Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Israel bhana wana majivuno. Sasa wanawaamuru wapalestina 1.1 Mill waondoke Gaza.

Swali la kujiuliza wao ni akina nani?

Gaza sasa ni sehemu ya Israel au nako huko wanataka kuanza ujenzi wa makaazi haramu kama kule West Bank?
Israel kitu anachokitaka ni kuwa siku moja naye awe Superpower, hivyo katika mikakati yake ni pamoja na kujitanua kijiografia, na kuwaondosha wale waliyokuwa tishio kwa usalama wake kuwa karibu naye na kuhakikisha huwa hana kigugumizi katika kujiendeleza kiuchumi, miongoni mwa miradi yake mikubwa ambayo anataka kutengeneza ni Ben Gurion Canal ambayo itakuwa mshindani wa Suez Canal. Egypt anaonekana kama mkatili kwa kuwazuia wakazi wa Gaza wasiingie kwake ni kujua kuwa ikiwa Israel watafanikiwa kuichukua Gaza basi Suez Canal inakwenda kufa na uchumi wa Egypt unakwenda kuathirika pakubwa tu.
Hivi vita vya Palestine watu wengi wanadhani ni vita vya kidini, kama wanavyoaminishwa na wengi lakini ni vita vya kiuchumi zaidi.
 
Israel kitu anachokitaka ni kuwa siku moja naye awe Superpower, hivyo katika mikakati yake ni pamoja na kujitanua kijiografia, na kuwaondosha wale waliyokuwa tishio kwa usalama wake kuwa karibu naye na kuhakikisha huwa hana kigugumizi katika kujiendeleza kiuchumi, miongoni mwa miradi yake mikubwa ambayo anataka kutengeneza ni Ben Gurion Canal ambayo itakuwa mshindani wa Suez Canal. Egypt anaonekana kama mkatili kwa kuwazuia wakazi wa Gaza wasiingie kwake ni kujua kuwa ikiwa Israel watafanikiwa kuichukua Gaza basi Suez Canal inakwenda kufa na uchumi wa Egypt unakwenda kuathirika pakubwa tu.
Hivi vita vya Palestine watu wengi wanadhani ni vita vya kidini, kama wanavyoaminishwa na wengi lakini ni vita vya kiuchumi zaidi.
Ni kweli kabisa


Hakuna imani ya dini watu wanahangaikia matumbo yao
 
Nape anasubiri nini kutumbuliwa?

Na huyo mtendaji mkuu kwanini haondolewi maana hata kazi haijui au kwa vile ni mzenji ataendelea kubebwa.

Kashindwa hata kuzuia ujumbe jinai tunarushiwa kila siku na namba ambazo hazijasajiliwa.

Pia, viwango vya riba vya mikopo na adhabu zake za faini ni kama TCRA hawapo kisheria kazi ni kula tu siyo kuwalinda walaji wa huduma za simu za viganjani


Wasisingizie ni majukumu ya BOT wao ndiyo wenye mamlaka ya kusimamia hilo.

Bodi iliyovunjwa haikuwa ya kitaalamu iliegemea kuwapa watu wa mtaa ule wale ni kama fadhila za kisiasa.

Mbaya zaidi haikuwa na sura ya kitaifa kabisa ni kama nchi hii ni kama Zanzibar ambako uteuzi wa aina hii wa madhehebu moja haina nongwa lakini bara hatujawahi kuona upendeleo wa kijinsia na dini kama hiyo bodi na Nape bado anatuzwa kwa haya madudu yake!
 

Attachments

  • PSX_20231109_162430.jpg
    PSX_20231109_162430.jpg
    192.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom