Maoni yangu kuhusu biashara ya kuagiza bidhaa China

Maoni yangu kuhusu biashara ya kuagiza bidhaa China

Ok! Kikubwa tahadhari tu [emoji120]
Sema angalau wachina wa Alibaba wana unafuu wao... huwa hawaachi kukutumia kabisa mzigo ila kama ni nguo utapokea vitu vya hovyo. Siku unafungua furushi lazima ulie. 😁😁😁 nadhani huwa wanatafuta tu ushahidi kwamba mzigo alikutumia.
 
Sema angalau wachina wa Alibaba wana unafuu wao... huwa hawaachi kukutumia kabisa mzigo ila kama ni nguo utapokea vitu vya hovyo. Siku unafungua furushi lazima ulie. [emoji16][emoji16][emoji16] nadhani huwa wanatafuta tu ushahidi kwamba mzigo alikutumia.
Very risk! Ina bidi ifike mahala wazuri wa fahamike na wezi wafahamike, means uno watumia ww wazuri uwa ainishe na wezi ulio kumbana nao na mwingine alie wahi kufanya biznec hii bia a ainishe wake
 
Very risk! Ina bidi ifike mahala wazuri wa fahamike na wezi wafahamike, means uno watumia ww wazuri uwa ainishe na wezi ulio kumbana nao na mwingine alie wahi kufanya biznec hii bia a ainishe wake
Nitatoa majina ya niliowahi kufanya nao kazi bila matatizo pia nitawataja waliowahi kunitapeli.
 
Incase ukitumia shipping Agent wako,kwenye gharama za kukusafirishia mzigo Kila kitu anakuwa kishalipia ww ni kupokea mzigo tu
 
Hivi mkuu kwa mfano mfanyabiashara akiamua kwenda mwenyewe China kuchagua mizigo na kuituma, tiketi na visa inagharimu kiasi gani?
 
BIASHARA YA KUAGIZA CHINA

Leo nimeona nitumie haki yangu ya kikatiba chini ya ibara ya 18 kifungu cha kwanza kuhusu uhuru wa kutoa maoni. Nitazungumzia kuhusu hii biashara ya kuagiza vitu China na kuviuza Tanzania. Maoni yangu haya yanatokana na uzoefu wangu kwenye aina hii ya biashara. Pia nimeona ni wakati sahihi wa kutoa haya maoni baada ya kusikitishwa na wimbi kubwa la matapeli wanaowaliza watu hasa wanawake.

Kwanza kabisa tukubaliane hii biashara ni nzuri inalipa kwasababu nchi zetu hazina viwanda hivyo kila kitu kinatoka nje hasa China. Ni biashara ambayo ukiifanya kwa makini itakutoa kirahisi zaidi. Tanzania pamoja na changamoto zake za tozo na mambo mengine ila bado kibiashara ni sehemu nzuri kwasababu ya wingi wa watu. Watu zaidi ya milioni 60 ni wengi hivyo huwezi kosa kabisa wateja. Cha muhimu cheza na BEI pamoja na UBORA wa vitu unavyoagiza.

Baada ya wajanja kugundua Tanzania panalipa ndo kukatokea watu wanaowaagizia bidhaa wenzao kutoka China huku wao wakifaidika na "cha juu" wanachoongezea. Ni kitu kizuri na ninawapongeza. Ila kuna wahuni wachache nao wamejitokeza na kuanza kutapeli watu pesa zao walizopata kwa shida. Mitandaoni ni kilio kila kona. Wanawake wakiwa wahanga wakuu wa hawa matapeli. Poleni sana. Binafsi ninajua maumivu ya kutapeliwa. Nilishawahi tapeliwa na mbongo mwenzangu simu aina ya Iphone. Inauma sana kuona ndugu yako anakutapeli LIVE. Kibaya ni kwamba utakuta mtu anatapeli watu kibao na kuwa na kiburi cha hali ya juu. Na wengi wa waanaoagizia watu mizigo hujifanya miungu watu.

Nini maoni yangu ili mtu asitapeliwe au kupunguza hatari ya kutapeliwa? Binafsi baada ya kupata vipigo mara kadhaa kupitia matapeli niliamua kujivika mabomu na kuanza kuagiza mwenyewe. Ingawa haimaanishi kwamba ukiagiza mwenyewe ndo hutakutana na matapeli wa kichina... la hasha. Kuna wachina matapeli pia ila ni wachache kulinganisha na watanzania wenzetu.

Nilichofanya ni ku-install app ya Alibaba kwenye simu yangu kisha kuanza kutafuta vitu mbalimbali nilivyokuwa navitaka. Baada ya kupata na kukubaliana bei basi huwa ninalipia direct kwa mchina kisha nampa address ya msafirishaji ambapo mara nyingi natumia Silent Ocean Ltd. Baada ya hapo mchina hupeleka mzigo kwa msafirishaji na kunitumia picha ya delivery note kuonyesha kwamba mzigo sasa uko Silent Ocean Ltd. Zamani mizigo ilikuwa inafika mapema sana. Ndani ya mwezi na wiki moja unakuwa ushapata mzigo ila baada ya corona hadi leo mizigo kuipata haipungui miezi miwili (siku 60). Ila matapeli wengi watakuambia haizidi siku 45.

Faida na hasara za kutumia huu utaratibu wangu zipo. Unapoagiza online inabidi umakini sana kwasababu pichani kitu ni kizuri lakini kikikufikia ni ovyo. Pia kwenye Alibaba kuna matapeli pia wa kichina hasa upande wa nguo. Unaweza lipia asikutumie mzigo au akatuma vitu vya ovyo. Faida ya huu utaratibu wangu ni kupata vitu kwa bei chini ambayo itakuja kukupa faida kubwa. Kwa mfano hizi pochi zinazouzwa 6000 hadi 8000 kule China huwa ni 2000 hadi 3000. Faida nyingine unakuwa na uhakika wa mzigo kuja kwa jina lako na sio dalali hivyo unajikuta umeokoa gharama za usafirishaji. Kiukweli kuagiza mwenyewe ni bora zaidi. Kuhusu matapeli wa kichina huwa ni nadra sana kutokea. Pia kuna jinsi ya kuwagundua kabla hata hujaagiza.

Mimi nashauri muwe na hiyo App mjiagizie wenyewe. Kama huelewi omba hata mtu wako wa karibu akusaidie. Isitoshe waagizaji wengi nao huingia tu Alibaba na kuwaagizia watu. UOGA WAKO NDO UMASKINI WAKO.
Jinsi ya kuwagundua unafanyaje
 
Ndugu naheshimu maoni yako ila MIMI SIFANYI BIASHARA YA KUMUAGIZIA MTU KITU KUTOKA CHINA... Nimetoa tu ushauri na sihitaji mtu yeyote kuniomba nimuagizie kitu China. Pia jitahidi kuwa positive badala ya kuwaza mabaya muda wote.
Mkuu. Unaweza kunisaidia mimi na group langu la wafanyabiashara ukatufundisha namna ya kuagiza vitu nje ya nchi?
 
Mkuu. Unaweza kunisaidia mimi na group langu la wafanyabiashara ukatufundisha namna ya kuagiza vitu nje ya nchi?
Mkuu ninachoweza kufanya ni kukupa tu uzoefu wangu binafsi. Yale yatakayofaa utayachukua.
 
BIASHARA YA KUAGIZA CHINA

Leo nimeona nitumie haki yangu ya kikatiba chini ya ibara ya 18 kifungu cha kwanza kuhusu uhuru wa kutoa maoni. Nitazungumzia kuhusu hii biashara ya kuagiza vitu China na kuviuza Tanzania. Maoni yangu haya yanatokana na uzoefu wangu kwenye aina hii ya biashara. Pia nimeona ni wakati sahihi wa kutoa haya maoni baada ya kusikitishwa na wimbi kubwa la matapeli wanaowaliza watu hasa wanawake.

Kwanza kabisa tukubaliane hii biashara ni nzuri inalipa kwasababu nchi zetu hazina viwanda hivyo kila kitu kinatoka nje hasa China. Ni biashara ambayo ukiifanya kwa makini itakutoa kirahisi zaidi. Tanzania pamoja na changamoto zake za tozo na mambo mengine ila bado kibiashara ni sehemu nzuri kwasababu ya wingi wa watu. Watu zaidi ya milioni 60 ni wengi hivyo huwezi kosa kabisa wateja. Cha muhimu cheza na BEI pamoja na UBORA wa vitu unavyoagiza.

Baada ya wajanja kugundua Tanzania panalipa ndo kukatokea watu wanaowaagizia bidhaa wenzao kutoka China huku wao wakifaidika na "cha juu" wanachoongezea. Ni kitu kizuri na ninawapongeza. Ila kuna wahuni wachache nao wamejitokeza na kuanza kutapeli watu pesa zao walizopata kwa shida. Mitandaoni ni kilio kila kona. Wanawake wakiwa wahanga wakuu wa hawa matapeli. Poleni sana. Binafsi ninajua maumivu ya kutapeliwa. Nilishawahi tapeliwa na mbongo mwenzangu simu aina ya Iphone. Inauma sana kuona ndugu yako anakutapeli LIVE. Kibaya ni kwamba utakuta mtu anatapeli watu kibao na kuwa na kiburi cha hali ya juu. Na wengi wa waanaoagizia watu mizigo hujifanya miungu watu.

Nini maoni yangu ili mtu asitapeliwe au kupunguza hatari ya kutapeliwa? Binafsi baada ya kupata vipigo mara kadhaa kupitia matapeli niliamua kujivika mabomu na kuanza kuagiza mwenyewe. Ingawa haimaanishi kwamba ukiagiza mwenyewe ndo hutakutana na matapeli wa kichina... la hasha. Kuna wachina matapeli pia ila ni wachache kulinganisha na watanzania wenzetu.

Nilichofanya ni ku-install app ya Alibaba kwenye simu yangu kisha kuanza kutafuta vitu mbalimbali nilivyokuwa navitaka. Baada ya kupata na kukubaliana bei basi huwa ninalipia direct kwa mchina kisha nampa address ya msafirishaji ambapo mara nyingi natumia Silent Ocean Ltd. Baada ya hapo mchina hupeleka mzigo kwa msafirishaji na kunitumia picha ya delivery note kuonyesha kwamba mzigo sasa uko Silent Ocean Ltd. Zamani mizigo ilikuwa inafika mapema sana. Ndani ya mwezi na wiki moja unakuwa ushapata mzigo ila baada ya corona hadi leo mizigo kuipata haipungui miezi miwili (siku 60). Ila matapeli wengi watakuambia haizidi siku 45.

Faida na hasara za kutumia huu utaratibu wangu zipo. Unapoagiza online inabidi umakini sana kwasababu pichani kitu ni kizuri lakini kikikufikia ni ovyo. Pia kwenye Alibaba kuna matapeli pia wa kichina hasa upande wa nguo. Unaweza lipia asikutumie mzigo au akatuma vitu vya ovyo. Faida ya huu utaratibu wangu ni kupata vitu kwa bei chini ambayo itakuja kukupa faida kubwa. Kwa mfano hizi pochi zinazouzwa 6000 hadi 8000 kule China huwa ni 2000 hadi 3000. Faida nyingine unakuwa na uhakika wa mzigo kuja kwa jina lako na sio dalali hivyo unajikuta umeokoa gharama za usafirishaji. Kiukweli kuagiza mwenyewe ni bora zaidi. Kuhusu matapeli wa kichina huwa ni nadra sana kutokea. Pia kuna jinsi ya kuwagundua kabla hata hujaagiza.

Mimi nashauri muwe na hiyo App mjiagizie wenyewe. Kama huelewi omba hata mtu wako wa karibu akusaidie. Isitoshe waagizaji wengi nao huingia tu Alibaba na kuwaagizia watu. UOGA WAKO NDO UMASKINI WAKO.
Naomba njia zitumikazo kufanya malipo kama hutojali
 
Tahadhari tahadhari tahadhari. Hata mwanzisha thread anaweza kuwa ni tapeli anayejitangaza kiana! Huu mtindo uko sana siku hizi. Mtu anasimulia kama alishawahi kuwa victim na sasa amejua njia sahihi. Anajifanya kama anasimulia masaibu aliyopata na namna alivyojikwamua.

Baada ya hapo anatega mingo kusubiri raia waanze kuomba msaada ili awasaidie. Ukienda kichwa kichwa ''anakusaidia'' kweli kweli. ANGALIZO: Sijasema huyu jamaa ni tapeli ila nimesema kuna matapeli wanatumia njia za aina hii.

Hivyo akili kum-kichwa!
Kuna tapeli anajiita mwl rct naye anapigo hizo.
 
Back
Top Bottom