Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Hii sheria haitekelezeki.

Watasubiri sanaaaaaaa wapelekewe umbeya na pia hiyo faini wanakula yote wenyewe kuthibitisha wana upeo mdogo.


VPN huwezi kuizuia na hubadilisha ip address kila sekunde sasa sijui unaisajili iwe nini.

Tunachoona ni upeo finyu wa wote waliojihusha na huu upotolo.

Badala ya kushughulika na mambo ya maana kama kuongeza uzalishaji wa nishati mnabakia na mambo yasiyotekelezeka!
 

Attachments

  • PSX_20231014_231013.jpg
    245.4 KB · Views: 5
Ninaamini
 

Attachments

  • 1697343050971.png
    274.8 KB · Views: 5
Kumbe kilichomzuia Dr. Salim kuwania Urais 1995 ilikuwa hofu ya Wazanzibara kufululizana tatizo alipojitokeza 2005 akakuta nchi na siasa zimebadilika!
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…