Pamoja na kuwa na sheria za uwekezaji na kuwamilikisha mamluki njia kuu za uchumi bado serikali chanzo chake kikuu cha mapato ni raia badala ya kuwa ni wawekezaji!!!!!!
Taarifa za CAG kama hazina mamlaka au uwezo wa kuchangia vyanzo vya ufisadi sasa vina msaada upi kama lengo lake ninkutupasha habari ya jinsi nchi ilivyogubikwa na wezi, wabadhirifu na wala rushwa kubwa kubwa
Sasa kama wakati wa uchaguzi wagombea wanajigamba wataunda serikali hata kama hatutawachagua ujue lengo lao kuwepo serikalini ni kwenda kuiba mali ya umma hawana jipya. Sasa hawawezi kukemea maovu kama Sokoine tunda la uwakilishi halali