Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Mahakama zetu na upendeleo fisadi wa Tshs 71 Bill faini Tshs 12 Mill. Aliyeuza nyama ya swala kifungo miaka 22 hakuna cha mbadala wa faini halafu uniambie hakimu hajahongwa
 

Attachments

  • PSX_20231106_233946.jpg
    PSX_20231106_233946.jpg
    322.4 KB · Views: 2
😢 😭 😿 😢 😭 😿
 

Attachments

  • IMG-20231107-WA0002.jpg
    IMG-20231107-WA0002.jpg
    47.1 KB · Views: 2
Hii ni Iringa na baridi lazima ufunge milango na madirisha. Sasa hawa usiku huo waliamua kujifungia na kugalagalazana sakafuni. Hawakujua jiko la mkaa linatumia hewa na oksijeni na kuachia carbon monoxide ambayo haina harufu na inaua. Waliendelea na starehe yao hadi mauti ikawakuta. Asubuhi wateja walishangaa mbona hafungui. Wakachungulia wakawaona wako watupu wamelala. Wakaita polisi ambao walivunja mlango wakawakuta wamekufa kwa kuvuta carbon monoxide ambayo hawakajua inatokana na makaa yaliyokuwa yakiwapasha joto. Wote ndoa zao waliziweka kando siku hiyo. Sina uhalika kabla ya mauti walipanga kulala hapo hadi asubuhi. Ninahisi ilikuwa chapuchapu waishie.
 

Attachments

  • InShot_20231107_121010640.jpg
    InShot_20231107_121010640.jpg
    449.2 KB · Views: 2
Sheria ya mafao ya wenza wa viongozi wa kitaifa imekiuka ibara 29 (4) ya katiba ya JMT ni batili
 

Attachments

  • IMG-20231107-WA0016.jpg
    IMG-20231107-WA0016.jpg
    56.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom