Maoni yangu: Hao maafande wa tukio la binti wa Yombo Dovya hawatafungwa hata iweje

Maoni yangu: Hao maafande wa tukio la binti wa Yombo Dovya hawatafungwa hata iweje

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Katika hii nchi ukitoa Rais, watu wanaofuata kupigiwa magoti ni askari na hawa jamaa huwa wanafanya walitakalo na hii imethibitika katika vitu vingi sana.

Yaani kiufupi hao jamaa waliotuhumiwa kubaka na kulawiti hawatofungwa na wataishi maisha ya uraiani na kazi hawatofukuzwa sababu ni watu muhimu sana.

Sasa naona wabongo wanadanganyana sana eti watafungwa hivi si mliambiwa kesi ni siku tano haya mpaka leo siku tano si zimeshaisha Jana eti Kuna wakili kajitokeza kufungua kesi dhidi ya mawakili wanaowatetea MAAFANDE imepelekea kesi kusogezwa mbele mpaka kesi ya mawakili isikilizwe.

Hivi watanzania Kwa akili ya kawaida tu hamuoni kama hapo hamna kesi ya MAAFANDE yaani kesi imetoka Kwa maaafande imehamia kwa mawakili.

Cha kushauri tu mkae mkijua MAAFANDE watarudi uaraiani hii sio Tanzania ya magufuli na kesi hamna ipo hivyo yaani na majamaa yanadharau kweli kama yenyewe ndio wanaume pekee Tanzania.

Pia soma>> Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani
 
Katika hii nchi ukitoa Rais, watu wanaofuata kupigiwa magoti ni askari na hawa jamaa huwa wanafanya walitakalo na hii imethibitika katika vitu vingi sana.

Yaani kiufupi hao jamaa waliotuhumiwa kubaka na kulawiti hawatofungwa na wataishi maisha ya uraiani na kazi hawatofukuzwa sababu ni watu muhimu sana.

Sasa naona wabongo wanadanganyana sana eti watafungwa hivi si mliambiwa kesi ni siku tano haya mpaka leo siku tano si zimeshaisha Jana eti Kuna wakili kajitokeza kufungua kesi dhidi ya mawakili wanaowatetea MAAFANDE imepelekea kesi kusogezwa mbele mpaka kesi ya mawakili isikilizwe.

Hivi watanzania Kwa akili ya kawaida tu hamuoni kama hapo hamna kesi ya MAAFANDE yaani kesi imetoka Kwa maaafande imehamia kwa mawakili.

Cha kushauri tu mkae mkijua MAAFANDE watarudi uaraiani hii sio Tanzania ya magufuli na kesi hamna ipo hivyo yaani na majamaa yanadharau kweli kama yenyewe ndio wanaume pekee Tanzania.

Mkuu kwani wewe ungependa wafungwe hata kama wasipopatikana na hatia?

Kama ndivyo si wangepelekwa jela moja Kwa moja?

Kwa vile wameletwa mahakamani, si tumsubiri ndugu hukumu?
 
Polisi wa tanzania ni miungu watu, sababu wanawalinda watawala dhalimu,na watawala dhalimu wanawalinda wao, zingatia watanzania ni mbwa tu.
Ndio ilivyo polisi tanzania anapigiwa magoti tena akikukuta mnyonge kifedha ndio kabisaaa
 
Wana uhakika wa kutoka
Kuna video kapost maulid kitenge mtuhumiwa anamwambia mwandishi wa habari siku akumaliza kesi atamtafuta
 
Katika hii nchi ukitoa Rais, watu wanaofuata kupigiwa magoti ni askari na hawa jamaa huwa wanafanya walitakalo na hii imethibitika katika vitu vingi sana.

Yaani kiufupi hao jamaa waliotuhumiwa kubaka na kulawiti hawatofungwa na wataishi maisha ya uraiani na kazi hawatofukuzwa sababu ni watu muhimu sana.

Sasa naona wabongo wanadanganyana sana eti watafungwa hivi si mliambiwa kesi ni siku tano haya mpaka leo siku tano si zimeshaisha Jana eti Kuna wakili kajitokeza kufungua kesi dhidi ya mawakili wanaowatetea MAAFANDE imepelekea kesi kusogezwa mbele mpaka kesi ya mawakili isikilizwe.

Hivi watanzania Kwa akili ya kawaida tu hamuoni kama hapo hamna kesi ya MAAFANDE yaani kesi imetoka Kwa maaafande imehamia kwa mawakili.

Cha kushauri tu mkae mkijua MAAFANDE watarudi uaraiani hii sio Tanzania ya magufuli na kesi hamna ipo hivyo yaani na majamaa yanadharau kweli kama yenyewe ndio wanaume pekee Tanzania.
Kwamba wako juu ya sheria?
 
Back
Top Bottom