Mjanjabi Member Joined Aug 6, 2019 Posts 31 Reaction score 20 Jul 23, 2024 #1 Mimi katika kazi zangu hata ya kizibua vyoo, Makonda ana mapungufu yake tena sana ila ni kiongozi safi sana na mimi natabiri atakuja kuwa mkubwa sana. Nape hata kama ningekuwa Rais angenisaidia kufuta vumbi. Fanya chochote nipo upande wa Jemedari.
Mimi katika kazi zangu hata ya kizibua vyoo, Makonda ana mapungufu yake tena sana ila ni kiongozi safi sana na mimi natabiri atakuja kuwa mkubwa sana. Nape hata kama ningekuwa Rais angenisaidia kufuta vumbi. Fanya chochote nipo upande wa Jemedari.
P Pyroxine JF-Expert Member Joined Jun 1, 2014 Posts 243 Reaction score 300 Jul 23, 2024 #2 Hawa miamba wamepewa airtime kubwa sana
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Jul 23, 2024 #3 Dr Matola PhD said: Mnajaza matakataka tu. Click to expand... Anazibua Toilet 🚽 😁
Mjanjabi Member Joined Aug 6, 2019 Posts 31 Reaction score 20 Jul 23, 2024 Thread starter #4 Dr Matola PhD said: Mnajaza matakataka tu. Click to expand... Kaka mm najenga hoja tu karibu