Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,976
[emoji1621] Machache toka OT ( Manchester United V Wolves )
[emoji736] Fred ni mdhaifu sana katika ukabaji kuna wakati mipira ambayo yeye alipaswa kuizuia tangu juu alikuwa anafeli na kufanya mipira mingi kufika katika zone ya Manchester United ( Hapa ndio kuna uhitaji wa kurejea kwa Scot ambaye kazi ya kukaba anaiitimiza vyema kuliko Fred )[emoji375]
[emoji736]Kwa mara ya Kwanza Jana Manchester United wamecheza dhidi ya Wolves bila pressure huku wakitawala mchezo kwa 60%+ kwa kila kipindi cha mchezo. Pongezi katika hili...[emoji1547][emoji1547]
[emoji736]AWB mzuri sana katika kujilinda lakini anashindwa kabisa kuattack kwa namna nyingine Manchester United wanashindwa kunufaika na uwepo wa jamaa hususani in offensive case na hapa ndio kuna uhitajika wa Dalot ambaye kwa kiasi kikubwa ni mzuri walau kwote kwa 70% naamini kwa game ambazo Manchester United wanatawala mpira kwa 60%+ ni bora ukaongeza watu wa kuattack..[emoji375]
[emoji736] Bruno [emoji1621] Mchezo wa kwanza tu anaonyesha kitu ambacho United lacks nacho ni shooting wanapofika near opponents box. 5 shoots kwenye mchezo mzima lakini pia naona anaongeza wale piece takers ( Fred + Bruno + Mata ) Bruno accurate yake ipo juu katika pieces....Lakini why Jana olle alimchezesha chini.....[emoji848]
[emoji736]Moutinho mchezaji bora wa mchezo kwa upande wangu......
JUMAPILI NJEMA KWENU NYOTE[emoji1666][emoji1666]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji736] Fred ni mdhaifu sana katika ukabaji kuna wakati mipira ambayo yeye alipaswa kuizuia tangu juu alikuwa anafeli na kufanya mipira mingi kufika katika zone ya Manchester United ( Hapa ndio kuna uhitaji wa kurejea kwa Scot ambaye kazi ya kukaba anaiitimiza vyema kuliko Fred )[emoji375]
[emoji736]Kwa mara ya Kwanza Jana Manchester United wamecheza dhidi ya Wolves bila pressure huku wakitawala mchezo kwa 60%+ kwa kila kipindi cha mchezo. Pongezi katika hili...[emoji1547][emoji1547]
[emoji736]AWB mzuri sana katika kujilinda lakini anashindwa kabisa kuattack kwa namna nyingine Manchester United wanashindwa kunufaika na uwepo wa jamaa hususani in offensive case na hapa ndio kuna uhitajika wa Dalot ambaye kwa kiasi kikubwa ni mzuri walau kwote kwa 70% naamini kwa game ambazo Manchester United wanatawala mpira kwa 60%+ ni bora ukaongeza watu wa kuattack..[emoji375]
[emoji736] Bruno [emoji1621] Mchezo wa kwanza tu anaonyesha kitu ambacho United lacks nacho ni shooting wanapofika near opponents box. 5 shoots kwenye mchezo mzima lakini pia naona anaongeza wale piece takers ( Fred + Bruno + Mata ) Bruno accurate yake ipo juu katika pieces....Lakini why Jana olle alimchezesha chini.....[emoji848]
[emoji736]Moutinho mchezaji bora wa mchezo kwa upande wangu......
JUMAPILI NJEMA KWENU NYOTE[emoji1666][emoji1666]
Sent using Jamii Forums mobile app