Gharama ni kubwa mno zaidi ya 70T,tshKwa nini vijana wanaomaliza vyuo vikuu na vya kati wasichaguliwe na kupelekwa nchi kama Indonesia, Belgium au hata hiyo Dubaï pia wakajifunze kwa mwaka mmoja wakati Serikali ikinunua vifaa na mashine za kisasa, Kama ilivyofanya uwekezaji kwenye shirika la ndege?
SafiMkuu Ahsante kwa maoni yako Mimi pia nimebahatika kuwa nakatiza katiza hapo Bandarini kuanzia Gate namba moja mpaka namba tano.
Ni kweli panachangamoto kubwa Sana pale Bandarini hasa mifumo.
Kwa mfano: unaweza kukuta foleni ya maloli ipo karibu na uhasibu gari haziingii Bandarini wala hazitoki kisa unaambiwa TANSIS Hafanyi KAZI kwa sasa IPO SINGLE WINDOW.
Hapo hapo mifumo wao haufanyi KAZI lakini kama ulivyosema hapo juu ukilipia storage charge's Saa mbili asubuhi au Saa tano na dakika 59 usiku ikifika Saa sita kamili mfumo unakataa kulitoa contena lako hapo ni lazima upate wanaita Additional charges ili uweze kutoa containers na kosa sio lako ila TANSIS au SINGLE WINDOW ilistop kufanya KAZI.
Lakini pia pale bandari kuna baadhi ya mizigo hawana vifaa na ndiyo maana Meli iliyopaswa kushusha TPA unaenda kuikuta TICTS na MANIFEST YA TPA mpaka kufanyika Amendment hapo containers zimeingia storage, na muda mwingine ni mara Mia ulipe storage kuliko kuomba WEVA maana utafuatilia kama unaomba kwenda PEPONI.
Changamoto zingine zilikuwa ni bei ila Jana nilikuwa kwenye kikao na TASAC TPA wamefanya amendment ya TARIF yao kwa hiyo tuliitwa wadau kwa ajili ya kujadili hizo bei mpya ambapo kwa containers moja ya
20f ilikuwa 240 wamepunguza mpaka 90
40f ilikuwa 420 mpaka 180
Hizo ni import.
EXPORT
20F 72 USD Kutoka 160
40f 150 USD Kutoka 280
TARIF nzima ukiihitaji inapatikana TASAC iliyofanyiwa marekebisho.
Changamoto ni Nyingi na tunahitaji uwekezaji Kwa Hali na Mali ila usiwe uwekezaji WA kutuumiza WATANZANIA.
Tunahitaji container ikishashushwa procedure zisichukue siku nyingi kulitoa hapo ushirikiano Kati ya taasisi waweke mifumo yao Sawa kuanzia TRA, TBS,TMDA, KILIMO, N.K ili kusiwe na kikwazo kutoa containers.
Kwa mfano kwa sasa kuna huu mfumo WA SINGLE WINDOW umeunganisha mifumo yote humo, utakuta mzigo wako hauhitaji kibali cha TBS AU TMDA AU ATOMIC lakini utakuta unafanya procedure mpaka mwisho TRA kutoa Release order mfumo unakataa utasiki document yako imeshikiliwa na TFS na mzigo wako labda ni WA hospital .
Malalamiko ni mengi hayawezi kuisha ngoja niishie hapa.
TUNAHITAJI WAWEKEZAJI WAJE WAWEKEZE BANDARINI KWETU LAKINI MIKATABA ISIWE YA KINYONYAJI INUFAISHE PANDE ZOTE MBILI.
Umeandika vizuri tu, ila kutokana na sensitivity ya Bandari kiuchumi na kiusalama ni vizuri kwanza tukaunda timu ya wabobezi itushauri namna ya kuongeza ufanisi bandarini huku uchumi na usalama ukiwa top priority.Kumekuwa na mzozo mkubwa kuhusu hii bandari ya Dar es salaam na DP World.
Sio vibaya kuwa na wawekezaji katika nchi lakini tuangalie na mikataba tunayoingia nao, twende mbele turudi nyuma ufanisi wa Bandari ya ya Dar es salaam ni mbovu kupita maelezo yani haufai.
Naongea hivi nikiwa na experience za kutosha naijua bandari vizuri sana kuanzia, magate yote PM yard, TY yard, RORO yard, Marindi yari yani yard zote kila sehemu naijua mm mule mana nilikuwa kama mmoja ya wafanyakazi wa ile bandari nishafanya kazi bandarini kwa muda wa miaka zaidi ya 5 kuanzia 2016 mpaka 2021 naijua sana ile bandari in and out.
Nilifanya kazi pale katika kampuni yetu ile ya mkonge kampuni ya mkonge kwa walioniele wamenielewa na wanaijua kampuni ya mkonge ni kitu gani kazi yangu mm ilikuwa ni kukagua kontena na kuangalia usalama wa bandari na kama wale ma agent wamepakia mizigo mfano nguo zinafanana na za kampuni ya mkonge kazi yetu sisi ilikuwa ni kuzichukua hizo nguo na kuzipeleka mahali husika au kama vitu vinafanana na vya kampuni yetu kwaiyo ninavyoongea nafahamu nini nasema.
Ile bandari ila changamoto nyingi mno kwanza haina vifaa, yani paper use and manual work ni nyingi mno mizigo uchelewa sana na ufanisi ni mdogo mno.
Ufanisi wa kazi ni 0 yani 0 kabisa mfano pale RORO terminal ikisema RORO namanisha sehemu ya bandari ambapo gari zikitoka melini zinaifadhiwa hapo ndo uitwa RORO ukitaka toa gari lako aisee ni changamoto kama una gari 30 aisee utakesha kuzidi mifumo yao ya TEPP ni 0 kabisa yani hopeless mfumo mbovu sijapata kuona.
TEPP ni nini? huu ni mfumo wa bandari wa kukusanyia mapato huu mfumo ni 0 kabisa.
Track Annoucement huu mfumo wao nao pia ni 0 huu ni mfumo gani huu ni mfumo ambao utumika kutolea vibari vya kuingilia na kutokea bandarini huu mfumo aisee ni 0 mana huu mfumo ulivyosetiwa eti ikifika saa 6 usiku ni unaingia storage aijalishi umelipia saa ngapi hii hali upelekea ufanisi kuwa 0 naiekezea hapa chini.
Kuna siku wakati nipo operation zangu kule Bath no 8 kuna TICTS kuna kontena baridi LIFA contena zilikuwa zimefungashiwa vifungashio ambavyo ni vya kampuni yetu ya mkonge sasa tulitakiwa tukavitoe vile vifungashio alooo wale magent wakanza lalamika kwamba iyo siku wata ingia storage mana mzigo manifest unasoma TPA lakini physical upo TICTS nikawauliza ebu niekezeni kwann imekuwa hivyo wakanza nipa maekezo aisee nilichoka.
Ni hivi mzigo meli ili beth pale beth no 8 TICTS lakini ilitakiwa ubeth TPA kwa kuwa TPA hawana vifaa vya kutosha waka udirect TICTS mana kule vifaa ni vingi kwaiyo Physical upo TICTS ila manifest ya TRA upo TPA unatakiwa utoke TICTS ende ukatokee TPA gate no 3 kipindi iko sasa process ya kutoa mzigo hapo gate no 3 ni balaaa mana jamaa uyo agent alisema atalipia iyo siku storage na vingine saa 11 jioni ila anatakiwa awe fasta ametoa mzigo mana saa 6 usiku mfumo wao track announcement unajifunga.
