Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Hatuwezi kuwakwamua masikini kwa kukalia utajiri wa nchi - Mpango.

Maoni yetu.

Hakuelezea madini na ubinafsishaji wote tangia tupate uhuru kwanini haujatukwamua kutoka umasikini wa kutupwa
 
Jambo kubwa la kitaifa ni lazima watoe maoni yao na serikali kuwa sikivu - Mpango
 
Mikataba mitatu inayosainiwa leo imezingatia maoni ya wananchi kwa kiwango kikubwa- Mpango
 
Serikali inatekelezq ilani ya uchaguzi ya CCM inayoelekeza ushirikishwaji wa sekta binafsi katika kuharakisha maendeleo ya nchi - SSH
 
Mikataba 3 iliyosainiwa imezaliwa kutokana na mkataba mama uliyoleta maneno mengi - SSH
 
Alishukuru bunge na baraza la mawaziri kwa ushauri wao na kuupitisha mkataba huu- SSH
 
Ampongeza Mwanasheria mkuu, uongozi wa bandari, Falme za Kiarabu, DP WORLD - SSH
 
Bandari ya Dar ni lango la biashara, utajiri wetu na ni huduma kwa majirani yetu - SSH
 
Upo ushindani Mombasa, Beira n.k wateja wanayo haki ya kuchagua huduma bora SSH
 
Wapo wanaona sisi wenyewe tunao uwezo wa kuziendesha lakini tutachelewa sana - SSH
 
Maoni yetu.

Hii mikataba 3 tunalishwa maneno ya kuwa maoni yetu yamezingatiwa ukiondoa swala la kulinda ajira hakuna lililotajwa ya kuwa limezingatiwa
 
Maoni yetu.

Bila ya hiyo mikataba 3 kuwekwa hadharani hatuna namna ya kujua geti na 3-7 nini kitaendelea.

Hatujui uwekezaji wa WB wa zaidi ya $420 Mill tutafidiwa vipi na huyu mwekezaji hasa ukizingatia huu siyo ubia
 
Mwekezaji kulipa kodi na ipo haki ya kuvunjwa mkataba lakini hatujui ni kwenye mazingira yapi
 
Back
Top Bottom