Hii sheria haitekelezeki.
Watasubiri sanaaaaaaa wapelekewe umbeya na pia hiyo faini wanakula yote wenyewe kuthibitisha wana upeo mdogo.
VPN huwezi kuizuia na hubadilisha ip address kila sekunde sasa sijui unaisajili iwe nini.
Tunachoona ni upeo finyu wa wote waliojihusha na huu upotolo.
Badala ya kushughulika na mambo ya maana kama kuongeza uzalishaji wa nishati mnabakia na mambo yasiyotekelezeka!