Mbali ya kukosa ubunifu wa kupunguza gharama za nishati na maji na hivyo kuwa mzigo kwa wazalishaji na kupunguza ajira za vijana EWURA pia wanao ufisadi mkubwa wanaoufanya kwenye uagizaji wa kiwese kwa kuleta ukiritimba wa BULK SUPPLIERS ambao wamekuwa monopoly na kupanga bei iliyo juu ya bei ya soko la dunia