilchonshangaza altoa kitambaa na kuanza kufuta viatu vya huju cjui n mchungaj uku kapga magot uku anamwita baba chakula kikaletwa pale wakaongezeka wanawake kama sita ila jamaa liko benet tu na uyo faza n kujichekesha chekesha tu sina wivu ila nlipatwa na hasira nkasema ule mtama aliopgwa na mchomvu alstail hata amvunje kiuno
Hukubeba lawama kweli kwa hizi hasira ulizopata mkuu?
 
Back
Top Bottom