Maoni yangu kwa TFF, Marefa wa kike wanaharibu mpira

Maoni yangu kwa TFF, Marefa wa kike wanaharibu mpira

Mnasihi

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
7,762
Reaction score
7,100
Ukiangalia michezo ya ligi inayoendelea nchini ikichezeshwa na marefa wanawake mtaniunga mkono. Ukweli marefa hawa wanashindwa kabisa kusimamia zile Sheria 17 uwanjani na wamegeuka kuwa sehemu ya wasababisha makosa.

TFF iachane nao na Kama bado wanawahitaji wapewe mechi za madaraka ya chini ili wajikomaze. Wanaharibu burudani kwa makusudi na ni waoga.
 
Sio wa kike tu, hata wakiume, kuna yule mzee alichezesha Yanga vs Azam. Sijui wamemtolea wapi.
 
Mkuu uandishi ni taaluma. Kama hujasomea nenda kasome.

Kichwa cha habari yako kinamaanisha kwamba TFF ndiyo wametoa kauli hiyo lkn kumbe unatoa maoni yako.

Ungekusudia hilo ungeandikaTFF, marefa wa kike wanaharibu mpira (siyo TFF: marefa wa kike wanaharibu mpira).
 
Mkuu uandishi ni taaluma. Kama hujasomea nenda kasome.

Kichwa cha habari yako kinamaanisha kwamba TFF ndiyo wametoa kauli hiyo lkn kumbe unatoa maoni yako.

Ungekusudia hilo ungeandikaTFF, marefa wa kike wanaharibu mpira (siyo TFF: marefa wa kike wanaharibu mpira).
Baada ya kusahihisha uandishi ungetoa maoni yako. Hujaisadia tff wasahihishe makosa yao. Sikushukuru.
 
Baada ya kusahihisha uandishi ungetoa maoni yako. Hujaisadia tff wasahihishe makosa yao. Sikushukuru.
Siungi mkono hoja yako kwasabb umetumia incidents kisha ukai-generalize kwa marfa wote wa kike.

Marefa wa kike wako kibao duniani na Wanafanya vizuri.

Labda utuambie ni kwa vipi jinsia ya KE inaathiri urefa wa mpira wa miguu.

Vinginevyo utaonekana unateswa na mfumo dume tu
 
Back
Top Bottom