Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #21
Ni noma sana binti kashaliwa tope na hawatofanywa chochotehatare sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni noma sana binti kashaliwa tope na hawatofanywa chochotehatare sana
Hao maafande au waimba kiduku singeliYaani hao jamaa wako gorofani mwa sheria
Huna akili ama unazo ila hupendi kuzitumia...wewe ni mke wao au mnufaika wa uovu wao?Yaani hao jamaa wako gorofani mwa sheria
Hao ndio maafande wa tanzania mkuu tena wanapigiwa magotiHao maafande au waimba kiduku singeli
Kama nchi ndio ina maafande wa aina basi huko jeshini hamna kitu
Ova
Utajua mwenyewe ila hapo afungwi mtu makasiriko Yako mpelekee raisi wako na mahakama sio Mimi umesikia bintiHuna akili ama unazo ila hupendi kuzitumia...wewe ni mke wao au mnufaika wa uovu wao?
Hafungwi ntu
Mbona kawaida tu hapa tanzania hao hata kazi hawatofukuzwa na mshahara wa mwezi huu wameshaingiziwa tena na magoti wanapigiwa Ili wasiache kaziWataweka historia mbaya kwamba mtu unaweza ukajirecord live na sura zikaonekana kisha ukawa hauna hatia.
JingaMpumbavu
Katika hii nchi ukitoa Rais, watu wanaofuata kupigiwa magoti ni askari na hawa jamaa huwa wanafanya walitakalo na hii imethibitika katika vitu vingi sana.
Yaani kiufupi hao jamaa waliotuhumiwa kubaka na kulawiti hawatofungwa na wataishi maisha ya uraiani na kazi hawatofukuzwa sababu ni watu muhimu sana.
Sasa naona wabongo wanadanganyana sana eti watafungwa hivi si mliambiwa kesi ni siku tano haya mpaka leo siku tano si zimeshaisha Jana eti Kuna wakili kajitokeza kufungua kesi dhidi ya mawakili wanaowatetea MAAFANDE imepelekea kesi kusogezwa mbele mpaka kesi ya mawakili isikilizwe.
Hivi watanzania Kwa akili ya kawaida tu hamuoni kama hapo hamna kesi ya MAAFANDE yaani kesi imetoka Kwa maaafande imehamia kwa mawakili.
Cha kushauri tu mkae mkijua MAAFANDE watarudi uaraiani hii sio Tanzania ya magufuli na kesi hamna ipo hivyo yaani na majamaa yanadharau kweli kama yenyewe ndio wanaume pekee Tanzania.
Sawa subiri uone kati ya Mimi na wewe nani mleviUmeamka na ulevi
Kwa sheria zipi kwamba kazi hawajafukuzwa?Mbona kawaida tu hapa tanzania hao hata kazi hawatofukuzwa na mshahara wa mwezi huu wameshaingiziwa tena na magoti wanapigiwa Ili wasiache kazi
Sheria hii hii kazi hawajafukuzwa mzee niamini Mimi hayo maigizo mnaigiziwa kazi bado hipo na mshahara unaingiaKwa sheria zipi kwamba kazi hawajafukuzwa?
Maaskari na wanajeshi kibao tu washafungwa wewe umeijua mitandao juzi kijana wa buku beeSawa subiri uone kati ya Mimi na wewe nani mlevi
Nimeshakuambia tanzania hii elewa maana ya tanzania hii endelea kuotaMaaskari na wanajeshi kibao tu washafungwa wewe umeijua mitandao juzi kijana wa buku bee
![]()
Wanajeshi watatu wahukumiwa kunyongwa kwa mauaji
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa askari watatu baada ya kupatikana na hatia ya kumuua, Swetu Fundikira.www.mwananchi.co.tz
Acha shisha na mibangiNimeshakuambia tanzania hii elewa maana ya tanzania hii endelea kuota
Endelea kuota hafungwi mtu hapo fanya mambo Yako yanayokuhusuAcha shisha na mibangi
Siyo kila homa ni malaria...Hao wahuni hawatoboi.Sheria hii hii kazi hawajafukuzwa mzee niamini Mimi hayo maigizo mnaigiziwa kazi bado hipo na mshahara unaingia
Wanatoboa vizuri tu na magoti wanapigiwa huyo Binti Hana thamani mbele ya afandeSiyo kila homa ni malaria...Hao wahuni hawatoboi.
Duh basi hatuna maafande mdauHao ndio maafande wa tanzania mkuu tena wanapigiwa magoti