Na Security ndo wamepewa dhamana ya kufungia huo mfumo kwaiyo anakuwa anaingia storage hii kitu ilinishangaza sana nikasema kwann iwe hivyo? yaani ulipie saa 11 jioni alafu saa 6 usiku wafungia eti ni siku mpya why iwe ivyo? kwanini wasiweke masaa 12 baada ya mtu kulipia invoice yake wakasema hata wao washaongea sana juu ya ilo nikasema nifatikie nione mana mm napenda sana jifunza vitu aisee nilivyofatilia nilichoka na hayo majibu.
Nakumbuka pindi iko Bwana MRISHO ni jamaa angu sana alikuwa ndo PRINCIPLE SECURITE MANAGER mtu poa dana muungwana sana now ni MKURUGENZI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM nikaenda muuliza alinijibu dah lakini majibu yake hayakunilidhisha nikaamua nipotezee tuu kiukweli ile bandari inatakiwa iboreshwe tena sana.
Mana tukiiboresha itakuwa vizuri zaidi lakini tuangalie na huo mkataba wa hao jamaa DP WORLD, Je unatufaaa? Wawe wawekezaji lakini wasitupe masharti magumu na ya hovyo tusikubali lakini tukubali vipengere vizuri sisi wa Tanzania tunufaike na wao wanufaike taifa lipate maendeleo.
Hivyo napendekeza ivyo vipengele vibaya vya kutaka peleka taifa pabaya vitolewe ili tupate maendeleo.
NB: Vitu vya kurekebishwa ni mfumo wa TEPP, TRACK ANNOUCEMENT na kule watu wa REVENUE BILLING, na RORO terminal nikimanisha waweke mifumo inayorahisisha kazi kwa muda mfupi sana kontena, mzigo au gari imetoka sio mlolongo mrefu kama nini.
Yaani ATCL ndiyo ilipaswa kubinafsishwa kwanza kabla ya bandari. Ukitaka kujua sababu yangu linganisha kipindi cha Fast Jet kwenye punctuality na nauli halafu iniambie kama kuwa na ATCL kina tija kwa mwananchi.Na ndege nazo tutakuja kuwapa wageni kama ilivyokuwa hapo mwanzo na mambo yatakuwa mabaya na watu hawataamini.
Inatakiwa mifumo ipigwe bomu ife kabisa ianze upya.Kumekuwa na mzozo mkubwa kuhusu hii bandari ya Dar es salaam na DP World.
Sio vibaya kuwa na wawekezaji katika nchi lakini tuangalie na mikataba tunayoingia nao, twende mbele turudi nyuma ufanisi wa Bandari ya ya Dar es salaam ni mbovu kupita maelezo yani haufai.
Naongea hivi nikiwa na experience za kutosha naijua bandari vizuri sana kuanzia, magate yote PM yard, TY yard, RORO yard, Marindi yari yani yard zote kila sehemu naijua mm mule mana nilikuwa kama mmoja ya wafanyakazi wa ile bandari nishafanya kazi bandarini kwa muda wa miaka zaidi ya 5 kuanzia 2016 mpaka 2021 naijua sana ile bandari in and out.
Nilifanya kazi pale katika kampuni yetu ile ya mkonge kampuni ya mkonge kwa walioniele wamenielewa na wanaijua kampuni ya mkonge ni kitu gani kazi yangu mm ilikuwa ni kukagua kontena na kuangalia usalama wa bandari na kama wale ma agent wamepakia mizigo mfano nguo zinafanana na za kampuni ya mkonge kazi yetu sisi ilikuwa ni kuzichukua hizo nguo na kuzipeleka mahali husika au kama vitu vinafanana na vya kampuni yetu kwaiyo ninavyoongea nafahamu nini nasema.
Ile bandari ila changamoto nyingi mno kwanza haina vifaa, yani paper use and manual work ni nyingi mno mizigo uchelewa sana na ufanisi ni mdogo mno.
Ufanisi wa kazi ni 0 yani 0 kabisa mfano pale RORO terminal ikisema RORO namanisha sehemu ya bandari ambapo gari zikitoka melini zinaifadhiwa hapo ndo uitwa RORO ukitaka toa gari lako aisee ni changamoto kama una gari 30 aisee utakesha kuzidi mifumo yao ya TEPP ni 0 kabisa yani hopeless mfumo mbovu sijapata kuona.
TEPP ni nini? huu ni mfumo wa bandari wa kukusanyia mapato huu mfumo ni 0 kabisa.
Track Annoucement huu mfumo wao nao pia ni 0 huu ni mfumo gani huu ni mfumo ambao utumika kutolea vibari vya kuingilia na kutokea bandarini huu mfumo aisee ni 0 mana huu mfumo ulivyosetiwa eti ikifika saa 6 usiku ni unaingia storage aijalishi umelipia saa ngapi hii hali upelekea ufanisi kuwa 0 naiekezea hapa chini.
Kuna siku wakati nipo operation zangu kule Bath no 8 kuna TICTS kuna kontena baridi LIFA contena zilikuwa zimefungashiwa vifungashio ambavyo ni vya kampuni yetu ya mkonge sasa tulitakiwa tukavitoe vile vifungashio alooo wale magent wakanza lalamika kwamba iyo siku wata ingia storage mana mzigo manifest unasoma TPA lakini physical upo TICTS nikawauliza ebu niekezeni kwann imekuwa hivyo wakanza nipa maekezo aisee nilichoka.
Ni hivi mzigo meli ili beth pale beth no 8 TICTS lakini ilitakiwa ubeth TPA kwa kuwa TPA hawana vifaa vya kutosha waka udirect TICTS mana kule vifaa ni vingi kwaiyo Physical upo TICTS ila manifest ya TRA upo TPA unatakiwa utoke TICTS ende ukatokee TPA gate no 3 kipindi iko sasa process ya kutoa mzigo hapo gate no 3 ni balaaa mana jamaa uyo agent alisema atalipia iyo siku storage na vingine saa 11 jioni ila anatakiwa awe fasta ametoa mzigo mana saa 6 usiku mfumo wao track announcement unajifunga.
Na Security ndo wamepewa dhamana ya kufungia huo mfumo kwaiyo anakuwa anaingia storage hii kitu ilinishangaza sana nikasema kwann iwe hivyo? yaani ulipie saa 11 jioni alafu saa 6 usiku wafungia eti ni siku mpya why iwe ivyo? kwanini wasiweke masaa 12 baada ya mtu kulipia invoice yake wakasema hata wao washaongea sana juu ya ilo nikasema nifatikie nione mana mm napenda sana jifunza vitu aisee nilivyofatilia nilichoka na hayo majibu.
Nakumbuka pindi iko Bwana MRISHO ni jamaa angu sana alikuwa ndo PRINCIPLE SECURITE MANAGER mtu poa dana muungwana sana now ni MKURUGENZI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM nikaenda muuliza alinijibu dah lakini majibu yake hayakunilidhisha nikaamua nipotezee tuu kiukweli ile bandari inatakiwa iboreshwe tena sana.
Mana tukiiboresha itakuwa vizuri zaidi lakini tuangalie na huo mkataba wa hao jamaa DP WORLD, Je unatufaaa? Wawe wawekezaji lakini wasitupe masharti magumu na ya hovyo tusikubali lakini tukubali vipengere vizuri sisi wa Tanzania tunufaike na wao wanufaike taifa lipate maendeleo.
Hivyo napendekeza ivyo vipengele vibaya vya kutaka peleka taifa pabaya vitolewe ili tupate maendeleo.
NB: Vitu vya kurekebishwa ni mfumo wa TEPP, TRACK ANNOUCEMENT na kule watu wa REVENUE BILLING, na RORO terminal nikimanisha waweke mifumo inayorahisisha kazi kwa muda mfupi sana kontena, mzigo au gari imetoka sio mlolongo mrefu kama nini.
Kwa nini vijana wanaomaliza vyuo vikuu na vya kati wasichaguliwe na kupelekwa nchi kama Indonesia, Belgium au hata hiyo Dubaï pia wakajifunze kwa mwaka mmoja wakati Serikali ikinunua vifaa na mashine za kisasa, Kama ilivyofanya uwekezaji kwenye shirika la ndege?
Hivi nikitu gani tumewahi kuendesha kwa ufanisi nataka uweke shirika moja la tu, hakuna kazi rahisi kama Bima lakini tumelimaliza. Issue sio serikali sisi wa Tz tunashida katika uadilifu wa kazi sio serikalini tu hata private sector tunashida kubwa. Wewe ukiajiri mtu ujue tu kubali kupigwa. Bandari kuna usumbufu pale utasema unaomba kazi wafanyakazi wanatembea kwa maringo na vitambulisho vyao utasema wameshushwa toka mbinguni. Angalizo tu hakuna serikali yoyote wanaweza ila mifumo ndio inaweza kuwabana au kupunguza urasimu. Sasa issue ya mikataba inasomaje hayo ndio yajadiliwe na lipatikane suluhu, lakini kusema eti tuendeshe wenyewe tutalia. Tulikuwa na UDA ma bus wakepewa wao tu ndio wafanye kazi lakini ufanisi zero wakauwa kila kitu zero profit.Kama tunashindwa kuendesha bandari basi hatuna serikali , Sawa huenda tumeamua kumweka mwekezaji lakini kama tunaingia mikataba ya namna Ile basi hii nchi imelaaaniwa
Mkuu, Nini kinashindikana wakati miaka ya nyuma hasa awamu ya kwanza iliwezekana?unafikiri ni rahisi kiivo mkuu?
Na pia tatizo kuu la nchi yetu ni nidhamu ya kazi na sio elimu.
Sasa hapo tatizo si mifumo ya traMkuu Ahsante kwa maoni yako Mimi pia nimebahatika kuwa nakatiza katiza hapo Bandarini kuanzia Gate namba moja mpaka namba tano.
Ni kweli panachangamoto kubwa Sana pale Bandarini hasa mifumo.
Kwa mfano: unaweza kukuta foleni ya maloli ipo karibu na uhasibu gari haziingii Bandarini wala hazitoki kisa unaambiwa TANSIS Hafanyi KAZI kwa sasa IPO SINGLE WINDOW.
Hapo hapo mifumo wao haufanyi KAZI lakini kama ulivyosema hapo juu ukilipia storage charge's Saa mbili asubuhi au Saa tano na dakika 59 usiku ikifika Saa sita kamili mfumo unakataa kulitoa contena lako hapo ni lazima upate wanaita Additional charges ili uweze kutoa containers na kosa sio lako ila TANSIS au SINGLE WINDOW ilistop kufanya KAZI.
Lakini pia pale bandari kuna baadhi ya mizigo hawana vifaa na ndiyo maana Meli iliyopaswa kushusha TPA unaenda kuikuta TICTS na MANIFEST YA TPA mpaka kufanyika Amendment hapo containers zimeingia storage, na muda mwingine ni mara Mia ulipe storage kuliko kuomba WEVA maana utafuatilia kama unaomba kwenda PEPONI.
Changamoto zingine zilikuwa ni bei ila Jana nilikuwa kwenye kikao na TASAC TPA wamefanya amendment ya TARIF yao kwa hiyo tuliitwa wadau kwa ajili ya kujadili hizo bei mpya ambapo kwa containers moja ya
20f ilikuwa 240 wamepunguza mpaka 90
40f ilikuwa 420 mpaka 180
Hizo ni import.
EXPORT
20F 72 USD Kutoka 160
40f 150 USD Kutoka 280
TARIF nzima ukiihitaji inapatikana TASAC iliyofanyiwa marekebisho.
Changamoto ni Nyingi na tunahitaji uwekezaji Kwa Hali na Mali ila usiwe uwekezaji WA kutuumiza WATANZANIA.
Tunahitaji container ikishashushwa procedure zisichukue siku nyingi kulitoa hapo ushirikiano Kati ya taasisi waweke mifumo yao Sawa kuanzia TRA, TBS,TMDA, KILIMO, N.K ili kusiwe na kikwazo kutoa containers.
Kwa mfano kwa sasa kuna huu mfumo WA SINGLE WINDOW umeunganisha mifumo yote humo, utakuta mzigo wako hauhitaji kibali cha TBS AU TMDA AU ATOMIC lakini utakuta unafanya procedure mpaka mwisho TRA kutoa Release order mfumo unakataa utasiki document yako imeshikiliwa na TFS na mzigo wako labda ni WA hospital .
Malalamiko ni mengi hayawezi kuisha ngoja niishie hapa.
TUNAHITAJI WAWEKEZAJI WAJE WAWEKEZE BANDARINI KWETU LAKINI MIKATABA ISIWE YA KINYONYAJI INUFAISHE PANDE ZOTE MBILI.
Kote kuna changamoto mkuu, kuanzia TRA mpaka huko TPA .Sasa hapo tatizo si mifumo ya tra
Sisi shida yetu ni mkataba mbovu! Ni bora tuendelee kupata huduma mbovu kuliko kusaini mkataba wa hovyo.Umesema vizuri. Huduma nyingi ni mbovu sana. Na watu wamegeuka miungu watu na kuwa na ukiritimba na urasimu usio na maana bado hatuajaweza kutoa huduma zinazoridhisha.
Sio maji, sio umeme, sio huduma za simu, sio za internet, na mifumo ya hospitali haiwezi kutoa huduma kwa kiwango cha kuridhisha.
Hivyo faida tutakayopata wenye uwezo wakiwekeza kwetu ni pamoja na huduma kutolewa vyema. Kuhusu mkataba hilo sizungumzii leo.
Cartels za TEC ndo zinanufaika na haya mambo na wezi wachache wanaotaka kutumiq udhaifu huu kuendelea kuiibia nchi yetu fedha na mapato mengi.Kumekuwa na mzozo mkubwa kuhusu hii bandari ya Dar es salaam na DP World.
Sio vibaya kuwa na wawekezaji katika nchi lakini tuangalie na mikataba tunayoingia nao, twende mbele turudi nyuma ufanisi wa Bandari ya ya Dar es salaam ni mbovu kupita maelezo yani haufai.
Naongea hivi nikiwa na experience za kutosha naijua bandari vizuri sana kuanzia, magate yote PM yard, TY yard, RORO yard, Marindi yari yani yard zote kila sehemu naijua mm mule mana nilikuwa kama mmoja ya wafanyakazi wa ile bandari nishafanya kazi bandarini kwa muda wa miaka zaidi ya 5 kuanzia 2016 mpaka 2021 naijua sana ile bandari in and out.
Nilifanya kazi pale katika kampuni yetu ile ya mkonge kampuni ya mkonge kwa walioniele wamenielewa na wanaijua kampuni ya mkonge ni kitu gani kazi yangu mm ilikuwa ni kukagua kontena na kuangalia usalama wa bandari na kama wale ma agent wamepakia mizigo mfano nguo zinafanana na za kampuni ya mkonge kazi yetu sisi ilikuwa ni kuzichukua hizo nguo na kuzipeleka mahali husika au kama vitu vinafanana na vya kampuni yetu kwaiyo ninavyoongea nafahamu nini nasema.
Ile bandari ila changamoto nyingi mno kwanza haina vifaa, yani paper use and manual work ni nyingi mno mizigo uchelewa sana na ufanisi ni mdogo mno.
Ufanisi wa kazi ni 0 yani 0 kabisa mfano pale RORO terminal ikisema RORO namanisha sehemu ya bandari ambapo gari zikitoka melini zinaifadhiwa hapo ndo uitwa RORO ukitaka toa gari lako aisee ni changamoto kama una gari 30 aisee utakesha kuzidi mifumo yao ya TEPP ni 0 kabisa yani hopeless mfumo mbovu sijapata kuona.
