Baada ya kusahihisha uandishi ungetoa maoni yako. Hujaisadia tff wasahihishe makosa yao. Sikushukuru.Mkuu uandishi ni taaluma. Kama hujasomea nenda kasome.
Kichwa cha habari yako kinamaanisha kwamba TFF ndiyo wametoa kauli hiyo lkn kumbe unatoa maoni yako.
Ungekusudia hilo ungeandikaTFF, marefa wa kike wanaharibu mpira (siyo TFF: marefa wa kike wanaharibu mpira).
Siungi mkono hoja yako kwasabb umetumia incidents kisha ukai-generalize kwa marfa wote wa kike.Baada ya kusahihisha uandishi ungetoa maoni yako. Hujaisadia tff wasahihishe makosa yao. Sikushukuru.