Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Siku nilivyosikia ndugu yetu anaenda Aston Villa FC nikajua ana wakati mgumu sana kwasababu kubwa mbili:
1. Muda ulikuwa umesonga sana, angeenda mwanzo wa msimu angeweza kuonesha makali yake hata timu ingeshuka yeye kama mchezaji huenda angeonekana na kusajiliwa na timu nyingine za ligi kuu.
2. Timu aliyoangukia inashuka daraja; sasa kwa mechi alizocheza sidhani kama kuna timu ya ligi kuu itamhitaji, Aston Villa FC isingeshuka pengine angekuwa na muda wa kuonesha makali msimu ujao na huenda ingekuwa njia ya kupanda zaidi.
Yoye kwa yote nampongeza kwa hapo alipofikia, akaze buti katika mechi zilizo salia huenda akaonekana dakika za lala salama ila kwa hali ya kawaida nahisi ndo imetoka hiyo.
1. Muda ulikuwa umesonga sana, angeenda mwanzo wa msimu angeweza kuonesha makali yake hata timu ingeshuka yeye kama mchezaji huenda angeonekana na kusajiliwa na timu nyingine za ligi kuu.
2. Timu aliyoangukia inashuka daraja; sasa kwa mechi alizocheza sidhani kama kuna timu ya ligi kuu itamhitaji, Aston Villa FC isingeshuka pengine angekuwa na muda wa kuonesha makali msimu ujao na huenda ingekuwa njia ya kupanda zaidi.
Yoye kwa yote nampongeza kwa hapo alipofikia, akaze buti katika mechi zilizo salia huenda akaonekana dakika za lala salama ila kwa hali ya kawaida nahisi ndo imetoka hiyo.