TEPP ni nini? huu ni mfumo wa bandari wa kukusanyia mapato huu mfumo ni 0 kabisa.
Track Annoucement huu mfumo wao nao pia ni 0 huu ni mfumo gani huu ni mfumo ambao utumika kutolea vibari vya kuingilia na kutokea bandarini huu mfumo aisee ni 0 mana huu mfumo ulivyosetiwa eti ikifika saa 6 usiku ni unaingia storage aijalishi umelipia saa ngapi hii hali upelekea ufanisi kuwa 0 naiekezea hapa chini.
Kuna siku wakati nipo operation zangu kule Bath no 8 kuna TICTS kuna kontena baridi LIFA contena zilikuwa zimefungashiwa vifungashio ambavyo ni vya kampuni yetu ya mkonge sasa tulitakiwa tukavitoe vile vifungashio alooo wale magent wakanza lalamika kwamba iyo siku wata ingia storage mana mzigo manifest unasoma TPA lakini physical upo TICTS nikawauliza ebu niekezeni kwann imekuwa hivyo wakanza nipa maekezo aisee nilichoka.
Ni hivi mzigo meli ili beth pale beth no 8 TICTS lakini ilitakiwa ubeth TPA kwa kuwa TPA hawana vifaa vya kutosha waka udirect TICTS mana kule vifaa ni vingi kwaiyo Physical upo TICTS ila manifest ya TRA upo TPA unatakiwa utoke TICTS ende ukatokee TPA gate no 3 kipindi iko sasa process ya kutoa mzigo hapo gate no 3 ni balaaa mana jamaa uyo agent alisema atalipia iyo siku storage na vingine saa 11 jioni ila anatakiwa awe fasta ametoa mzigo mana saa 6 usiku mfumo wao track announcement unajifunga.
Na Security ndo wamepewa dhamana ya kufungia huo mfumo kwaiyo anakuwa anaingia storage hii kitu ilinishangaza sana nikasema kwann iwe hivyo? yaani ulipie saa 11 jioni alafu saa 6 usiku wafungia eti ni siku mpya why iwe ivyo? kwanini wasiweke masaa 12 baada ya mtu kulipia invoice yake wakasema hata wao washaongea sana juu ya ilo nikasema nifatikie nione mana mm napenda sana jifunza vitu aisee nilivyofatilia nilichoka na hayo majibu.
Nakumbuka pindi iko Bwana MRISHO ni jamaa angu sana alikuwa ndo PRINCIPLE SECURITE MANAGER mtu poa dana muungwana sana now ni MKURUGENZI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM nikaenda muuliza alinijibu dah lakini majibu yake hayakunilidhisha nikaamua nipotezee tuu kiukweli ile bandari inatakiwa iboreshwe tena sana.
Mana tukiiboresha itakuwa vizuri zaidi lakini tuangalie na huo mkataba wa hao jamaa DP WORLD, Je unatufaaa? Wawe wawekezaji lakini wasitupe masharti magumu na ya hovyo tusikubali lakini tukubali vipengere vizuri sisi wa Tanzania tunufaike na wao wanufaike taifa lipate maendeleo.
Hivyo napendekeza ivyo vipengele vibaya vya kutaka peleka taifa pabaya vitolewe ili tupate maendeleo.
NB: Vitu vya kurekebishwa ni mfumo wa TEPP, TRACK ANNOUCEMENT na kule watu wa REVENUE BILLING, na RORO terminal nikimanisha waweke mifumo inayorahisisha kazi kwa muda mfupi sana kontena, mzigo au gari imetoka sio mlolongo mrefu kama nini.
Mkataba una u hovyo gani? Mnaonesha jinsi gani mnavyotaka nchi hii iendelee kuwa nyuma ili mjinufaishe hapo Bandarini. Mmeula vya chuya. Serikali imeshafanya maamuzi na hakuna kurudi nyumaSisi shida yetu ni mkataba mbovu! Ni bora tuendelee kupata huduma mbovu kuliko kusaini mkataba wa hovyo.