Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #221 Hatuwezi kuwakwamua masikini kwa kukalia utajiri wa nchi - Mpango. Maoni yetu. Hakuelezea madini na ubinafsishaji wote tangia tupate uhuru kwanini haujatukwamua kutoka umasikini wa kutupwa
Hatuwezi kuwakwamua masikini kwa kukalia utajiri wa nchi - Mpango. Maoni yetu. Hakuelezea madini na ubinafsishaji wote tangia tupate uhuru kwanini haujatukwamua kutoka umasikini wa kutupwa
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #222 Jambo kubwa la kitaifa ni lazima watoe maoni yao na serikali kuwa sikivu - Mpango
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #223 Mikataba mitatu inayosainiwa leo imezingatia maoni ya wananchi kwa kiwango kikubwa- Mpango
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #224 Kamati ya majadiliano ilifanya kazi nzuri - SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #225 Maoni ni haki ya kidemokrasia- SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #226 Biashara zetu kukua - SSSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #227 Serikali inatekelezq ilani ya uchaguzi ya CCM inayoelekeza ushirikishwaji wa sekta binafsi katika kuharakisha maendeleo ya nchi - SSH
Serikali inatekelezq ilani ya uchaguzi ya CCM inayoelekeza ushirikishwaji wa sekta binafsi katika kuharakisha maendeleo ya nchi - SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #228 Mikataba 3 iliyosainiwa imezaliwa kutokana na mkataba mama uliyoleta maneno mengi - SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #229 Alishukuru bunge na baraza la mawaziri kwa ushauri wao na kuupitisha mkataba huu- SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #230 Ampongeza Mwanasheria mkuu, uongozi wa bandari, Falme za Kiarabu, DP WORLD - SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #231 Bandari ya Dar ni lango la biashara, utajiri wetu na ni huduma kwa majirani yetu - SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #232 Upo ushindani Mombasa, Beira n.k wateja wanayo haki ya kuchagua huduma bora SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #233 Bandari kuna changamoto- SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #234 Wapo wanaona sisi wenyewe tunao uwezo wa kuziendesha lakini tutachelewa sana - SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #235 Ajira kulindwa - SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #236 Asanteni sana kwa kunisikiliza - SSH
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #237 Maoni yetu. Hii mikataba 3 tunalishwa maneno ya kuwa maoni yetu yamezingatiwa ukiondoa swala la kulinda ajira hakuna lililotajwa ya kuwa limezingatiwa
Maoni yetu. Hii mikataba 3 tunalishwa maneno ya kuwa maoni yetu yamezingatiwa ukiondoa swala la kulinda ajira hakuna lililotajwa ya kuwa limezingatiwa
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #238 Maoni yetu. Bila ya hiyo mikataba 3 kuwekwa hadharani hatuna namna ya kujua geti na 3-7 nini kitaendelea. Hatujui uwekezaji wa WB wa zaidi ya $420 Mill tutafidiwa vipi na huyu mwekezaji hasa ukizingatia huu siyo ubia
Maoni yetu. Bila ya hiyo mikataba 3 kuwekwa hadharani hatuna namna ya kujua geti na 3-7 nini kitaendelea. Hatujui uwekezaji wa WB wa zaidi ya $420 Mill tutafidiwa vipi na huyu mwekezaji hasa ukizingatia huu siyo ubia
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #239 Mwekezaji kulipa kodi na ipo haki ya kuvunjwa mkataba lakini hatujui ni kwenye mazingira yapi
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 22, 2023 Thread starter #240 Hatujui uhai wa hii mikataba ni miaka mingapi