Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Expect more people being displaced losing their sources of livelihood like land, houses etc and prime lands changing hands at a song
 
In order to accommodate neocons lots of us are gonna end up homeless and very marginalized in the name of enticing foreign investment
 
As neocons and globalists take over our natural resources and lands socioeconomic tensions shall erupt leading to civil wars of survival and resistance
 
History loves repetition and we expect a wind of change will once again sweep Africa and the fight for Economic emancipation will arise
 
The status quo merging interests of our own rulers and foreign investors will team up to subjugate the rights of the economically looted
 
However, the oppressors will be uprooted and they will flee and never to return
 
Arabs in the MiddleEast just like European settlers are cognizant of the looming third world war
 
Naturally recolonilization of Africa makes plenty of sense
 
Africa is now their refugee away from the pending third world war
 
So expect foreign investors will take all prime lands, international gateways such as ports and airports.

They will also bring their cultures and religion
 
For those who are barren or opted never to have kids you will not be laughed at but highly revered and regarded with envy because you have nothing to make you cry as economic pain overwhelm everyone who is not an elitist beneficiary
 
Funzo ni kuwa tuwe na akiba ya maneno kwani lisilowezekana leo pengine likawezekana kesho.
 

Attachments

  • PSX_20231023_234916.jpg
    PSX_20231023_234916.jpg
    160.3 KB · Views: 4
40% kapewa DP WORLD kwa uwekezaji upi?


Maoni na hoja zangu za Awali kuhusu kusainiwa kwa mikataba mitatu ya uwekezaji wa Bandari.

Na Boniface Mwabukusi

1.Mikataba hiyo imefichwa na haijawekwa wazi kwa wananchi wala kuwasilishwa Bungeni kama sheria inavyotaka.kwa hiyo ni muendelezo wa vurugu na ukiukwaji wa sheria.

2.Mikataba hii(HGA) haina nguvu dhidi ya IGA mkataba mama ambapo licha ya mikataba hii (HGA) kusema kuwa itatumia sheria za Tanzania haielezi iwapo sasa zitatumika mahakama na mabaraza ya ndani ya Tanzania katika utatuzi wa migogoro.

3.Rais anasema mkataba huu ni matokeo ya IGA ,Mwingine anasema mikataba hii ni matokeo ya Public Private Partnership.Kama mikataba hii ni matokeo ya PPA kwanini mulipeleka Azimio na Mkataba wa IGA kuridhiwa na Bunge? Kama ni PPA kwanini muweke exclusive clause? Kwanini mgeni amiliki asilimia 40? Je sheria Na.5 na No 6 za mwaka 2017 zinasemaje kuhusu umiliki wa Raslimali za Asili ?

4.Wametuambia kwamba eti tutamiliki kwa ubia wa asilimia 60 kwa Serikali na Asilimia 40 kwa DPW...Hiyo Asilimia 60 ni yaserikali ipi ya Muungano au Tanganyika?

5. Je Zanzibar itapata mgawo kwenye mapato ya bandari ya Tanganyika? Je katika hiyo asilimia 60 kuna viongozi wa Zanzibar wataingizwa kwenye usimamizi wa Bandari za Tanganyika ambazo siyo za muungano?

6. Je hawa wenzetu wametuambia na kutufafanulia ili kupata hiyo asilimia 40 DPW kawekeza kiasi gani na katika maeneo yepi? Kwanini hamjaweka feasibility study wazi kwa Umma ili umma ujue badala yake mkafanya siri na kuitana kwa faragha kana kwamba nchi hii ni shamba lenu binafsi?

7.Je kama HGA ni ya miaka 30 Inter Governmental Agreement (IGA) ni ya miaka mingapi?

Muhimu kujua:

1 .Mbuzi hawezi kuzaa Tembo.IGA ni haramu inapoka Mali asili za watanganyika na kuziweka kwenye mikono ya watu wa chache kwa njia ya ujanja ujanja.

2.Hitaji letu ni IGA ifutwe na kama kuna uwekezaji unafanyika lazima uzingatie maslahi ya Umma na siyo ya viongozi wa ccm na familia zao kwa kuhakikisha

@ Bandari za Tanganyika zinamilikiwa na Umma kama sheria zinavyotaka

@. Kama ni uwekezaji lazima uwe wa mfumo unaotoa nafasi na fursa kwa watanganyika na kampuni za kitanzania kumiliki sehemu kupitia hisa badala ya Kampuni moja ya kigeni kupewa asilimia 40?

WEKENI HUO MKATABA WA HGA WAZI ILI TUUONE NI MATAKWA YA KISHERIA.

BAK MWABUKUSI
SHAMBANI BUSOKELO.
 
Warioba anavumilia mengi
 

Attachments

  • PSX_20231024_191329.jpg
    PSX_20231024_191329.jpg
    51 KB · Views: 5
Back
Top Bottom