Maoni yangu: Chama ndiye anayestahili kucheza namba 10 na sio Ntibanzonkiza!

Maoni yangu: Chama ndiye anayestahili kucheza namba 10 na sio Ntibanzonkiza!

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Ntibanzonkiza ukimwangalia kwa jicho la ndani Hana msaada kwa Simba kwa namba 10 anayocheza, hivyo anampa wakati mgumu Baleke kupata mipira kazi za kumpa mipira Baleke anaiweza Chama only!

Ntibanzonkiza anafanya sana back pass na akiwa na mpira kwenda golini ni rahisi Sana kupoteza hivyo kwa MECHI zilizobaki kunahaja ya kufanya changes inapaswa aingie sub!

Kibu Denis ni jitu lenye energy na momentum muda wote dk 90+ hivyo hastahili kupigwa Subst.... Onana ingebidi atolewe aingie Phiri then Chama acheze namba 10!

Nasema hivi Tena kwa Herufi kubwa Kama kile kikosi Cha kwanza kitaanza na Ntubanzonkiza pamja na Onana ujue kuna SARE ingine hapahapa kwa mkapa au kufungwa kabisa.. hii nikwasababu Baleke yuko peke yake analindwa Sana na Mabeki wa timu pinzani huku Onana na Ntibanzonkiza hawana msaada wowote kwa timu!
Nb: Afadhali ya Mickson kuliko Onana!

🐯🐯

NGUVU MOJA!
 
Watu wanamlaumu Baleke kwa kutofunga Ila ukweli Baleke Nani anamtengenezea nafasi? Ntobazokiza ni mbinafsi na pia hawezi kupunguza mabeki, Kibu anatumia nguvu zaidi kuliko akili sehemu ya pasi anataka afunge na sehemu ya kufunga anatoa pasi, Onana ndii hivyo Tena hawezi kupunguza hata beki mmoja.

Mtu pekee wa kuchezesha timu na kufunga ni Chama na amethibitisha hilo Mara nyingi. Phiri amebadilika sijui ni benchi au maelekezo anayopewa Ila kwa mfumo tunaoenda enda nao ni wazi hatutapata magoli.
 
Ntibanzonkiza ukimwangalia kwa jicho la ndani Hana msaada kwa Simba kwa namba 10 anayocheza, hivyo anampa wakati mgumu Baleke kupata mipira kazi za kumpa mipira Baleke anaiweza Chama only!
Ntibanzonkiza anafanya sana back pass na akiwa na mpira kwenda golini ni rahisi Sana kupoteza hivyo kwa MECHI zilizobaki kunahaja ya kufanya changes inapaswa aingie sub!
Kibu Denis ni jitu lenye energy na momentum muda wote dk 90+ hivyo hastahili kupigwa Subst.... Onana ingebidi atolewe aingie Phiri then Chama acheze namba 10!
Nasema hivi Tena kwa Herufi kubwa Kama kile kikosi Cha kwanza kitaanza na Ntubanzonkiza pamja na Onana ujue kuna SARE ingine hapahapa kwa mkapa au kufungwa kabisa.. hii nikwasababu Baleke yuko peke yake analindwa Sana na Mabeki wa timu pinzani huku Onana na Ntibanzonkiza hawana msaada wowote kwa timu!
Nb: Afadhali ya Mickson kuliko Onana!
🐯🐯
NGUVU MOJA!
Somba wafanye usajili wa dharura kwenye safu ya ushambuliaji la sivyo mambo yatakuwa sio mazuri haya yote yanasababushwa na viongozi janjajanja.
 
Game ijayo Saido hatokuepo nakadi za njano 2
Afadhali. kama hatajuwepo.

Na ikiwezekana dirisha dogo viongozi wamuache kabisa ili kocha akiwa anapanga timu asimuone maana sio kwa kuanguka kule kila mara akiguswa kidogo, kupoteza mipira hovyo, kulazimsha kupiga mashuti hata sehemu isiyostahili, kontroo chumba na sebule, uchoyo wa pasi, kulazimisha kupiga mipira ya faulo hata sehemu anapotakiwa kupiga mtu wa mguu wa kushoto. n.k.
 
Afadhali. kama hatajuwepo.

Na ikiwezekana dirisha dogo viongozi wamuache kabisa ili kocha akiwa anapanga timu asimuone maana sio kwa kuanguka kule kila mara akiguswa kidogo, kupoteza mipira hovyo, kulazimsha kupiga mashuti hata sehemu isiyostahili, kontroo chumba na sebule, uchoyo wa pasi, kulazimisha kupiga mipira ya faulo hata sehemu anapotakiwa kupiga mtu wa mguu wa kushoto. n.k.
Ntibatokiza mpira anaujua sana. Changamoto ni umri wake na aina ya mpira anaocheza ni wa kizamani sio kisasa kama akina Nzegeli.
 
Back
Top Bottom