Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan Kuna kima Wana majibu ya kifedhuri kweli aiseeeUnaona sasa unataka kuchafua Uzi wako wewe kambale wa kijani
Endelea mkuu, huku kwetu mimaji kila kona hadi raha wakati kipindi haitawali ccm hali ilikuwa mbaya, maviongozi kabla 2015 yalikuwa yanazingua sana, natamani Magu awapeleke jela tuKwenye Afya kuna hospitali 67 na vituo vya Afya 330+ vipya.
Shula kongwe zote zimerudishiwa upya wake
Fly over kila kona
Meli mpya
....
Niendelee Ama nisiendelee
Umeme wa REA, ujenzi wa ikulu pia nilisahauEndelea mkuu, huku kwetu mimaji kila kona hadi raha wakati kipindi haitawali ccm hali ilikuwa mbaya, maviongozi kabla 2015 yalikuwa yanazingua sana, natamani Magu awapeleke jela tu
Corona imerudi china usisahauKwenye Afya kuna hospitali 67 na vituo vya Afya 330+ vipya.
Shula kongwe zote zimerudishiwa upya wake
Fly over kila kona
Meli mpya
....
Niendelee Ama nisiendelee
Ni bora arudi Genk akajipange tena kama umri utaruhusu
Ashafikisha miaka 39 we huon ngozi ishaanza kukaukaSammata tayri ana 30
sawa kabisa hatma yaweza kuwa hata Namungo as a kocha mchezaji .......Mwenyezi Mungu ndio anajua hatma ya mja wake, tuwe na subra inshallah Mungu atamfanyia wepesi.
Sio ligi ya TFF ile, lazima washukeKuna watu ni wachaw kweli dunian hapa hata hawahitaj kuruka na nyungo
Kwan Aston Villa kashuka daraja au anapigana asishuke n kwa hesabu tu anaweza asishuke
Hii ndio tabia inayotufanya tusiendelee daima tunaombeana mabayaSamatta akipungua Sana 35 mwili ushagoma