Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 808
- 878
Kama mtanzania nimepitia na kuisoma kwa umakini kujua nini kimo maana elimu ndo Kila kitu katika taifa lolote maana ndo jiko la wataamu wenye chachu ya kuleta maendeleo ya nchi.
Nawapongeza Ila maoni yangu ni Kama ifuatavyo;
1. Kwenye Sela ya elimu lugha ya kujufunzia ni Kiswahili kwa shule za awali na msingi kwa zile za serikali na kiingereza kwa zile zinazotumia mfumo wa kiingereza. Maoni yangu apa ni bora lugha ingekuwa moja kwa shule zote yaani kiingereza ndo kitumike na Kiswahili lifunzwe tu kama somo ili kuepuka kuendelea kuwachanganya watoto kwani wakifika sekondari kwa mjibu wa Sera hii ya elimu pendekezwa mtoto ataitaji kutumia kiingereza katika kujifunza kwa masomo yote isipokuwa Kiswahili na historia ya tanzania.
2. Kuhusu masomo ya darasa la kwanza/ awali ningependekeza mtoto aweze tu kumudu stadi tatu tu yaani kuhesabu, kusoma na kuandika ili kumwezesha kumudu vizuri zaidi lugha na atumie pia kiingereza Kama nilivyoshauri apo juu, pia Kama Kuna ulazima Sana anaweza pia kusoma science ya mazingira yake.
3. Na ili hili liweze kufanikiwa nashauri walimu waendane na ratio ya watoto ili kuwamdu vuzuri yaani mwalimu awe na watoto wachache ili awamudu sasa hapa kwa darasa la awali na la kwanza.
Ushauri wangu ni huu kwa mtizamo wangu. Kwa ujumla kama ikisimamia vizuri ni nzuri sana.
Zaidi, soma: Rasimu ya Mitaala Nchini: Umri wa kuanza darasa la kwanza ni miaka 6, elimu ya msingi mwisho darasa la 6
Nawapongeza Ila maoni yangu ni Kama ifuatavyo;
1. Kwenye Sela ya elimu lugha ya kujufunzia ni Kiswahili kwa shule za awali na msingi kwa zile za serikali na kiingereza kwa zile zinazotumia mfumo wa kiingereza. Maoni yangu apa ni bora lugha ingekuwa moja kwa shule zote yaani kiingereza ndo kitumike na Kiswahili lifunzwe tu kama somo ili kuepuka kuendelea kuwachanganya watoto kwani wakifika sekondari kwa mjibu wa Sera hii ya elimu pendekezwa mtoto ataitaji kutumia kiingereza katika kujifunza kwa masomo yote isipokuwa Kiswahili na historia ya tanzania.
2. Kuhusu masomo ya darasa la kwanza/ awali ningependekeza mtoto aweze tu kumudu stadi tatu tu yaani kuhesabu, kusoma na kuandika ili kumwezesha kumudu vizuri zaidi lugha na atumie pia kiingereza Kama nilivyoshauri apo juu, pia Kama Kuna ulazima Sana anaweza pia kusoma science ya mazingira yake.
3. Na ili hili liweze kufanikiwa nashauri walimu waendane na ratio ya watoto ili kuwamdu vuzuri yaani mwalimu awe na watoto wachache ili awamudu sasa hapa kwa darasa la awali na la kwanza.
Ushauri wangu ni huu kwa mtizamo wangu. Kwa ujumla kama ikisimamia vizuri ni nzuri sana.
Zaidi, soma: Rasimu ya Mitaala Nchini: Umri wa kuanza darasa la kwanza ni miaka 6, elimu ya msingi mwisho darasa la 6