Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #221
Hatuwezi kuwakwamua masikini kwa kukalia utajiri wa nchi - Mpango.
Maoni yetu.
Hakuelezea madini na ubinafsishaji wote tangia tupate uhuru kwanini haujatukwamua kutoka umasikini wa kutupwa
Maoni yetu.
Hakuelezea madini na ubinafsishaji wote tangia tupate uhuru kwanini haujatukwamua kutoka umasikini wa kutupwa