Maoni yangu Katiba Mpya

Gwaje

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
299
Reaction score
85
serikali tatu ni muhimu na muundo utakuwa hivi, Rais mmoja wa muungano, makamu wa rais 2 yaani Tanganyika na zanzibar na hivyo kufuta waziri mkuu na waziri kiongozi ambapo hao makamu 2 watakuwa ndio wakuu wa serikali na watawajibika bungeni unaruhusiwa kuboresha wazo hili

lakini kama tungeweza kupata maoni yaliyotolewa na baadhi ya waliokuwa viongozi wetu ili kulinganisha walichokisema na wanachokisema kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…