Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Kumekuwa na mijadala mingi isiyokuwa na Afya kwa masuala ya Dini humu majukwaani. Tatizo la hiyo mijadala ni watu kuleta mada ambazo ni porojo bila ushahidi wowote huku wakiaminisha watu kuwa ni mafundisho ya dini fulani.
NASHAURI: Ili jukwaa lionekane lina wachangiaji wenye maarifa (wasio wajinga); tuchangie mada za dini zile zenye ushahidi kutoka kitabu husika (Biblia au Quran). Mtu akija na porojo zake sijui hadithi imesimuliwa na nani au sijui tamthilia nk nk tumpuuze!
Kwa kufanya hivyo tutaliheshimisha jukwaa kwa kulifanya lionekane lina watu wenye maarifa.,,,namaanisha watu wanaotaka kuujua ukweli na sio WATU WAJINGA WANAO AMINI KILA WANACHOSIKIA!
Kumbuka: Mtandao umefikia watu wengi kwa haraka sana huku ulimwengu wa tatu, hata wale ambao wangehitaji muda kidogo wa kujifunza namna ya kwenda nao hawakupata hiyo fursa.....tuwasaidie!
NASHAURI: Ili jukwaa lionekane lina wachangiaji wenye maarifa (wasio wajinga); tuchangie mada za dini zile zenye ushahidi kutoka kitabu husika (Biblia au Quran). Mtu akija na porojo zake sijui hadithi imesimuliwa na nani au sijui tamthilia nk nk tumpuuze!
Kwa kufanya hivyo tutaliheshimisha jukwaa kwa kulifanya lionekane lina watu wenye maarifa.,,,namaanisha watu wanaotaka kuujua ukweli na sio WATU WAJINGA WANAO AMINI KILA WANACHOSIKIA!
Kumbuka: Mtandao umefikia watu wengi kwa haraka sana huku ulimwengu wa tatu, hata wale ambao wangehitaji muda kidogo wa kujifunza namna ya kwenda nao hawakupata hiyo fursa.....tuwasaidie!