Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani


View: https://youtu.be/PWrarDLQBCA?si=9Qy6jlmxdeFMVHIa


Hawa kovid 19 hawawezi kuharamisha maamuzi ya bunge. Anavyodai Ulimwengu siyo sahihi kabisa. Ni sawa na mbunge katenguliwa na mahakama hawezi kulifanya bunge liwe haramu au maamuzi yake kuwa haramu. Maamuzi ya kimahakama huanza siku ya hukumu hivyo kabla ya hukumu mbunge aliyetenguliwa alikuwa halali.

Jingine huwezi kwenda mahakamani kuhoji uhalali wa maamuzi yake kwa sababu hujui baadhi ya wabunge hujui walitoka wapi bali unaweza kuhoji hao wabunge uhalali. Kwa kovid 19 kuna kesi iko mahakamani kwa hiyo hakuna mahakama itapokea shauri lilelile linalobishaniwa ambalo ni kama kovid 19 walitimuliwa kihalali. Na sasa hivi hii khoja imepitwa na wakati haina walalamikaji. Wamewarudishia wote uanachama baada ya bosi kuhongwa Tshs 50 Mill kwa kila mmoja wao
 
Mnamhukumu hata kabla ya mahakama. Ikija kubainika siyo kweli mtamwomba msamaha.

Hiyo chupa na cheti cha vipimo vya dakitari mmeviona?
PSX_20231128_094527.jpg
 
Hawa kovid 19 hawawezi kuharamisha maamuzi ya bunge. Anavyodai Ulimwengu siyo sahihi kabisa. Ni sawa na mbunge katenguliwa na mahakama hawezi kulifanya bunge liwe haramu au maamuzi yake kuwa haramu. Maamuzi ya kimahakama huanza siku ya hukumu hivyo kabla ya hukumu mbunge aliyetenguliwa alikuwa halali.

Jingine huwezi kwenda mahakamani kuhoji uhalali wa maamuzi yake kwa sababu hujui baadhi ya wabunge hujui walitoka wapi bali unaweza kuhoji hao wabunge uhalali. Kwa kovid 19 kuna kesi iko mahakamani kwa hiyo hakuna mahakama itapokea shauri lilelile linalobishaniwa ambalo ni kama kovid 19 walitimuliwa kihalali. Na sasa hivi hii khoja imepitwa na wakati haina walalamikaji. Wamewarudishia wote uanachama baada ya bosi kuhongwa Tshs 50 Mill kwa kila mmoja wao.



View: https://youtu.be/PWrarDLQBCA?si=9Qy6jlmxdeFMVHIa
 
Tangia Bashite arudi CCM tunaona uchimvi dhidi ya katibu mkuu, chongolo umeshamiri.

Tukimruhusu Bashite kwa kumtumia Musiba kuchafua viongozi wa CCM tumekwisha.

Dawa ya wambeya ni kutofanya wayatakayo.

Tangia lini ajali barabarani ikawa jinai au umalaya au ufisadi?


Walitaka apate ajali akiwa na nani?
 
Bashite hii ziara yake kachota bila kibali cha katibu mkuu sasa ana kesi ya kujibu. Mbinu yake ya kumgeuzia mwenzie kibao itamgeuka mwenyewe.

Anatumia hela za chama halafu anataka ionekane kazitoa mfukoni. Huyu Bashite atawasumbua sanaaaaaaa
 
Masuala ya bima ni uchimvi tukianza kuchokoana mkamilifu tutamtoa wapi?
 
Back
Top Bottom